Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaionaje swaum asubuhi hii?Hadithi tamu hadi swaum siioni,nipo tuned mzee baba shusha mavitu tuendelee kusahau mashida yetu.
FactMkuu uzi,,utaisha kweli mbona kama speed imeanza kuwa ya kobe, maana uzi ukishafikisha views 7above ndiyo huwa waandishi inaanza kuwa changamoto.
Awali ulianza vzr episode hata 3 sasa naona kwa cku 1.
Kaza mkono shusha hata episode 4 kwa cku.
Sie wasomaji unapokaa cku nzima unanunua bando kisa uzi, half unakuta hakuna episode hata 1, au unakuta 1 cku nzima au cku mbili inafedhehesha.
Hivyo shusha mzigo uzi uishe tuendelee na mengine.
Weka picha nzima tuone bambataa Kama Ni pisi kweliLeta vitu
Haya kaza kalio hapo kwny kochi,story itaendelea.Ndo hivyo ndgu, kwa mtu anaejielewa unakua ushajua natakiwa kufanya nini lakini sio kukaza ubongo kama unavyofanya.
Kmaa ulivyosubiri mechi ya Simba na YangaHizi disappoint hizi yaani nimesubiri weeee mwishowe ndio haya, dah haya mkuu usiku mwema, tukijaaliwa[emoji106]
Vitu gani?Leta vitu
Yaani we acha tu, Sema hii nchi tushaizoea sasa kila kila ni dissappoints tu[emoji26]Kmaa ulivyosubiri mechi ya Simba na Yanga
Pole tuivumilie tuuYaani we acha tu, Sema hii nchi tushaizoea sasa kila kila ni dissappoints tu[emoji26]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vile tunasubiria kwa hamu stori iendelee[emoji1][emoji1][emoji1]
View attachment 1778782
Twende Congo[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Congo sio Kongowe!!Konda msafi kama namuona anavoiangalia congo ili aje na mambo yake[emoji1][emoji1][emoji1]
Kibaya zaidi congo kama inakuja hivi inakataa....![]()
Congo sio Kongowe!!Twende Congo[emoji3]