Maisha na mikasa ya safari yangu nchini DR Congo miaka ya 2000's hadi kutaka kupigwa risasi hadharani

Maisha na mikasa ya safari yangu nchini DR Congo miaka ya 2000's hadi kutaka kupigwa risasi hadharani

Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ndugu zangu bila shaka mwenyezimungu anaendelea kutupigania hadi sasa.

Ndugu leo naona nilete story kidogo kuhusu safari yangu moja hivi nchini DRC mikasa na visa mbali mbali kwa kipindi chote cha safari wakati napambana na maisha kwenye udereva ili niweze kuishi kama mnavyojua maisha ni popote na kujaribu ni muhimu kuangalia kila sehemu ili uweze kutoka ukinzingatia kuwa wengine shule yetu ni kidogo hivyo ni muhimu kijipambania kwa kila hali ili uweze kujikimu kimaisha tukawa tunashike hili na lile ili mrasi tuweze kuishi.

Story yangu ni ndefu kigodo ila ntajitahidi niimalize kwa wakati ili kuepuka zile maneno za kakimbia sijui nini ila naomba tuwe na uvumilivu tu kwani swala la kuandika nalo ni mtihani ukizingalia device tunazo tumia sio rafiki .kwa wale wasio wavumilivu naomba tupite tu hakuna haja ya kulalamika.

Story inaanzia hapa...

Miaka 2000's kulitokea wimbi kubwa la usafirishaji wa magari kutoka bandarini Dar kwenda DRC kipindi kicho ikitwa congo (kama sijakosea) kipindi hicho nilikuwa najishughulisha na udereva taxi pale Mapambano kijitonyama nikipindi ambacho biashara ya taxi ilikuwa na hela kiasi kwani biashara ya Bajaji na bodaboda ilikuwa bado na watu walikuwa hawajazoea kupanda vyombo hivyo, basii maisha yakawa yanasonga mbele kama sijasahau mwishoni mwa miaka ya 2001 ndo vita congo ilikuwa imepowa japo nilikuwa siwahi kufika huko hata mara moja.

Kijiweni kulikuwa kuna mshikaji alikuwa anaitwa Rama kwanza nikili kuwa huyu jamaa alikuwa mjanja kupitiliza na alikuwa anasafiri sanaa inasemekana hata nganda alikuwa anabeba japo tulikuwa wote pale pale kijiweni nae ana kigari chake mwenyewe anabeba abiria ndipo akanipa mchongo wa kusafiirisha magari ya wa kongo kwenda Congo kipindi hali haikuwa nzuri kwakweli hivyo madereva wengi walikuwa hawapendi kwenda huko japo wacongo walikuwa wanapanda offer ya mpaka dolla 250 kuifikisha gari KASUBALESA boda ya Congo na zambia then unamwachia anamilizia kipande chake.

Hapo ndipo jamaa yangu Rama alipopata hiyo fursa kwa jamaa yake alieoko pale bandarini ambae alikuwa na kampuni yake ya clearing na fowarding pale bandarini na kumwambia kuwa kuna wacongo wanahitaji magari yao yafike lumbumbashi then wao watayasafirishi kwa ndege kwenda kinshasa ila wao hawapandi hizo gari wao tutakutana lumbumbashi sehemymu moja sehemu moja kunaitwa KOTA naona nikaribu na soko kubwa la Lubumbashi mjini katikati.

Cha ajabu jamaa walitoa pesa yote kwa jamaa yao wa pale bandarini na kampuni ndo ilitakiwa isimamie kila kitu hapo ndipo mwanangu Rama akanitustua nakumbuka ilikuwa ni kati ya mwezi wa tano kwenda wa sita. Mvua zinanyesha Dar hakuna mfano abiria hakuna nikaona bora nitoe gari kwa jamaa nikimbize IT kwanza nami nipate uzoefu.

