Maisha ya bongo ili utoboe jifunze sana kuroga

Maisha ya bongo ili utoboe jifunze sana kuroga

kwa kamusi ya ukoo wenu mzembe ni mtu asiyejihusisha na ushirikina, ulozi, shiriki nk. Basi niko tayari kuitwa mzembe maadamu nina kila kitu anachostahili mwanadamu, kwa maana ya afya, ardhi, elimu, nyumba, gari, mke na watoto.
Mzembe ni mtu asiejihangaikia kwa lolote lile......kama umebarikiwa kupata hivyo vyote basi niseme maashallah
 
Write your reply...siendi kufanya shirki yoyote moyo wangu mweupe na wakiniroga vinawarudia wenyewe nitamtegemea yeye aliye juu mpaka jua litakapozama tena...hajawahi kuniangusha japo hunipa mitihani naishinda na ninakula adui zangu wakinitizama Mungu ameshanitetea kwenye mengi kwakweli siwezi kumuacha
 
Kama naanza kuamini kuna ndugu zangu wako vizuri uchumi wa kati kutoka chini ila ni watu wa kuangaika sana kwa waganga,sasa mimi nisie husudu hayo mambo kiukweli napitia changamoto haswa za kimaisha
 
Kwenye maisha lazima uwe ...

Mchawi Sana ..

Au uwe unasali sanaaaaa....

Ukiwa vuguvugu utateseka maisha yako yote hapa duniani maana hutakuja kufanikiwa ....


Mafanikio yanahitaji vitu hivyo ....

Na log off
 
Back
Top Bottom