Maisha ya Afrika Kusini siyo poa

umedadavua vizuri, so kwa matembezi ya kawaida inapaswa kuwa na $ ngapi?
 
Namuona late Magufuli in ur head! Keep it up momy!!
 
Mzee unajua Nakusoma najiuliza kama nilishawahi kukujibu ama vipi, naona yanakutoka tu Mzee!!

Yani yote ulozungumza kuhusu South Africa hakuna la Ukweli hata moja 1, zaidi ya Takwimu za Boda labda na maeneo uloishi hapo Jozi.!

Na hii huwa inasababishwa na hili, umekuja SA ukakaa Joberg Mwezi mmoja,

Ila Una story za kuambiwa kuhusu Joberg.

Una story za kuambiwa kuhusu Gauteng.

Una story za kuambiwa kuhusu Cape town na miji yote, yani umeambiwa story nyiiingi na ulowwakuta, then wewe leo unaelezea as if una hakika 100!

Sehemu ambapo kulitakiwa tu kuwe na maoni yako, wewe unatupa taarifa...!

SA ni zaidi ya unavyoijua.
 
Unatakiwa umprove yeye ni mwongo kwa kueleza ukweli na sio maneno matupu
 
Miaka 10 mtu unakuwa unatumia akili ya kampuni gani aiseee? Yaani ugenini miaka 10 uwe na life lile lile la last year, aisee huyo mwamba wako anaonekana ni Marioo bila shaka.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Mmmmmmhmn we bwana unaonekana unaielewa vema sana jamii ya hawa wajukuu wa madiba na unaielewa vema sana Jografia yao.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…