Maisha na mikasa ya safari yangu nchini DR Congo miaka ya 2000's hadi kutaka kupigwa risasi hadharani

Maisha na mikasa ya safari yangu nchini DR Congo miaka ya 2000's hadi kutaka kupigwa risasi hadharani

Hadithi tamu hadi swaum siioni,nipo tuned mzee baba shusha mavitu tuendelee kusahau mashida yetu.
 
Mkuu uzi,,utaisha kweli mbona kama speed imeanza kuwa ya kobe, maana uzi ukishafikisha views 7above ndiyo huwa waandishi inaanza kuwa changamoto.

Awali ulianza vzr episode hata 3 sasa naona kwa cku 1.

Kaza mkono shusha hata episode 4 kwa cku.

Sie wasomaji unapokaa cku nzima unanunua bando kisa uzi, half unakuta hakuna episode hata 1, au unakuta 1 cku nzima au cku mbili inafedhehesha.

Hivyo shusha mzigo uzi uishe tuendelee na mengine.
Fact
 
Yaani Kanda bongo man njia nzima hujatoa hata pua moja au hukuona pisi Kali yeyote ? Tafadhali sheh
 
Kama sio mtembeaji nje ya Tanzania huwezi amini ukihadithiwa, waweza dhania ni stori tu lakini watu wanayokutana nayo njiani, Mungu ndio anajua!
 
Konda msafi kama namuona anavoiangalia congo ili aje na mambo yake[emoji1][emoji1][emoji1]

Kibaya zaidi congo kama inakuja hivi inakataa....
giphy.gif
 
Back
Top Bottom