Maisha ya Afrika Kusini siyo poa

Maisha ya Afrika Kusini siyo poa

Nimeishi Johannesburg soweto, huko wanakoishi Wazulu Og, najua Life style ya Johannesburg,, nimeishi Broemfonteen - free state, huko wanapoishi Wasuthu Og mixer na Warangirangi, na hivi naandika hii comment nipo Cape town - Mitchell plain....!

Naweza kutoa uhalisia wa Maisha ya Dzonga coz nimeishi Majimbo 3 tofauti, watu hapa mnatoa Uhalisia wa South africa kwa kile uliona tu Hillbrow.....!
Mnalaumu tu Wageni wageni, hivi mnajua namna Gangstars groups 26, 27 na 28 zilivyochangia kuvuruga Maisha ya South Africa?
Na 99.9% of Gang members ni Raia.
tafadhali nifafanulie khs 26 group
 
Umekaa jimbo moja tu la Gauteng Province halafu useme unaijuwa South Africa hivi ni vituko navyo.

Halafu bado hujui hata maana ya hotel ni nini na appartment ni nini, hakuna Mgeni yoyote anaweza kuishi hotelini, labda vacation short stay tu.
 

Attachments

  • 6B774C4D-779B-41D4-8D6B-62E7EDD3F736.jpeg
    6B774C4D-779B-41D4-8D6B-62E7EDD3F736.jpeg
    54.5 KB · Views: 47
Nina rafiki yangu yupo uko mwaka wa 10 sasa hajatoboa,yupo mwingine uzuri mama yake alikuwa kule kitambo ana biashara ya saloon, jamaa alifikia kwa mama ake akawa anamsaidia akapata demu wa kule baahta nzuri dem maisha safi kwao ndo jamaa akatoboa kwa staili iyo ,ila nchi kuuana nje nje mi siiwezi
 
Nimekaa 4 yrs. Nilifikia Hillbrow then Sunyside Pretoria kisha Sandton. So napajua South Kuliko Maelezo. Hillbrow nilikuwa nakaa Flamingo Hotel Jengo la Tatu toka Mnara unaoitambulisha Johanesburg. Kanisa nililokuwa Nasali hizi ndo picha za baba Askofu wetu
Khe? Kweli mungu aliumba Dunia na maajabu yake [emoji23]
 
Wakati nnaishi Sauz! Ata Police walio Off wanatembea wawiliwawili- Kuna siku tulimwalika mmoja kwenye part akaja na mwenzake ambae nae yupo off! Nilipokuwa naongea nao waliniambia kuwa wahalifu wanaowakamata mara nyingi ata kama bado awajafungwa kesi zao zinaendelea mahakamani huwavizia na kuwaua. Pale kila mmoja wao alikuwa na Bastola full loaded . Hospital za South zina askari geting pamoja na Detekta za silaha, Wakikukosa kukuhuwa Kitaa, wanakuja hospital kukumaliza😭. Kuna mitaa kutolewa Bunduki ni kawaida, Malaya kukuuza kwa Majita kama umejionyesha wewe unazo ni kitu cha kawaida.Siku moja Dogo alikuwa anatoka Super market ambayo ni kama Nusu KM. Mpaka anafika tunapokaa amekabwa mara sita na makundi tofauti tofauti ya vibaka🤣 Kundi la sita walimkuta amebakiwa na pipi kifua tu.
Dah bongo sihami.
 
Kuna dada mmoja alikua classmate wangu Advance. Anaishi huko. Alivamiwa na majambazi, katikati ya kashkash wakamtandika risasi mwanae.
Nchi hiyo ingepata wananchi watulivu kama Watanzani, ingekua mbali zaidi ya hapo ilipo.
 
Umesahau na rape, hii kule wahalifu wanaona ni kawaida kubaka.
South carjacking, house robbery, murder and rape ujitayarishe navyo.
Sehemu salama kwako, labda uende sehemu za utalii. Kidogo huko polisi wanapalinda sana.

Sababu ya crime kuwa juu, South Africa. Wanasema baadhi tu ni Unemployment, Ufisadi mkubwa wa Serikali, hawajali tabaka la chini na Alcohol.
Ongezea na upatikanaji rahisi wa silaha,madawa ya kulevya,na sheria zao za uhamiaji...
 
80 kama sio 90%
Wanakisia tu inaweza kuwa ni 60%. Japo Waziri wao wa ulinzi ameshasema, tatizo siyo wahamiaji.
Tatizo ni wasouth wenyewe. Katika wahamiaji laki 5 na 44, walio magerezani kwa makosa ya uhalifu, ni 18,000.

Wasouth wako nusu milioni magerezani kwa uhalifu.
Mwezi January na March pekee wanawake 10,000 wamebakwa na wazawa wenyewe siyo wahamiaji.
 
Kuna mdogo wangu yupo huko ana miaka 7 sasa hivi siuni hata kitu cha maana alichofanya kazi yake kupost watoto wake wa kishombembe tu na mke wake mzungu na kuna mmoja alienda hakuwahi kurudi toka aende amerudi mwaka huzi hawezi kuongea wala kutembea maana alipata ajali aka paralyse kaacha mke na watoto huko sauz kaletwa na washikaji tu watanzania wanaokaa huko mke alikimbia akachukua kila kitu amefika Tanzania wakaambiwa wameshachelewa yupo hamjui anayeingia wala anayetoka amekuwa mtoto kila kitu anafanyiwa kiufupi hana chochote alichowekeza Tanzania alikaa sauzi miaka 15 bila kukanyaga Tanzania wapo wengi sana ila sauz sio pakukaa.
 
Wanakisia tu inaweza kuwa ni 60%. Japo Waziri wao wa ulinzi ameshasema, tatizo siyo wahamiaji.
Tatizo ni wasouth wenyewe. Katika wahamiaji laki 5 na 44, walio magerezani kwa makosa ya uhalifu, ni 18,000.

Wasouth wako nusu milioni magerezani kwa uhalifu.
MWezi January na March pekee wanawake 10,000 wamebakwa na wazawa wenyewe siyo wahamiaji.
Nipo Eastern cape kuna mdada kapata tuzo ya ubunifu device ya kukamata wabakaji....kama ushaona Watoto wa shule wa SA wanavyovaa,pia sheria inaruhusu MTU mzima Ku consent kingono na binti wa miaka 16,chini ya hapo Kosa kisheria..
 
Back
Top Bottom