Maisha ya Hussein Jumbe ni ushuhuda tosha kwamba jamii zetu zina wachawi, watu wenye roho mbaya sana na makatili. Tuwe na Imani kwa Mungu

Kwa tafsiri yako hii, inamaana Binaadamu wote ni wachawi!!?
Kuelewa ni kugumu sana aisee, hujasikia msemo mmoja wanasema from light to darkness, from darkness to light, tatizo watu wanaposikia uchawi wanawaza in a bad way kwenye kuharibu TU no ndio maana kuna Giza na Kuna Nuru, elewa walau kidogo kuna uchawi wa Giza (kuharibu) na uchawi wa Nuru (kujenga), elewa kidogo hauhitaji degree kuelewa hili
 
Upon sahihi kuna MTU alikua na changamoto katika mfumo wa mkojo, akaenda Hospital hizi ndogo ndogo zote akapima magonjwa UTi na Typhoid hola...nikamwambia ukienda kapime tezi Dume...kupima imo... Keshapoteza hela na kabwia madawa kibao
 
Ushawahi jiuliza kwanini wakristu Wakatoriki husema kufa na kufufuka kwa Yesu ni FUMBO LA IMANI ?
 
Ume reason kitaalam sana!!
Jumbe kwa maelezo yake wakati wa Uhai wake km ulimsikiliza akieleza kisa chake kizima yeye kwa Imani yake aliamini kwamba amefanyiwa Mambo ya shiriki (ushirikina) na wale aliokua akiwafanyia kazi kutokana na kipaji chake, Mimi nilimsikiliza akisimulia mwanzo mpaka mwisho sababu alieleza kadhaa tangu kipindi Cha Komba wa TOT tangu kipindi TX Moshi William, kuna simulizi yake alieleza kila kitu waziwazi
 
Aisee. Wachawi wapo, walikuwepo na watakuwapo. Hawa watu wanaumiza watu sana mtu asikuambie. Uamini usiamini hiyo haibadilishi kitu wao wapo tu. Jinsi ya kuwashinda ni kumwabudu Mungu wa kweli.
Uchawi ni nini? Tuanzie hapo kwanza.
 
Looh RIP kiongozi
 
Utaishia kutamani tu. Kama fisi anayetamani mkono wa mtu anayetembea uanguke.

Kwa nini unapenda kutamani badala ya kuchunguza mambo ili ujue ukweli?
Naku ahid,
siku Moja lazima uiubir injili ya Yesu kristo kua ni Bwana na mwokozi wa maisha yetu....

Nimekuweka kwenye maombi

#Asap
 
alitakiwa tu aokoke, ampokee Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yake, Yesu ameshinda mautina kuzimu na ni mponyaji. hakuna mchawi anao uwezo kumloga mtu aliye ndani ya Yesu. huko mliko mnajidanganya sana, na hata kufungwa mnajinyima tu chakula ila mnachokiabudu hakina uwezo kuokoa roho wala mwili na hakina mbingu ya kuwapeleka. jaribuni wakati mwingine sio msimuliwe tu,wewe ukiona umetandikwa na wachawi umefika mwisho, usife kibudu, jaribu na upande mwingine, njoo kwa Yesu uone kama hatakuokoa. Onjeni muone kuwa Bwana yu mwema, heri mtu yule anayemtumaini yeye. huu ni ushauri wa bure, ukiuchukua sawa, ukiudharau sawa, hakuna hasara kwangu. ila wale waliojaribu na upande mwingine, walishamwona Mungu kwenye maisha yao.
 
Biology ya wapi hio umefundishwa kwamba mtoto anaishi kwa Kula Damu?
 
Kweli kabisaaa na wengi wameathiriwa by Hofu
 
Uchawi ni nini? Tuanzie hapo kwanza.
Kwani wewe unajua uchawi ni nini? Maana yaweza ikawa kuna mbishano mwingi humu Ila kumbe kila mmoja ana maana yake ya neno uchawi, mfano kuna maneno ya mtaani (rahaja na misimu) utasikia anasema 'mchawi Pesa' au mwingine anasema 'mchawi Ndugu', Sasa wewe km wewe unajua nini maana ya uchawi ?

Ushirikina - Imani, mazoea, au ibada isiyo na mantiki inayodumishwa na ujinga wa sheria za asili au kwa imani katika uchawi.

Uchawi - Uchawi kwa kawaida humaanisha matumizi ya nguvu za uchawi au zisizo za kawaida kuwadhuru wengine.

Uchawi - Kijadi, zoezi au wito wa madai ya nguvu zisizo za kawaida kudhibiti watu au matukio.

Uchawi - Sanaa au mazoea ya kutumia hirizi, maneno/matamshi, au matambiko ili kujaribu kuzalisha athari zisizo za kawaida au kudhibiti matukio katika asili.

Uchawi - Kugawanywa kwa msaada, au msaada unaodhaniwa, wa pepo wabaya, au nguvu ya kuamrisha pepo wabaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…