Maisha na mikasa ya safari yangu nchini DR Congo miaka ya 2000's hadi kutaka kupigwa risasi hadharani

Maisha na mikasa ya safari yangu nchini DR Congo miaka ya 2000's hadi kutaka kupigwa risasi hadharani

Story nzuri nimefatilia mwanzo hadi ilipoishia ila huyo Rama hicho kisasi duh kukanyaga mtu na gari makusudi mwili umenisisimka 🤔

Ntaendelea kufatilia
Hahaaa mie ntasimulia siku moja nilivyomkata mtu mkono panga kama 30 hivi hadi nikaung'oa halafu nikaufunga kwenye kisalufeti kumpelekea boss. Miaka mingi sana iliyopita walikua wanatuibia sana mizigo tukawategea kilima kimoja nyanda huko

Boss kila siku anatukata mshahara mke wangu ana mimba safar wiki nzima narud nyumban sina hela. Tukaamua kula nao sahani moja

Tunafika Tanga nakabidhi mzigo umetimia nikamwambia boss kila siku tunaibiwa gar haina nguvu inapanda kilima kwa shida huelewi. Leo tumewashughulikia anashangaa nikamfungulia ule mfuko Hahahaha nusu akimbie ofisi. Kuanzia kwenye biceps hapa mpaka vidole mzigo kama wa roboti
 
Asalam. Ndugu samahani kwa kushindwa leo kuweka episod inayofuata kwa kweli leo nimeamka na mafua makali sana hivyo nimemeza tembe za mafua kichwa kinagonga balaa hata kuandika naona uvivu .

Ndo natoka msikitini kuswali ijumaa si unajua mimi ni wisilamu pia nimefunga naomba nillale kidogo then kichwa kitulie nikishapa au kabla iftari nawaahidi ntashusha uzi kama wote ishallah nawaahidi kuimalizia hii story yote siishi njiani .wabilah tawfiq
Haya bana, pole
 
Hahaaa mie ntasimulia siku moja nilivyomkata mtu mkono panga kama 30 hivi hadi nikaung'oa halafu nikaufunga kwenye kisalufeti kumpelekea boss. Miaka mingi sana iliyopita walikua wanatuibia sana mizigo tukawategea kilima kimoja nyanda huko

Boss kila siku anatukata mshahara mke wangu ana mimba safar wiki nzima narud nyumban sina hela. Tukaamua kula nao sahani moja

Tunafika Tanga nakabidhi mzigo umetimia nikamwambia boss kila siku tunaibiwa gar haina nguvu inapanda kilima kwa shida huelewi. Leo tumewashughulikia anashangaa nikamfungulia ule mfuko Hahahaha nusu akimbie ofisi. Kuanzia kwenye biceps hapa mpaka vidole mzigo kama wa roboti
Safi Sana uliwanyoosha ao mandezi.....Kuna watu wanapata hela kwa wizi...hio ndo dawa yao...!...Natafuta wa mfano huku mtaani nichinje kabisa Kama kuku...
 
Hahaaa mie ntasimulia siku moja nilivyomkata mtu mkono panga kama 30 hivi hadi nikaung'oa halafu nikaufunga kwenye kisalufeti kumpelekea boss. Miaka mingi sana iliyopita walikua wanatuibia sana mizigo tukawategea kilima kimoja nyanda huko

Boss kila siku anatukata mshahara mke wangu ana mimba safar wiki nzima narud nyumban sina hela. Tukaamua kula nao sahani moja

Tunafika Tanga nakabidhi mzigo umetimia nikamwambia boss kila siku tunaibiwa gar haina nguvu inapanda kilima kwa shida huelewi. Leo tumewashughulikia anashangaa nikamfungulia ule mfuko Hahahaha nusu akimbie ofisi. Kuanzia kwenye biceps hapa mpaka vidole mzigo kama wa roboti
Tobaa mkuu wewe ni true story ama ?🤔🤔
 
Hahaaa mie ntasimulia siku moja nilivyomkata mtu mkono panga kama 30 hivi hadi nikaung'oa halafu nikaufunga kwenye kisalufeti kumpelekea boss. Miaka mingi sana iliyopita walikua wanatuibia sana mizigo tukawategea kilima kimoja nyanda huko

