Maisha ya Afrika Kusini siyo poa

Maisha ya Afrika Kusini siyo poa

Wengi ni wageni... especially dirty and armed robbery.

Kwani Kuna nchi isiyo na wahalifu? Jibu ni hakuna. Hivyo hata Wasouth wahalifu wapo.

Sasa tunajadili kwanini imekuwa kwa kiasi hicho hapo SA...

Mitanzania inatoka Kariakoo haijui inaenda kufanya nini SA! Kwasababu ya soko la ajira kubana ... for the survival wanaengage kwenye uhalifu.... Hao ni wabongo tu Kuna Mikenya, Nigerians, Zimbabweans... kila nchi ipo SA.

Mitanzania ndio nini wewe karunguyeye?
 
Ametolea mfano ulio hai, na kumfanya msomaji kuelewa katika muktadha huo! Hajasema panafanana! Ila elimu yetu inahitaji kutungishwa mimba na kuzaliwa upya!
Ulio hai nawakati hao anaowatolea mfano hawajawah fika Sandton, alafu fahamu Sandton ni city huku masaki ni neighborhood Kuna utofauti Mkubwa sana wa city na neighborhood
 
Usijidanganye kwenda bondeni kutafuta maisha kama huna msingi, wala kibali. Kama unaweza kulipa nyumba Milioni kwa mwezi hapa Tanzania basi unaweza kuishi huko.

Kama unaweza kuishi Masaki na Mbezi beach basi unaweza kuishi huko sababu tabia za huko mazoea ya uswahilini hakuna, ukiweza kuishi South Africa na ndio umeweza kuishi nchi yoyote iliyopo Ulaya na pengine.

South Africa gredi ya uhalifu ni kubwa sana, kesi za kufa watu zipo nyingi kuliko kesi nyengine, ingekuwa tz kila siku kamanda wa polisi anatangaza mwisho hata choka.

Ngono kule ni kitu cha kawaida yani unatongoza mchana usiku unapewa, sio huku kwetu mpaka uchunwe kwanza.

Ukiwa na misosi ya kutosha na nyumba utachagua wanawake mpaka UKIMWI ukufikie, wanathamini kula sana maana maisha magumu kwao. Wezi, wauza madawa, wakwepa kodi na n.k wanaogopa kuweka pesa zao benki sababu benki za huku ni kama TRA kukuchunguza, Rais Ramaphosa ni mfano tosha.

Wizi wa magari ni kama wizi wa simu, gari nyingi zinazoingia hapa kwetu nyingi za wizi zinatoka huko. Vigogo wakubwa na wauza ngada hapa Tz wanaishi huko au kuwa na makazi ni wengi tu.

Msidanganye na wasanii wanasema wamenunua nyumba bali kule nyumba unaweza kununu tena nzuri ila ni kama umekodi, tofauti ya tanzania ardhi ina bei utadhani unanunua madini.

Kuvamiwa ni jambo la kawaida, wezi wakule usumbufu hawataki unaenda kwa order ukileta ubishi ni kugusa kaburini.

Huwezi kuchezea simu ovyo maana mitaa yote kuna wahalifu usipo kuwa makini unaweza kuona benzi kali inapita kumbe wapo wezi, ukifika nyumbani kama kuna geti lazima uchunguze mbele na nyuma nani anakufata ijalishi gari au mtembea miguu na hatua kidogo kabla ujafika getini, unaingia nao.

Vijana wetu waliozamia ukiona kaenda karudi katoboa maisha, mawili ni mchomoko au madawa.

Mchomoko ni kuvizia nyumba wenyewe hawapo tena nyumba hizi kama nilivosema wanaoweka pesa za kutakatisha.

South sio poa.
Ninakubaliana sana na haya maoni. Usienda South Africa kama huna msingi.

South Africa ni inchi ya upper-middle class and above, chini ya hapo utateseka sana.

South Africa na Bongo ndo nchi mbili ninazozipenda sana huku Africa, mimi kama Mkenya.

Kama tu Bongo, South africa with money is the best country. Lakini ina advantage fulani tu zaidi ya Bongo.
Infrastructure imeendelea sana na kuna miji poa sana kule mfano Constantia kule Cape Town, Franschhoek, Stellenbosch, strand, Somerset West , Knysna, George n.k lakini ndio huishi kule unahitaji sio chini ya $2500 a month. Chini ya hapo utakumbwa na crime pale iko juu sana ikicheki statistics.

Tukitoka jimpo la Western Cape tuje Gauteng, miji inayopendeza sana ni Midrand kule Waterfall, Steyn City, Blair Atholl , Copperleaf, Serengeti Estate.
Hii ni miji mpya mpya kwa sababu the trend is to live in gated communities saa hii lakini hapo awali miji kama Sandton, Rivers estate, Bryanston ilipendeka sana.
Ndio huishi katika hiyo miji nimetaja u need at least $4000.


Kuna sehemu zingine tu kama Pretoria East , Summerstrand, Durban North zenye kupendeza.

Ila I would not advice anyone aende South Africa unless ni middle class kuendelea.
South africa is one of the most value-for -money countries in the world kama pesa si shida. Luxury is very cheap kule compared to the rest of the world.