Baada ya jamaa yangu kuweka mambo sawa ikiwemo kupata passport ya karatasi na chanjo ya homa ya manjano mzes mzima siku ikawadia jamaa yule akatupa dolla 100 advance, 50 maillage na 50 ya barabarani nikiongea bararani mnilewe hiyo ya wazee .Gari mpya kutoka kiwandani yani bado zina makaratasi mitusubishi dabo cibin mpya kabisa wazee tukawekewa full tank. Zikabandikwa number za IT .siku ya j2 ndo safiri ikawa imeanza rasmi mara ya kwanza kusafiri na magari ya IT ila mwenzangi rama yeye alikuwa mzoefu hata kwa njia hio pia alikuwa anaijua vizuri na alikuwa anajua hata kizambia kidogo na kikongo kisawahili chao kile cha kuya Papa uko na makuta ngapi? Hhhhaaaa...

Safari imeanza.

ITAENDELEA JIONI..

Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ndugu zangu bila shaka mwenyezimungu anaendelea kutupigania hadi sasa.

Ndugu leo naona nilete story kidogo kuhusu safari yangu moja hivi nchini DRC mikasa na visa mbali mbali kwa kipindi chote cha safari wakati napambana na maisha kwenye udereva ili niweze kuishi kama mnavyojua maisha ni popote na kujaribu ni muhimu kuangalia kila sehemu ili uweze kutoka ukinzingatia kuwa wengine shule yetu ni kidogo hivyo ni muhimu kijipambania kwa kila hali ili uweze kujikimu kimaisha tukawa tunashike hili na lile ili mrasi tuweze kuishi.

Story yangu ni ndefu kigodo ila ntajitahidi niimalize kwa wakati ili kuepuka zile maneno za kakimbia sijui nini ila naomba tuwe na uvumilivu tu kwani swala la kuandika nalo ni mtihani ukizingalia device tunazo tumia sio rafiki .kwa wale wasio wavumilivu naomba tupite tu hakuna haja ya kulalamika.

Story inaanzia hapa...

Miaka 2000's kulitokea wimbi kubwa la usafirishaji wa magari kutoka bandarini Dar kwenda DRC kipindi kicho ikitwa congo (kama sijakosea) kipindi hicho nilikuwa najishughulisha na udereva taxi pale Mapambano kijitonyama nikipindi ambacho biashara ya taxi ilikuwa na hela kiasi kwani biashara ya Bajaji na bodaboda ilikuwa bado na watu walikuwa hawajazoea kupanda vyombo hivyo, basii maisha yakawa yanasonga mbele kama sijasahau mwishoni mwa miaka ya 2001 ndo vita congo ilikuwa imepowa japo nilikuwa siwahi kufika huko hata mara moja.

Kijiweni kulikuwa kuna mshikaji alikuwa anaitwa Rama kwanza nikili kuwa huyu jamaa alikuwa mjanja kupitiliza na alikuwa anasafiri sanaa inasemekana hata nganda alikuwa anabeba japo tulikuwa wote pale pale kijiweni nae ana kigari chake mwenyewe anabeba abiria ndipo akanipa mchongo wa kusafiirisha magari ya wa kongo kwenda Congo kipindi hali haikuwa nzuri kwakweli hivyo madereva wengi walikuwa hawapendi kwenda huko japo wacongo walikuwa wanapanda offer ya mpaka dolla 250 kuifikisha gari KASUBALESA boda ya Congo na zambia then unamwachia anamilizia kipande chake.

Hapo ndipo jamaa yangu Rama alipopata hiyo fursa kwa jamaa yake alieoko pale bandarini ambae alikuwa na kampuni yake ya clearing na fowarding pale bandarini na kumwambia kuwa kuna wacongo wanahitaji magari yao yafike lumbumbashi then wao watayasafirishi kwa ndege kwenda kinshasa ila wao hawapandi hizo gari wao tutakutana lumbumbashi sehemymu moja sehemu moja kunaitwa KOTA naona nikaribu na soko kubwa la Lubumbashi mjini katikati.

Cha ajabu jamaa walitoa pesa yote kwa jamaa yao wa pale bandarini na kampuni ndo ilitakiwa isimamie kila kitu hapo ndipo mwanangu Rama akanitustua nakumbuka ilikuwa ni kati ya mwezi wa tano kwenda wa sita. Mvua zinanyesha Dar hakuna mfano abiria hakuna nikaona bora nitoe gari kwa jamaa nikimbize IT kwanza nami nipate uzoefu.