Boss kila siku anatukata mshahara mke wangu ana mimba safar wiki nzima narud nyumban sina hela. Tukaamua kula nao sahani moja

Tunafika Tanga nakabidhi mzigo umetimia nikamwambia boss kila siku tunaibiwa gar haina nguvu inapanda kilima kwa shida huelewi. Leo tumewashughulikia anashangaa nikamfungulia ule mfuko Hahahaha nusu akimbie ofisi. Kuanzia kwenye biceps hapa mpaka vidole mzigo kama wa roboti
Anzisha uzi tuisome mkuu
 
Hahaaa mie ntasimulia siku moja nilivyomkata mtu mkono panga kama 30 hivi hadi nikaung'oa halafu nikaufunga kwenye kisalufeti kumpelekea boss. Miaka mingi sana iliyopita walikua wanatuibia sana mizigo tukawategea kilima kimoja nyanda huko

Boss kila siku anatukata mshahara mke wangu ana mimba safar wiki nzima narud nyumban sina hela. Tukaamua kula nao sahani moja

Tunafika Tanga nakabidhi mzigo umetimia nikamwambia boss kila siku tunaibiwa gar haina nguvu inapanda kilima kwa shida huelewi. Leo tumewashughulikia anashangaa nikamfungulia ule mfuko Hahahaha nusu akimbie ofisi. Kuanzia kwenye biceps hapa mpaka vidole mzigo kama wa roboti
Dah, we kiboko! Yaani ukasafiri kabisa na mkono wa jamaa?
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ndugu zangu bila shaka mwenyezimungu anaendelea kutupigania hadi sasa.

Ndugu leo naona nilete story kidogo kuhusu safari yangu moja hivi nchini DRC mikasa na visa mbali mbali kwa kipindi chote cha safari wakati napambana na maisha kwenye udereva ili niweze kuishi kama mnavyojua maisha ni popote na kujaribu ni muhimu kuangalia kila sehemu ili uweze kutoka ukinzingatia kuwa wengine shule yetu ni kidogo hivyo ni muhimu kijipambania kwa kila hali ili uweze kujikimu kimaisha tukawa tunashike hili na lile ili mrasi tuweze kuishi.

Story yangu ni ndefu kigodo ila ntajitahidi niimalize kwa wakati ili kuepuka zile maneno za kakimbia sijui nini ila naomba tuwe na uvumilivu tu kwani swala la kuandika nalo ni mtihani ukizingalia device tunazo tumia sio rafiki .kwa wale wasio wavumilivu naomba tupite tu hakuna haja ya kulalamika.

Story inaanzia hapa...

Miaka 2000's kulitokea wimbi kubwa la usafirishaji wa magari kutoka bandarini Dar kwenda DRC kipindi kicho ikitwa congo (kama sijakosea) kipindi hicho nilikuwa najishughulisha na udereva taxi pale Mapambano kijitonyama nikipindi ambacho biashara ya taxi ilikuwa na hela kiasi kwani biashara ya Bajaji na bodaboda ilikuwa bado na watu walikuwa hawajazoea kupanda vyombo hivyo, basii maisha yakawa yanasonga mbele kama sijasahau mwishoni mwa miaka ya 2001 ndo vita congo ilikuwa imepowa japo nilikuwa siwahi kufika huko hata mara moja.

Kijiweni kulikuwa kuna mshikaji alikuwa anaitwa Rama kwanza nikili kuwa huyu jamaa alikuwa mjanja kupitiliza na alikuwa anasafiri sanaa inasemekana hata nganda alikuwa anabeba japo tulikuwa wote pale pale kijiweni nae ana kigari chake mwenyewe anabeba abiria ndipo akanipa mchongo wa kusafiirisha magari ya wa kongo kwenda Congo kipindi hali haikuwa nzuri kwakweli hivyo madereva wengi walikuwa hawapendi kwenda huko japo wacongo walikuwa wanapanda offer ya mpaka dolla 250 kuifikisha gari KASUBALESA boda ya Congo na zambia then unamwachia anamilizia kipande chake.

