[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]Nyie mnao sema hatupigi kura mna uhakika!!?
Mnajua vigezo vya kumpata mshind kama ni kura tuu!!?
Je mshindi kapata kura ngapi!!?
Na mtz kapata kura ngapi!!?
Maana mi natoa povu hapa nna uhakika kura nilipiga
Hongereni wakenyaSafari ya kulalamika kuonewa kila siku? . Inakua km eddy kenzo baada ya kukosa tuzo sasa.
Kwakwel Kenya ni majirani hapo kabisa mdada hajapendelewa. Next time upige kura[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haku deserve kumshinda msechu yule ankoMshindi kutoka Uganda Davis alijinyakulia zaidi ya Tsh. 30,000,000/- huku akijipatia mkataba wa kurekodi Album na kampuni kubwa huko Afrika ya Kusini.
Mkuu aliyeshinda kwenye TUSKER PROJECT FAME sio Mkenya ni Mganda, Peter Msechu ndo nafasi ya pili kutoka Tz.
Nashukuruni kwa taarifamkuu hawa wanaosema tpf walikuwa wanashinda wakenya sidhan kama walikuwa wanaifuatilia.....ktk season zote Uganda ndio waliongoza kwa kuchukua mara nyingi tena kila aliyeshinda alikuwa anadeserve kabisa....ktk maisha plus mwaka huu wakenya wote walikuwa serious tena walijipanga kushinda sio watz maneno mengi tena nonsense....
Mkuu acha uongo mbona kwenye hilo shindano alishinda mnyarwanda na mkenya akawa wa pilli?
Bro mi nimeumia kama yanga imefungwa na simba vile.[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
Hongera sana mkuu kwa uzalendo.
Si majungu, ana stahili kuingia top 3 ila kushinda hapo kapewa, na hakukua na ulazima huoHivi ni kapewa ushindi au kashinda? Anastahili acheni majungu
Idrisa alivyoshinda big brother kwani kulikuwa hamna wa south kule piga kula za kutosha mkuu acha lawamaYani huu ni uwazi usiopingika kina masoud mmeongozwa na Ile kitu mtaonekana wabaguzi yani mmempa ushindi mkenya sababu hiyo hiyo tu
Kijana wa dodoma alikuwa ana sifa zote za kuwa mshindi
Yani shindano lipo kwenye aridhi yetu na Kijana wetu kaonyesha kabisa anaweza ila hisia tu zimewaongoza mmempa ushindi mkenya
Kiukweli mmeboa
Kura ndiyo kigezo
Leo tumeshuhudia kilichtke maisha plus mkenya kaondka na M 30 zake kiulainiiiiiiih
Tatzo linakuja hapa baada ya mchujo kupita then kuna kitu kinaitwa kupiga kura mwisho wa siku nchi jirani lazima washinde kwasababu ya upigaji wa kura
Kumbuka kwa Tz kuna washiriki wa kila mkoa so kila mkoa watajaribu kumpigia kura mtu wao ninachomaanisha kura zinagawanyika kila mtu kutokana na kundi lake
Kwa nchi za jirani lazima washinde kwa kigezo kua nchi nzima wanahimizana kumpigia kura mtu mmoja ama wawili wanaowakilisha nchi yao
Labda kama kuna mtu wakuniproce wrong aje lakn kwa namna hii hatutofka mbali na ukizingatia kura hazina limitation
GERANT LE GERANTEEH
so mkuu ww unataka mtanzania ashinde tu?Nashukuruni kwa taarifa
Mtanzania mwenzetu aliwahi shinda pale tpf!!?
Sawa mkuu.Bro mi nimeumia kama yanga imefungwa na simba vile.
We siku jaribu kwenda kwenye nchi za wenzetu hata kwenyw mashindano ya mashule tuu huwa wana kaza wanajua kunyanyuana
Huku utakuta zaid zaid tunapondana wenyewe kwa wenyewe
Mashindano ya tusker project fame yamefanyika kenya mara zote na hakuna mkenya alieshinda labda kama kumbukumbu zangu hazipo sawaHivi hilo shindano linge andaliwa Kenya mbongo yeyote angeweza kubeba kweli!!? Nawaza tuu lakin
Halafu watu wanasema mkenya kastahili kwa lipi!!?Kura sio kigezo mi roho imeuma mpaka bac yaan mkenya kuchukua hizo hela ni dharau tosha.
Watu tumepiga kura za kutosha ili kijana wa Dodoma ashinde
Lkn tumechinjiwa baharini. Next time sipigi kura
Amewahi sana na haiwezekani wawe hawajahi kushindaMashindano ya tusker project fame yamefanyika kenya mara zote na hakuna mkenya alieshinda labda kama kumbukumbu zangu hazipo sawa