Baada ya jamaa yangu kuweka mambo sawa ikiwemo kupata passport ya karatasi na chanjo ya homa ya manjano mzes mzima siku ikawadia jamaa yule akatupa dolla 100 advance, 50 maillage na 50 ya barabarani nikiongea bararani mnilewe hiyo ya wazee .Gari mpya kutoka kiwandani yani bado zina makaratasi mitusubishi dabo cibin mpya kabisa wazee tukawekewa full tank. Zikabandikwa number za IT .siku ya j2 ndo safiri ikawa imeanza rasmi mara ya kwanza kusafiri na magari ya IT ila mwenzangi rama yeye alikuwa mzoefu hata kwa njia hio pia alikuwa anaijua vizuri na alikuwa anajua hata kizambia kidogo na kikongo kisawahili chao kile cha kuya Papa uko na makuta ngapi? Hhhhaaaa...

Safari imeanza.

ITAENDELEA JIONI...
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ndugu zangu bila shaka mwenyezimungu anaendelea kutupigania hadi sasa.

Ndugu leo naona nilete story kidogo kuhusu safari yangu moja hivi nchini DRC mikasa na visa mbali mbali kwa kipindi chote cha safari wakati napambana na maisha kwenye udereva ili niweze kuishi kama mnavyojua maisha ni popote na kujaribu ni muhimu kuangalia kila sehemu ili uweze kutoka ukinzingatia kuwa wengine shule yetu ni kidogo hivyo ni muhimu kijipambania kwa kila hali ili uweze kujikimu kimaisha tukawa tunashike hili na lile ili mrasi tuweze kuishi.

Story yangu ni ndefu kigodo ila ntajitahidi niimalize kwa wakati ili kuepuka zile maneno za kakimbia sijui nini ila naomba tuwe na uvumilivu tu kwani swala la kuandika nalo ni mtihani ukizingalia device tunazo tumia sio rafiki .kwa wale wasio wavumilivu naomba tupite tu hakuna haja ya kulalamika.

Story inaanzia hapa...

Miaka 2000's kulitokea wimbi kubwa la usafirishaji wa magari kutoka bandarini Dar kwenda DRC kipindi kicho ikitwa congo (kama sijakosea) kipindi hicho nilikuwa najishughulisha na udereva taxi pale Mapambano kijitonyama nikipindi ambacho biashara ya taxi ilikuwa na hela kiasi kwani biashara ya Bajaji na bodaboda ilikuwa bado na watu walikuwa hawajazoea kupanda vyombo hivyo, basii maisha yakawa yanasonga mbele kama sijasahau mwishoni mwa miaka ya 2001 ndo vita congo ilikuwa imepowa japo nilikuwa siwahi kufika huko hata mara moja.

Kijiweni kulikuwa kuna mshikaji alikuwa anaitwa Rama kwanza nikili kuwa huyu jamaa alikuwa mjanja kupitiliza na alikuwa anasafiri sanaa inasemekana hata nganda alikuwa anabeba japo tulikuwa wote pale pale kijiweni nae ana kigari chake mwenyewe anabeba abiria ndipo akanipa mchongo wa kusafiirisha magari ya wa kongo kwenda Congo kipindi hali haikuwa nzuri kwakweli hivyo madereva wengi walikuwa hawapendi kwenda huko japo wacongo walikuwa wanapanda offer ya mpaka dolla 250 kuifikisha gari KASUBALESA boda ya Congo na zambia then unamwachia anamilizia kipande chake.

Hapo ndipo jamaa yangu Rama alipopata hiyo fursa kwa jamaa yake alieoko pale bandarini ambae alikuwa na kampuni yake ya clearing na fowarding pale bandarini na kumwambia kuwa kuna wacongo wanahitaji magari yao yafike lumbumbashi then wao watayasafirishi kwa ndege kwenda kinshasa ila wao hawapandi hizo gari wao tutakutana lumbumbashi sehemymu moja sehemu moja kunaitwa KOTA naona nikaribu na soko kubwa la Lubumbashi mjini katikati.

