Maisha ya Biashara Bongo ni magumu kumaintain, Yapo Overrated kwa kuangalia wachache waliopiga mshindo, nasisitiza ajira serikalini ndio mpango

Shukran mwenye Uzi, Mimi ni mtumishi WA serikali, lakini kiukweli biashara ni Bora kuliko kuajiriwa,tuna tafuta ajira ili tupate udhaminj, huwezi kupata mkopo wa milioni 20-50M ikiwa hujulikani,labda kwenu mume na vitega uchumi vya kuweka bondi ambapo wengi wetu hatuna,pia katika biashara nimejua kuna Uhuru WA pesa na fikra pia urithi kwa vizazi vyako,pia watoto wako hawato toka kwenda kuomba kazi kwa wazazi wengine, pia biashara ya kutoa huduma ni bora kuliko kuuza bidhaa, kinacho Felisha ni mitaji mdogo na mambo ya kuigana, ila kama kwenu kuna pesa usi ajiliwe pesa hutoa pesa ukiwa na mipango,lakini kuajiriwa ni kubanwa matumizi na kubanwa mda,pia kubanwa future, wewe huwezi lipwa 13M kwa mwezi mpaka ufike level Fulani manger au Nani huko, lakinikwenye biashara unakatama hata ukiwa under 18+
 
Taja biashara ambayo haijafanyika hapa tanzania
 
Hapo sw
 
Tuulizane Kwanini watanzania wenye asili ya wahindi, waarabu hawaombi ajira serikalini?? Je tukilinganisha maisha yao na ya wafanyakazi yapi bora?

Unamaanisha nini ? nini maana ya ubora wa maisha ? Familia za wahindi waarabu na wengine ambao ni immigrants katika generation zilizopita wamekuwa traders hayo ndio maisha yao binafsi wakati ninakua ninatoka shule naingia kitaa kucheza mpira na kufanya utoto wenzangu niliosoma nao wahindi wakitoka shule wanakaa dukani haya niambie hapo ubora wa maisha kati ya mimi having fun na yeye nani ana enjoy (unless anapenda hio lifestyle ila huenda ni shinikizo)
Hata mishahara mnayolipwa ni pesa za kodi ๐Ÿ˜‚No biashara =No kodi =No ajira, biashara ndiyo boss.

Jiulize kwanini wastaafu hujitahidi kuanzisha biashara?? ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒUsiseme hukuambiwa.
Kwahio mkulima ni mfanyabiashara ? Mzalishaji kiwandani ni mfanyabiashara hao wanaolipwa wafanyakazi ili wazalishe bila kuzalisha mfanyabiashara angeuza nini ? In short hakuna kitu kibaya wala kizuri kuna kitu kibaya au kizuri kulingana na mapenzi ya mtu..... Ndio maana nilishauliza swali ambalo inabidi tujiulize......
 
Una idea ya biashara mpya kabisa haijawah kufanyika tanzania uiseme hapa?
Katika maisha yangu nimebahatika kuzunguka sehemu mbali mbali Tz na nje ya Tz...

Uzoefu niliopata ni kwamba wabongo kiujumla tunapenda kuiganaigana yaani ni kama asili yetu, mtu anaona Juma kafungua duka la rejareja na yeye anaenda hapo hapo kufungua duka kama la Juma unadhani kitatokea nini kma sio kulogana?

Wabongo ni wavivu sana hasa katika kubuni wazo la kibiashara lenye mikakati ya muda mrefu let say miaka 10 ijayo, sisi tumekalili mambo ya uchuuzi tu na ndo biashara zetu hizo.

Alafu mtu huyo huyo anayeiga biashara ya mwenzie mambo yakibuma anakuja kulaumu humu Jf kuwa ni bora ajira ya serikali sijui nini...

UJINGA MTUPU๐Ÿค”
 
Tofautisha kati ya kufanya kitu kipya na kufanya kitu Unique. Wewe unazungumzia uniqueness au modus operandi. Huyu anaongelea kufanya biashara mpya kabisa ambayo Tanzania haikuwepo... labda auze mijusi guluguja
 
Tofautisha kati ya kufanya kitu kipya na kufanya kitu Unique. Wewe unazungumzia uniqueness au modus operandi. Huyu anaongelea kufanya biashara mpya kabisa ambayo Tanzania haikuwepo... labda auze mijusi guluguja
๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