Hapo ndipo jamaa yangu Rama alipopata hiyo fursa kwa jamaa yake alieoko pale bandarini ambae alikuwa na kampuni yake ya clearing na fowarding pale bandarini na kumwambia kuwa kuna wacongo wanahitaji magari yao yafike lumbumbashi then wao watayasafirishi kwa ndege kwenda kinshasa ila wao hawapandi hizo gari wao tutakutana lumbumbashi sehemymu moja sehemu moja kunaitwa KOTA naona nikaribu na soko kubwa la Lubumbashi mjini katikati.

Cha ajabu jamaa walitoa pesa yote kwa jamaa yao wa pale bandarini na kampuni ndo ilitakiwa isimamie kila kitu hapo ndipo mwanangu Rama akanitustua nakumbuka ilikuwa ni kati ya mwezi wa tano kwenda wa sita. Mvua zinanyesha Dar hakuna mfano abiria hakuna nikaona bora nitoe gari kwa jamaa nikimbize IT kwanza nami nipate uzoefu.

Baada ya jamaa yangu kuweka mambo sawa ikiwemo kupata passport ya karatasi na chanjo ya homa ya manjano mzes mzima siku ikawadia jamaa yule akatupa dolla 100 advance, 50 maillage na 50 ya barabarani nikiongea bararani mnilewe hiyo ya wazee .Gari mpya kutoka kiwandani yani bado zina makaratasi mitusubishi dabo cibin mpya kabisa wazee tukawekewa full tank. Zikabandikwa number za IT .siku ya j2 ndo safiri ikawa imeanza rasmi mara ya kwanza kusafiri na magari ya IT ila mwenzangi rama yeye alikuwa mzoefu hata kwa njia hio pia alikuwa anaijua vizuri na alikuwa anajua hata kizambia kidogo na kikongo kisawahili chao kile cha kuya Papa uko na makuta ngapi? Hhhhaaaa...

Safari imeanza.

ITAENDELEA JIONI...
Inaendeleaa sehemu ya tano....

Haya wandugu sasa tuendelea na kipindi hiki cha kutafutia usingizi naamini mlikuwa mnanisubiri kwa hamu japo afya bado mgogoro kidogo...

Kwanza niwashukuru wote mlionipa pole asanteni na mungu awabariki wote mnaocoment na wala ambao mnachungulia kiaina uzi ...

Sasa tuendelee .. giza likaingia mwisho kukakucha mapema tupo kwa jamaa japo nililala chumba kimoja na rama lakini nilivyoamka sikumuona ila mabegi yetu yapo chumbani nikajua tu huyu amedamka kumbe mpuuzi huyu kanikimbia usiku mwingi sanaa kwenda kutafuta mabibi huko aise yani ugenini lakini bado unaonyesha uhuni wako shukrani chumba tulichopewa ni chumba cha njee tena kipo karibu na barabara kabisa yanii ukifungua mlango tu upo barabarani ..duuhh .
Nikaamka ila aise nilikuwa na uchovu wa kufa mtu nilitamani nilale hadi saa sita lakini ikawa haiwezekani mtu mzima nikaamka nikajiweka safi nikatoka nje nikawa nimekaa tu kwenye jiwe nje ya chumba na msikilizia rama kama atakuja unajua miaka ile simu ilikuwa ishu ni watu wachache walikuwa na simu ila rama alikuwa nayo ya alcatel kubwa kubwa hivi ndo alikuwa anatumia kufanya mawasiliano njia nzima na jamaa wale .
Sasa kwakuwa sikua na simu nikawa nimetulia nasikilizia na kweli saa moja kamili jamaa akafika ameongezana na yule mwenyeji wetu cha kushangaza kanisalimia tu na kuniomba passport sasa nikajiuliza huyu vipi pass yangu ya nini tena mbona kazi imeishia hapo nikaona nisilete ujeuri mbele ya mwenyeji nisije onekana mkorofi labda kuna mambo anaweka sawa ili tukabidhi mzigo tusepe nikamkabidhi likawa kosa .

