mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Ubaguzi kwenyewe bongo upo wa wenyewe kwq wenyeweNashangaa mwamba anakomaa ubaguzi ubaguzi... katika mambo ambayo hayanipi shida ni ubaguzi
Ubaguzi hutakiwi kuutilia maanani
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubaguzi kwenyewe bongo upo wa wenyewe kwq wenyeweNashangaa mwamba anakomaa ubaguzi ubaguzi... katika mambo ambayo hayanipi shida ni ubaguzi
Tena ukiwa mbele huko bora uende ukakae sehemu ambayo Black uko pekee yakoNashangaa mwamba anakomaa ubaguzi ubaguzi... katika mambo ambayo hayanipi shida ni ubaguzi
Nishapitaga sehemu uko kuna mtoto akaja kunikimbilia akawa anasugua mkono aone kama rangi itatoka kwenye ngozi maana hajawahi onaNashangaa mwamba anakomaa ubaguzi ubaguzi... katika mambo ambayo hayanipi shida ni ubaguzi
😅😅😅 mzee hukuacha damu yako huko kweliNishapitaga sehemu uko kuna mtoto akaja kunikimbilia akawa anasugua mkono aone kama rangi itatoka kwenye ngozi maana hajawahi ona
Black
Ova
Bila shaka mji wa hao watu ulikuwa na paka wengi sanaKuna mipaka fulani ina manyoya, macho ya blue wengine njano
Wengine weusi tupu wengine weupe
Paka linauzwa mpk mln 5 ya kibongo mzee
Hata bongo kuna waturuki fulani nawajua wako kibaha walitoa deal wanataka lipaka jeusi tupu aside na madoti,macho blue wakatoa offer ya mln 7,kna watu nliwapa deal hilo walienda mbio mpk wenyewe wakachemsha [emoji1]
Ova
Kiongozi nimekutafuta PM, ila umefunga PM yakoHabari zenu wakuu !
Naomba mmtu mwenye uzoefu na maisha ya Poland, ashushe ABC zake ( ambae alikaa mda mrefu ikiwa kwa masomo au maisha )
Asanteni wakuu!
Yaani mkuu nimecheka hapo uliposema lugha yao ni ngumu kama unaitwa Kurwa usiende Poland. Nacheka hadi muda huu. Kweli kuna lugha za mstaifa ngumu Sana ikiwemo Polish na Finnish, pia Kituruki (Turkish) si mchezo kabisa. Ila kila kitu ni kukomaa tu mpaka utoboe.Kutokana na historia ya Taifa lao.
1.Very proud people ( Nationalism & Racism).
2.Straightforwad, kama hamfahamiani.
3. Almost catholic Nation
4. Miji midogo watakushangaa kwa kuwa ni mweusi ( watu huchanganya hii na ubaguzi).
5. Lugha yao ni Ngumu.
Kama unaitwa Kurwa usiende.
Huko kugegeda ni inshu, utamaliza sabuni tu kwa kuchukua sheria mkononiKuna ubaguzi sana, halafu kipolishi kigumu sana...
Labda kama ukienda kama football player
Kuna akina Joana huko unaweza otea
Kuna mitaa ukiwa Black utajuuta
Mji gani Mkuu Warszawa ama? Wapo hapa wakazi wa pale ambao ni members hapa JF siku nyingiHabari zenu wakuu !
Naomba mmtu mwenye uzoefu na maisha ya Poland, ashushe ABC zake ( ambae alikaa mda mrefu ikiwa kwa masomo au maisha )
Asanteni wakuu!
Heshima kubwa sana kwa brother Sambali. KatupokeaHivi sambali bado yuko huko
Alikuwaga kiongozi wa jumuiya ya watanzania huko,mke wake alikuwa anafanya biashara ya kuuza paka
[emoji1]
Ova
Msalimie sana ....poland nyumbani hukoHeshima kubwa sana kwa brother Sambali. Katupokea
😂😂😂Yaani mkuu nimecheka hapo uliposema lugha yao ni ngumu kama unaitwa Kurwa usiende Poland. Nacheka hadi muda huu. Kweli kuna lugha za mstaifa ngumu Sana ikiwemo Polish na Finnish, pia Kituruki (Turkish) si mchezo kabisa. Ila kila kitu ni kukomaa tu mpaka utoboe.