Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
nikiskia mbuzi yeyote analeta mambo ya kikonda msafi
Nashuka nae jumla jumla
Nashuka nae jumla jumla
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati wa kumshughulikia neomba sub mkuunikiskia mbuzi yeyote analeta mambo ya kikonda msafi
Nashuka nae jumla jumla
Siyo tunasukubiriUpo sawa kabisa ni kweli wazambia wanapenda kuweka sukari kwenye wali.alafu hiyo si KASUBALESA ni KASUMBALESA tupo pamoja mkuu tunasukubiri
Sisi tuliwwka sana nyaya za umeme ile inayo fukiwa chini ya ardhi...Zilikuwepo sana lakini chache na tena zilikua zile za kizamani sio za picha. Anakuja kukuonesha manamba namba tu ila zilikua boshen balaa sumtym zinazingua hazinakili kitu akija anafika dirishani anatoa macho tu
Nakumbuka mpaka kuna kipind tukawa tunadanganyana kuwa ukiwasha waipa tochi haisomi
Barabara ya Dar Moro ndo walikuwepo sana na hiyo ya mbeya
Kipande cha Moro Dom nilishawah kukamatwa 2002/2003
Mkuu yupo sahihi tochi zilikuwepo..Umeanza uongo kusema mkapigwa tochi...Miaka hiyo tochi haikuepo.
Sio kireja reja!?nikiskia mbuzi yeyote analeta mambo ya kikonda msafi
Nashuka nae jumla jumla
Mkuu Rama asingefanya hivyo ilikua aondoke yeye, kwa upande wangu alikua sahihi na huyo jamaa alipata stahiki zake!Huyo rama ni katili sana
Hatukutaki hapa kwa sababu huna chura!Story nzuri nimefatilia mwanzo hadi ilipoishia ila huyo Rama hicho kisasi duh kukanyaga mtu na gari makusudi mwili umenisisimka 🤔
Ntaendelea kufatilia
Hiii huyu vipi jamani! Story ya Congo inahusiana vipi na chura😀 mpaka sahivi chura la babe wako limekupa mafanikio gani? Umenunua ndege?😏Hatukutaki hapa kwa sababu huna chura!