Akasema dogo nisubiri hapo akaondoka na yule jamaa wakakaa kama nusu saa hivi akarudi pekee yake akanikabidhi pass yangu kuangalia mama yangu kucheki imeshagongwa tayari muhuri wa zambia na congo tobaaa kwanza nikamshangaa nikamuuliza sasa ndugu si tunaishia hapa akajibu tena simple tu dogo tunatoboa hatuwezi acha dola 75 kwa kilomita 100 jiandae twenzetu wanaokuja kupokea haya magari wameshindwa jana zilichapwa njia ya kuu ya lubumbashi hivyo hawawezi kuja tumeambiwa tumalizie kazi aise nilimuangalia rama kwa hasira iliyochanganyika na hofu kubwa moyoni hadi nikajuta kwanini nimemsikiliza huyu kichaa tukaanza malumbano mle chumbani ya kwanini yeye anafanya mambo bila kunishirikisha yeye yupo kimya tu anapanga nguo zake hana habari anacheka tu .

Yani hakuna kitu kibaya kama kuongozwa na mtu ambaye hakushirikishi katika kuamua njia ipi upite yani kwanza njia huijui hujui unarudi vipi ? Pesa yote hujamaliziwa maboss wanamjua rama wewe hawakujui maanake rama ndo angenilipa.mimi sio wao nikatafakari sanaa nikasema ni kimbishia au nikiendele kuwamkaidi ntakosa haki zangu zote yani ataniacha na hela sintopata nikapiga moyo konde ngonja nione ila tukawa sasa tunatembea kuelekea kwenye gari lakini hatuongei yani tumenuniana yani jamaa ana roho ngumu vibaya .

Madereva wa maroli nauzoefu wao wote wa njia waligoma kuanzaa safari siku hiyo mpaka escort kutoka lubumbashi lakini huyu chizi analazimisha tutembee hivyo hivyo njia ambayo janaa yake tu usiku zimipigwa tena sio kupigwa tu askali wa congo walikimbia kabisa mapigano huyu mwehu analazimisha nikawa nawaza huyu jamaa ni chizi au ...

Ebwana baada ya kumaliza kuweka kila kitu sawa nafikiri sisi ndo tulikuwa wa kwNza kukaguliwa sikuona mtu pale custom anagonga nadhani walikuwa wanasikilizia kwanza .tukawasha gari tukavuka upande wa congo ila wakati tunakaguliwa macho ya wale jamaa custum ya zambia kama yalikuwa yanatuangalia kwa huruma vile yanii kama wanataka kuniambia jambo lakini wanasita.

Sasa ikawa ni zamu ya upande wa kongo , boda nzima imejaa wanajeshi tupu yani utafikiri vita jana ilipiganwa hapo wamechafuka vibaya yanii inaoenakana janaa walikuwa na shughuri nzito na kweli wakawa wanahadithia mapigano ya usiku wanaongea kiswahili chao kibovu lakini nikawa nawaelewa wamebeba silaha nzito za kivita hadi zile za kuchomeka kwenye gari nyuma.


Naomba niongee kitu.

Kuna utofauti mkubwa kati ya ujasiri na uoga unaweza ukawa commando au hata General lakini usiwe jasiri lakini unaweza ukawa mtu wa mtaani tu huna mafunzo hata ya mgambo lakini ukawa jasiri vibaya mno , na swala la ujasiri sio swala la kufundishwa ujasiri mtu anazaliwa nao akiwa jasiri na yale mafunzo ya sijui jeshi ,polisi sio ya kukupa ujasiri ni kwaajili ya kukufanya usiwe muoga fanyeni uchunguzi utakuja kukubaliana na mimi

Sasa wakati mimi sina hili wala lili akili.iko mbali sanaa hili.jamaa(rama ) linabonga tu na wala wanajeshi linapiga story linacheka vibaya tena kwa sauti tena wanalipa.kabisa bunduki linashika kama linalenga shabaha nao wanashangilia kama vile wamempata mwanajeshi mpya wa kujitolea aise.

