Orlando_
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 662
- 1,209
Ndugu yangu kipigo cha police wa kule siyo poa kisikie tu K9 na Barrett siyo watu wazuri bora Metro.Police wa sauzi wanawachekea wahalifu. Kwani bunduki Kazi yake nini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu yangu kipigo cha police wa kule siyo poa kisikie tu K9 na Barrett siyo watu wazuri bora Metro.Police wa sauzi wanawachekea wahalifu. Kwani bunduki Kazi yake nini.
Mnatype tu kirahisi rahisi mkiwa nyuma ya kybord kmaeezenuBora South Africa hamnA misukule Ni thuglife kufa nje kutoboa nje napend hustling Kama hizo za kufa ukiwa katika harakati
Ndio hivyo...SA NI NCHI Ya cha wote.Hakuna kitu kama hicho... danganya danganya tu.... Sababu kubwa ya crime SA ni miafrika yote kujazana ..... hawan vibali Joburg Kuna wageni wengi kuliko wenyeji...
and all these foreign nationals have got no papers, majority are rejects in their countries and are drug dealers.
Jozi imeharibiwa na wageni... nenda Hillbrow utakutana na wahuni wote wa Kariakoo na miNijeria imejazana. Na Hawa ndio wezi wa kutupwa. Tusiwalaumu Wasouth kwenye hili... wakijaribu kuchukua nchi Yao tunasema ni mibaguzi. Is it even fair? would Tanzanians allow such huge number of foreign nationals in their capital, Dar es Salaam? South Africans are so creative and intelligent. Wqmeshindwa kucontrol nchi Yao sababu ya wageni.... na Sasa hivi nadhani wageni ni wengi kuliko wenyeji... na wakianza kuwafukuza utaskia tuliwasaidia kupambana na ubaguzi... viongozi wanakuwa wapole.
Nina mengi ya kuandika saana maana niweza kujionea kwa macho yangu.
Mimi nilikuwa nakaa kule Boksburg. Mida ya jioni nilikuwa natembea kwa mguu toka Eastrand shopping mall mpaka boksburg kwa mguu na sikuona kibaka hata mmoja...Wakati nnaishi Sauz! Ata Police walio Off wanatembea wawiliwawili- Kuna siku tulimwalika mmoja kwenye part akaja na mwenzake ambae nae yupo off! Nilipokuwa naongea nao waliniambia kuwa wahalifu wanaowakamata mara nyingi ata kama bado awajafungwa kesi zao zinaendelea mahakamani huwavizia na kuwaua. Pale kila mmoja wao alikuwa na Bastola full loaded . Hospital za South zina askari geting pamoja na Detekta za silaha, Wakikukosa kukuhuwa Kitaa, wanakuja hospital kukumaliza😭. Kuna mitaa kutolewa Bunduki ni kawaida, Malaya kukuuza kwa Majita kama umejionyesha wewe unazo ni kitu cha kawaida.Siku moja Dogo alikuwa anatoka Super market ambayo ni kama Nusu KM. Mpaka anafika tunapokaa amekabwa mara sita na makundi tofauti tofauti ya vibaka🤣 Kundi la sita walimkuta amebakiwa na pipi kifua tu.
Unakabwa na akuna wa kukusaidia. Hapa ni Hillbrow Majita wanachukuwa chao live na mchana kweupeUkiishi Joburg, ukiwa Bongo unajihisi kama umo ndani ya nyumba ya ibada!
Kaka, mbona unanitisha tena.Najua. Nina wadogo zangu walisoma University of Cape Town bado kidogo tu niwatembelee.
I am just protesting the widespread xenophobia there.
Hillbrow is best described as BETWEEN EARTH & HELL.Unakabwa na akuna wa kukusaidia. Hapa ni Hillbrow Majita wanachukuwa chao live na mchana kweupe
Hahaha,Kaka, mbona unanitisha tena.
Wakati last night umetoka kunipa moyo kuhusu my PhD opportunity at the UCT
Huku bongo amani sana watalii wanaenda sana hayo maeneo na mara kibao nimekutana nao mwananyamala wanafanya utalii wa baiskeli uswaziSasa mtalii aende Nyanga, Langa au Khayelisha kufuata nini?
Ulishawahi kumuona mtalii Tandika au Tandale?
Kuna ukimwi huku kama mafua bongoNataka niende huko nikawagonge gonge watt wa kisauzi
Wew kama Hali Iko hivyo mbona usirudi? Kama sio uongo Nini? Au ndo tuseme unapenda kuteseka kwnye nchi za watu?South ishaisha, sio ile ya Mandela,naishi huku kila kitu kimabadirika maisha yamekuwa magumu umeme kwa mgao mwaka mzima huu, mahosptali hayatoi huduma kama Zamani,hali imekuwa mbaya sana, vijana pambaneni uko uko bongo, huku ishakuwa balaa.
Fresh tuKuna ukimwi huku kama mafua bongo
Boksburg ni location za wazungu, hata mtu mweusi ukionekana Polisi lazima wasimamishe gari wajuwe mpango wako.Mimi nilikuwa nakaa kule Boksburg. Mida ya jioni nilikuwa natembea kwa mguu toka Eastrand shopping mall mpaka boksburg kwa mguu na sikuona kibaka hata mmoja...