Cha ajabu jamaa walitoa pesa yote kwa jamaa yao wa pale bandarini na kampuni ndo ilitakiwa isimamie kila kitu hapo ndipo mwanangu Rama akanitustua nakumbuka ilikuwa ni kati ya mwezi wa tano kwenda wa sita. Mvua zinanyesha Dar hakuna mfano abiria hakuna nikaona bora nitoe gari kwa jamaa nikimbize IT kwanza nami nipate uzoefu.

Baada ya jamaa yangu kuweka mambo sawa ikiwemo kupata passport ya karatasi na chanjo ya homa ya manjano mzes mzima siku ikawadia jamaa yule akatupa dolla 100 advance, 50 maillage na 50 ya barabarani nikiongea bararani mnilewe hiyo ya wazee .Gari mpya kutoka kiwandani yani bado zina makaratasi mitusubishi dabo cibin mpya kabisa wazee tukawekewa full tank. Zikabandikwa number za IT .siku ya j2 ndo safiri ikawa imeanza rasmi mara ya kwanza kusafiri na magari ya IT ila mwenzangi rama yeye alikuwa mzoefu hata kwa njia hio pia alikuwa anaijua vizuri na alikuwa anajua hata kizambia kidogo na kikongo kisawahili chao kile cha kuya Papa uko na makuta ngapi? Hhhhaaaa...

Safari imeanza.

ITAENDELEA JIONI...
Inaendelea sehemu ya nne...

Ndugu nilikuwa napata Iftari kidogo nikawa nimesitisha kidogo kuandika kama mmnavyojua bado tuko ndani ya mwezi mtukufu wa ramadan ishallah tunaendelea kuwa pamoja .

Naomba nishauri kitu kimoja kwa wafutiliaji wa hii story ndugu ili uweze kusoma kitu na kujifunza au hata kupata burudani ni vyema ukapata story hiyo kwa hatua ili nawe uweze kutafakari mafunzo yaliyomo ndani yake hivyo basi kwa wale ambao wanafikiri kuwa kuandika tu story mwanzo mwisho ndo ujanja basi hakuna sababu ya kuifuatilia hii story mpite tu .kama nilivyosema mwanzo lazima niimalizie yote .


Twende kazi sasa wakati jamaa yule aliedandia pale nyuma anaendelea kuhangaika pale juu mara paapp akateleza bwana hadi chini kama unajua tulikuwa tumepakia mazulia na mahema ya wale jamaa nafikiri aliteleza kutokana na utelezi wa zile turubai aise jamaa akaanguka mzima mzima hadi katika ya lami mimi niko nyuma nikamkwepa kwa pembeni nikawa niko upande wa kulia cha kushangaza yule jamaa kumbe wakati anapanda alikuwa na simr anajaribu kutoboa zile turubai ndo kushikashika akajikuta ameteleza hadi chini.

Aise ghafla tu nikashangaa rama amesimama na akapiga revasi akarudi nyuma kumlenga yule jamaa pale chini na kumgonga kwa nyuma yanii gari ikapita juu yake yote halafu akarudia tena kwa mbele halafu akatoa kalele na vishindo vya maumivu ya yule binadamu nilivyokuwa navisikia nikiwa kwenye gari aise mwili mzima ulinisisimka yani unaona kabisa binadamu anamuua binadamu mwenzi wazi wazi tena kwa kumfinyanga na gari kwa maksudi kabisa nikiwa naangalia kwenye site mirror rama akanipa ishara ya tuendelee na safari tukaenda kidogo hadi mbele kama kilometer tano tukapaki akatoa maji ya chupa akaanza kusafisha damu kwenye plate namba na maeneo mengine ya mbele na nyuma hakika chini gari ilijaa damu tupu baada usafi tukaendelea na safari..

Mpaka boda hiyo saa kumi na moja ndo tumefika boda KASUBALESA.