Wakati tuka bado boda pale mimi sijui kinachoendelea na rama lipo kwa wanajeshi tena wameliweka mtu kati linapiga maneno kama lienyeji akaja mtu moja hivi dirishani kumbuka mimi nipo ndani ya gari nimejikunyata nasubiri kupokea amri kwa rama twende ama laa
Akagonga nikashusha kioo akawa anaulizia kuwa tunaenda lumbumbashi unajua pale mara nyingi madereva wa IT huwa wanakula vichwa vya abiria sasa nikamjibu ndio akaniuliza saa ngapi nikamwambi sii mda mrefu akaniambia yeye kaja janaa usiku hapo boda ni mfanya biashara ila njiani walikuta maiti nyingi za wanajeshi wamekufa na raia sasa iweje sisi tuharakishe kabla hali haijawa shwarii ? Ndugu zangu niseme tu ukweli nilihisi kimkojo kinanitiririka kwa mbali nikajaribu kuuzia lakini wapi hakuna kitu kibaya kama hofuu licha takuuzia mkojo lakini ulitoka.....mamaaee nikaon kifo hiki.

Itaendelea ..........ngoja niangalie beyhadh( chizi wa mapenzi ) nitarudi ishallah.
 
Inaendeleaa sehemu ya tano....

Haya wandugu sasa tuendelea na kipindi hiki cha kutafutia usingizi naamini mlikuwa mnanisubiri kwa hamu japo afya bado mgogoro kidogo...

Kwanza niwashukuru wote mlionipa pole asanteni na mungu awabariki wote mnaocoment na wala ambao mnachungulia kiaina uzi ...

Sasa tuendelee .. giza likaingia mwisho kukakucha mapema tupo kwa jamaa japo nililala chumba kimoja na rama lakini nilivyoamka sikumuona ila mabegi yetu yapo chumbani nikajua tu huyu amedamka kumbe mpuuzi huyu kanikimbia usiku mwingi sanaa kwenda kutafuta mabibi huko aise yani ugenini lakini bado unaonyesha uhuni wako shukrani chumba tulichopewa ni chumba cha njee tena kipo karibu na barabara kabisa yanii ukifungua mlango tu upo barabarani ..duuhh .
Nikaamka ila aise nilikuwa na uchovu wa kufa mtu nilitamani nilale hadi saa sita lakini ikawa haiwezekani mtu mzima nikaamka nikajiweka safi nikatoka nje nikawa nimekaa tu kwenye jiwe nje ya chumba na msikilizia rama kama atakuja unajua miaka ile simu ilikuwa ishu ni watu wachache walikuwa na simu ila rama alikuwa nayo ya alcatel kubwa kubwa hivi ndo alikuwa anatumia kufanya mawasiliano njia nzima na jamaa wale .
Sasa kwakuwa sikua na simu nikawa nimetulia nasikilizia na kweli saa moja kamili jamaa akafika ameongezana na yule mwenyeji wetu cha kushangaza kanisalimia tu na kuniomba passport sasa nikajiuliza huyu vipi pass yangu ya nini tena mbona kazi imeishia hapo nikaona nisilete ujeuri mbele ya mwenyeji nisije onekana mkorofi labda kuna mambo anaweka sawa ili tukabidhi mzigo tusepe nikamkabidhi likawa kosa .

Akasema dogo nisubiri hapo akaondoka na yule jamaa wakakaa kama nusu saa hivi akarudi pekee yake akanikabidhi pass yangu kuangalia mama yangu kucheki imeshagongwa tayari muhuri wa zambia na congo tobaaa kwanza nikamshangaa nikamuuliza sasa ndugu si tunaishia hapa akajibu tena simple tu dogo tunatoboa hatuwezi acha dola 75 kwa kilomita 100 jiandae twenzetu wanaokuja kupokea haya magari wameshindwa jana zilichapwa njia ya kuu ya lubumbashi hivyo hawawezi kuja tumeambiwa tumalizie kazi aise nilimuangalia rama kwa hasira iliyochanganyika na hofu kubwa moyoni hadi nikajuta kwanini nimemsikiliza huyu kichaa tukaanza malumbano mle chumbani ya kwanini yeye anafanya mambo bila kunishirikisha yeye yupo kimya tu anapanga nguo zake hana habari anacheka tu .

