Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahhaahahaha we ni mjinga SANA. Hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23],,, maswali mengine bhana!!...Sasa kama aliuwawa angesimuliaje?...we subiri sehemu ijayo
Naomba link ya huo uziVp kule jamaa na story yake ya dhahabu botswana. Nae naona Yuko mapumziko anyway nimeamua kuweka kamb apa kule nahama hi imekuwa interesting zaid
Yaani mbongo kwa kuwa sensitive and makini kwa kuchimba Mambo ambayo hata hayamsaidii hajambo. Mtu analeta story Mara chai. Iwe ukweli isiwe kweli mie hainisaidii najisomea kuburudika tu
Pole madame lazima amygdala ifanye kazi yakeNajiona na mie nimo ndani ya story,
Hasa ile scene ya kupita porini,
Nilikua nasoma huku natetemeka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hivyo ndgu, kwa mtu anaejielewa unakua ushajua natakiwa kufanya nini lakini sio kukaza ubongo kama unavyofanya.Tulia wewe,umenogewa na hadithi?
😂😂😂 Aisee umenkumbusha story flani hivi.Wakati tunasubiri mwendelezo, naomba kuuliza swali moja, kwenye part ya mwisho umesema Askari waliwaelekeza bunduki, swali, je waliwaua au waliwaacha?
Swali la nyongeza, kama waliwaua, unaandika hii story ukitokea wapi?
Ahahaaaaa....! Aje adai chura yake yenye kumletea mafanikioNimekukosea nini mkuu, mbona unanichongea[emoji3][emoji2088]
😂😂😂 Aisee umenkumbusha story flani hivi.
Kuna jamaa wawili walikua baa wanakata maji sasa mmoja akatoka kwenda maliwato, sasa kakaa uko mda mreefu, aliporudi mchizi wake akamuuliza "vipi mwanangu mbona umechelewa sana"
Jamaa akaanza kumpa story ""ebana ee ile naingia tu toi nikakutana na njemba kama 4 ivi zina bunduki, nikaambiwa nichague moja wanipige risasi au waniinamishe""
Mshkaji wake kwa mshtuko akauliza "dah sasa ilikuaje aisee""
Jamaa kwa hasira akamwambia "we mpuuzi nini kwani umeskia mlio wa bunduki huko"
Mchizi alishindwa jiongeza kua jamaa alichukua option namba 2 😂😂
Mafaniko gani ya chura🤭 😂Ahahaaaaa....! Aje adai chura yake yenye kumletea mafanikio
Waliwaua mkuu. Anaandika hii story kutokea kuzimuWakati tunasubiri mwendelezo, naomba kuuliza swali moja, kwenye part ya mwisho umesema Askari waliwaelekeza bunduki, swali, je waliwaua au waliwaacha?
Swali la nyongeza, kama waliwaua, unaandika hii story ukitokea wapi?
Mtu anasema ni chai afu bado anasoma aise aliyeturoga alikufagaYaani mbongo kwa kuwa sensitive and makini kwa kuchimba Mambo ambayo hata hayamsaidii hajambo. Mtu analeta story Mara chai. Iwe ukweli isiwe kweli mie hainisaidii najisomea kuburudika tu