Turudi nyuma kidogo pale jamaa yangu alipoua mtu.....tulivyofika boda
Rama ananihadithia kwa kunionyesha kovu upande wa kushoto wa jicho lake na kuniambia kovi hilo alolitoa hapo wakati akiwa tanboy wa magari makubwa alikuwa akifika maeneo hayo basi dereva anamwambia apende juu na panga kulinda wezi maeneo hayo kuna kilima flani hivi ambapo gari kubwa ikifika lazima ipande taratibu hivyo hao wezi walikuwa wanatumia mwanya kukata turubai na kuvunja kufuri kuiba bidhaa mbalimbali zinaelekea congo na humtanguliza moja akifanikiwa kukudhibiti linatokea kundi la wezi polini linakomba kila kitu unaambiwa vikundi hivyo hufadhiriwa na wafanyabishara wa mji mdogo wa Ndola kuiba na kwenda kuwauzia wao bidhaa za wizi kwa bei ya kutupa.
Sasa rama anahadithia kuwa kipindi gari lake lilivyofika tu pale yeye akakwea juu kama kawaida kumbe alikuwa na usingizi, kijiusingizi kikampitia bwana njemba ikapanda kustuka njemba ipo juu nae yupo juu ndo mapambano yakaanza lakini pamoja na kumshinda alimwachia majeraha kadha a yaliyomweka hospitali week nzima ndo akajiaza kuwa iwe isiwe siku ikitokea maeneo hayo likatokea tukio lolote likamuhusu lazima alipize kisasi na ile ndo akawa amelipizia kisasi siku .

Sasa tupo boda tunafanya mawasiliano.na wenyeji tumefika boda waje wachukue mzigo wao sisi tugeuke .maboss kubigiwa simu kuambiwa gari zao zipo salama wakafurahi sanaa wakaagiza kwa jamaa yao moja anauwezo flani pale kwa boda atuchukue kwake tukale na kulala yule jamaa akaja mpaka tulipo tulikopaki magari yetu boda na askali akapewa chake alinde magari ,sasa pale kuna
Askali analipwa na boda lakini usipompa chochote unaweza ibiwa na ukienda kulalamika hakuna wa kukusikiliza watu wako busy aise. Tukaenda kulala kwa ajili ya kuwa asu uhi kuonana na wenyeji wetu tuwakabidhi mali zao sisi turudi zetu home. Tukawa tunasikilizia pia lile tukioa la kuua kule. madereva wakija wanatoa taarifa ya maiti kwa askali sisi tukawa tunasikilizia tu hadi tulipochukuliwa na jamaa kulala hadi kesho.

LEO TU NIMEWEKA EPISOD NNE NAOMBA KWA USIKU NIWAACHIE HII NIPUMZIKE KESHO TUTAENDELEA NA ZINGINE ISHALLAH HADI TUMALIZE
 
Aah, Mzee Baba vp.....!?
Angalia usije kutulisha kiporo....

Mambo ya kesho hatutaki....😅😂🤣
 
Inaendelea sehemu ya nne...

Ndugu nilikuwa napata Iftari kidogo nikawa nimesitisha kidogo kuandika kama mmnavyojua bado tuko ndani ya mwezi mtukufu wa ramadan ishallah tunaendelea kuwa pamoja .

Naomba nishauri kitu kimoja kwa wafutiliaji wa hii story ndugu ili uweze kusoma kitu na kujifunza au hata kupata burudani ni vyema ukapata story hiyo kwa hatua ili nawe uweze kutafakari mafunzo yaliyomo ndani yake hivyo basi kwa wale ambao wanafikiri kuwa kuandika tu story mwanzo mwisho ndo ujanja basi hakuna sababu ya kuifuatilia hii story mpite tu .kama nilivyosema mwanzo lazima niimalizie yote .


Twende kazi sasa wakati jamaa yule aliedandia pale nyuma anaendelea kuhangaika pale juu mara paapp akateleza bwana hadi chini kama unajua tulikuwa tumepakia mazulia na mahema ya wale jamaa nafikiri aliteleza kutokana na utelezi wa zile turubai aise jamaa akaanguka mzima mzima hadi katika ya lami mimi niko nyuma nikamkwepa kwa pembeni nikawa niko upande wa kulia cha kushangaza yule jamaa kumbe wakati anapanda alikuwa na simr anajaribu kutoboa zile turubai ndo kushikashika akajikuta ameteleza hadi chini.