Yani hakuna kitu kibaya kama kuongozwa na mtu ambaye hakushirikishi katika kuamua njia ipi upite yani kwanza njia huijui hujui unarudi vipi ? Pesa yote hujamaliziwa maboss wanamjua rama wewe hawakujui maanake rama ndo angenilipa.mimi sio wao nikatafakari sanaa nikasema ni kimbishia au nikiendele kuwamkaidi ntakosa haki zangu zote yani ataniacha na hela sintopata nikapiga moyo konde ngonja nione ila tukawa sasa tunatembea kuelekea kwenye gari lakini hatuongei yani tumenuniana yani jamaa ana roho ngumu vibaya .

Madereva wa maroli nauzoefu wao wote wa njia waligoma kuanzaa safari siku hiyo mpaka escort kutoka lubumbashi lakini huyu chizi analazimisha tutembee hivyo hivyo njia ambayo janaa yake tu usiku zimipigwa tena sio kupigwa tu askali wa congo walikimbia kabisa mapigano huyu mwehu analazimisha nikawa nawaza huyu jamaa ni chizi au ...

Ebwana baada ya kumaliza kuweka kila kitu sawa nafikiri sisi ndo tulikuwa wa kwNza kukaguliwa sikuona mtu pale custom anagonga nadhani walikuwa wanasikilizia kwanza .tukawasha gari tukavuka upande wa congo ila wakati tunakaguliwa macho ya wale jamaa custum ya zambia kama yalikuwa yanatuangalia kwa huruma vile yanii kama wanataka kuniambia jambo lakini wanasita.

Sasa ikawa ni zamu ya upande wa kongo , boda nzima imejaa wanajeshi tupu yani utafikiri vita jana ilipiganwa hapo wamechafuka vibaya yanii inaoenakana janaa walikuwa na shughuri nzito na kweli wakawa wanahadithia mapigano ya usiku wanaongea kiswahili chao kibovu lakini nikawa nawaelewa wamebeba silaha nzito za kivita hadi zile za kuchomeka kwenye gari nyuma.


Naomba niongee kitu.

Kuna utofauti mkubwa kati ya ujasiri na uoga unaweza ukawa commando au hata General lakini usiwe jasiri lakini unaweza ukawa mtu wa mtaani tu huna mafunzo hata ya mgambo lakini ukawa jasiri vibaya mno , na swala la ujasiri sio swala la kufundishwa ujasiri mtu anazaliwa nao akiwa jasiri na yale mafunzo ya sijui jeshi ,polisi sio ya kukupa ujasiri ni kwaajili ya kukufanya usiwe muoga fanyeni uchunguzi utakuja kukubaliana na mimi

Sasa wakati mimi sina hili wala lili akili.iko mbali sanaa hili.jamaa(rama ) linabonga tu na wala wanajeshi linapiga story linacheka vibaya tena kwa sauti tena wanalipa.kabisa bunduki linashika kama linalenga shabaha nao wanashangilia kama vile wamempata mwanajeshi mpya wa kujitolea aise.

Wakati tuka bado boda pale mimi sijui kinachoendelea na rama lipo kwa wanajeshi tena wameliweka mtu kati linapiga maneno kama lienyeji akaja mtu moja hivi dirishani kumbuka mimi nipo ndani ya gari nimejikunyata nasubiri kupokea amri kwa rama twende ama laa
Akagonga nikashusha kioo akawa anaulizia kuwa tunaenda lumbumbashi unajua pale mara nyingi madereva wa IT huwa wanakula vichwa vya abiria sasa nikamjibu ndio akaniuliza saa ngapi nikamwambi sii mda mrefu akaniambia yeye kaja janaa usiku hapo boda ni mfanya biashara ila njiani walikuta maiti nyingi za wanajeshi wamekufa na raia sasa iweje sisi tuharakishe kabla hali haijawa shwarii ? Ndugu zangu niseme tu ukweli nilihisi kimkojo kinanitiririka kwa mbali nikajaribu kuuzia lakini wapi hakuna kitu kibaya kama hofuu licha takuuzia mkojo lakini ulitoka.....mamaaee nikaon kifo hiki.

Itaendelea ..........ngoja niangalie beyhadh( chizi wa mapenzi ) nitarudi ishallah.
Tunakusubiri maana sio kwa utamu huo wa story yako
 
Back
Top Bottom