Iko na ecosystems mbali mbali kama tu Tanzania.
Ila ina challenges mingi sana pia.
In a province like Kwazulu Natal , 60% of women aged 18-48 yrs are HIV positive. 60% wana UKIMWI! 60%! Na hizi ni taakwimu rasmi.
However even if u test at home ,itaonyesha negative kwa sababu wanatumia ARVs so ukimwi ni undetectable unless u go to a lab like Lancet.
The national average ni about 20% almost double ya Tanzania.

U need to be very careful manake wanawake wa kule wanapendeza sana hata zaidi kushinda hawa wa Bongo.
Wanamaumbilie ya kushawishi sana mwanzo kama Kule Port Elizabeth kila mwanamke ni round ana tako balaa. Sehemu zingine ni kama kule Pretoria na Braamfontein yaani kile mwanamke ni mrembo kule.

Wanapenda soft life sana wanawake wa kule.

Alafu pia crime inatakiwa huishi kwa miji hiyo ambayo nimeitaja kwa sababu crime iko juu sana.

Hata ukiisha mbali na watu kwa shamba Lako bado kuna farm murders nyingi sana kama zile sehemu za Drakensberg.

For u to protect yourself kule kama una mansion yako, private companies charge $1000 for one soldier.

Kwa hivyo bila pesa baki tu Bongo kuna fursa za kuanzia mingi sana, nyinyi si mabepari u have not exploited everything.
 
Ninakubaliana sana na haya maoni. Usienda South Africa kama huna msingi.

South Africa ni inchi ya upper-middle class and above, chini ya hapo utateseka sana.

South Africa na Bongo ndo nchi mbili ninazozipenda sana huku Africa, mimi kama Mkenya.

Kama tu Bongo, South africa with money is the best country. Lakini ina advantage fulani tu zaidi ya Bongo.
Infrastructure imeendelea sana na kuna miji poa sana kule mfano Constantia kule Cape Town, Franschhoek, Stellenbosch, strand, Somerset West , Knysna, George n.k lakini ndio huishi kule unahitaji sio chini ya $2500 a month. Chini ya hapo utakumbwa na crime pale iko juu sana ikicheki statistics.

Tukitoka jimpo la Western Cape tuje Gauteng, miji inayopendeza sana ni Midrand kule Waterfall, Steyn City, Blair Atholl , Copperleaf, Serengeti Estate.
Hii ni miji mpya mpya kwa sababu the trend is to live in gated communities saa hii lakini hapo awali miji kama Sandton, Rivers estate, Bryanston ilipendeka sana.
Ndio huishi katika hiyo miji nimetaja u need at least $4000.


Kuna sehemu zingine tu kama Pretoria East , Summerstrand, Durban North zenye kupendeza.

Ila I would not advice anyone aende South Africa unless ni middle class kuendelea.
South africa is one of the most value-for -money countries in the world kama pesa si shida. Luxury is very cheap kule compared to the rest of the world.

Iko na ecosystems mbali mbali kama tu Tanzania.
Ila ina challenges mingi sana pia.
In a province like Kwazulu Natal , 60% of women aged 18-48 yrs are HIV positive. 60% wana UKIMWI! 60%! Na hizi ni taakwimu rasmi.
However even if u test at home ,itaonyesha negative kwa sababu wanatumia ARVs so ukimwi ni undetectable unless u go to a lab like Lancet.
The national average ni about 20% almost double ya Tanzania.

U need to be very careful manake wanawake wa kule wanapendeza sana hata zaidi kushinda hawa wa Bongo.
Wanamaumbilie ya kushawishi sana mwanzo kama Kule Port Elizabeth kila mwanamke ni round ana tako balaa. Sehemu zingine ni kama kule Pretoria na Braamfontein yaani kile mwanamke ni mrembo kule.

Wanapenda soft life sana wanawake wa kule.

Alafu pia crime inatakiwa huishi kwa miji hiyo ambayo nimeitaja kwa sababu crime iko juu sana.

Hata ukiisha mbali na watu kwa shamba Lako bado kuna farm murders nyingi sana kama zile sehemu za Drakensberg.

For u to protect yourself kule kama una mansion yako, private companies charge $1000 for one soldier.

Kwa hivyo bila pesa baki tu Bongo kuna fursa za kuanzia mingi sana, nyinyi si mabepari u have not exploited everything.
Hakika ufafanua vizuri na binafsi nimekuelewa sana !!!! sema wanawake wa uko balaaa lazima unase tu!!!!
 
Umesahau na rape, hii kule wahalifu wanaona ni kawaida kubaka.
South carjacking, house robbery, murder and rape ujitayarishe navyo.
Sehemu salama kwako, labda uende sehemu za utalii. Kidogo huko polisi wanapalinda sana.

Sababu ya crime kuwa juu, South Africa. Wanasema baadhi tu ni Unemployment, Ufisadi mkubwa wa Serikali, hawajali tabaka la chini na Alcohol.
RIP AKA
 

Attachments

  • IMG-20230211-WA0016.jpg
    IMG-20230211-WA0016.jpg
    34.2 KB · Views: 35
Back
Top Bottom