Aise ghafla tu nikashangaa rama amesimama na akapiga revasi akarudi nyuma kumlenga yule jamaa pale chini na kumgonga kwa nyuma yanii gari ikapita juu yake yote halafu akarudia tena kwa mbele halafu akatoa kalele na vishindo vya maumivu ya yule binadamu nilivyokuwa navisikia nikiwa kwenye gari aise mwili mzima ulinisisimka yani unaona kabisa binadamu anamuua binadamu mwenzi wazi wazi tena kwa kumfinyanga na gari kwa maksudi kabisa nikiwa naangalia kwenye site mirror rama akanipa ishara ya tuendelee na safari tukaenda kidogo hadi mbele kama kilometer tano tukapaki akatoa maji ya chupa akaanza kusafisha damu kwenye plate namba na maeneo mengine ya mbele na nyuma hakika chini gari ilijaa damu tupu baada usafi tukaendelea na safari..

Mpaka boda hiyo saa kumi na moja ndo tumefika boda KASUBALESA.

Turudi nyuma kidogo pale jamaa yangu alipoua mtu.....tulivyofika boda
Rama ananihadithia kwa kunionyesha kovu upande wa kushoto wa jicho lake na kuniambia kovi hilo alolitoa hapo wakati akiwa tanboy wa magari makubwa alikuwa akifika maeneo hayo basi dereva anamwambia apende juu na panga kulinda wezi maeneo hayo kuna kilima flani hivi ambapo gari kubwa ikifika lazima ipande taratibu hivyo hao wezi walikuwa wanatumia mwanya kukata turubai na kuvunja kufuri kuiba bidhaa mbalimbali zinaelekea congo na humtanguliza moja akifanikiwa kukudhibiti linatokea kundi la wezi polini linakomba kila kitu unaambiwa vikundi hivyo hufadhiriwa na wafanyabishara wa mji mdogo wa Ndola kuiba na kwenda kuwauzia wao bidhaa za wizi kwa bei ya kutupa.
Sasa rama anahadithia kuwa kipindi gari lake lilivyofika tu pale yeye akakwea juu kama kawaida kumbe alikuwa na usingizi, kijiusingizi kikampitia bwana njemba ikapanda kustuka njemba ipo juu nae yupo juu ndo mapambano yakaanza lakini pamoja na kumshinda alimwachia majeraha kadha a yaliyomweka hospitali week nzima ndo akajiaza kuwa iwe isiwe siku ikitokea maeneo hayo likatokea tukio lolote likamuhusu lazima alipize kisasi na ile ndo akawa amelipizia kisasi siku .

Sasa tupo boda tunafanya mawasiliano.na wenyeji tumefika boda waje wachukue mzigo wao sisi tugeuke .maboss kubigiwa simu kuambiwa gari zao zipo salama wakafurahi sanaa wakaagiza kwa jamaa yao moja anauwezo flani pale kwa boda atuchukue kwake tukale na kulala yule jamaa akaja mpaka tulipo tulikopaki magari yetu boda na askali akapewa chake alinde magari ,sasa pale kuna
Askali analipwa na boda lakini usipompa chochote unaweza ibiwa na ukienda kulalamika hakuna wa kukusikiliza watu wako busy aise. Tukaenda kulala kwa ajili ya kuwa asu uhi kuonana na wenyeji wetu tuwakabidhi mali zao sisi turudi zetu home. Tukawa tunasikilizia pia lile tukioa la kuua kule. madereva wakija wanatoa taarifa ya maiti kwa askali sisi tukawa tunasikilizia tu hadi tulipochukuliwa na jamaa kulala hadi kesho.

LEO TU NIMEWEKA EPISOD NNE NAOMBA KWA USIKU NIWAACHIE HII NIPUMZIKE KESHO TUTAENDELEA NA ZINGINE ISHALLAH HADI TUMALIZE
Malizia hata moja shekhe mbona bado mapema Sana!
 
[emoji28]kwaiyo mkuu auta jibu comment zetu maana mmh
 
Konda msafi akijaribu kuwahi kuzuia uzi usiendelee
20210506_215437.jpg
 
Back
Top Bottom