Ni hao uliokutana nao wewe ... ... .. au ndio kila mtu kwenye hiyo ofisi anatumia Njia zake..takriban wote hapo ndio wale wale.. .. ulozi type!Wana makorokocho Yao tofauti, Mimi nazungunzia madawa Fulani wanajipaka Yana hafufu Fulani mbaya inayofanana. Hao watakuwa na ushirikina wao ila wa pwani ndio hujipaka hayo na sijui mganga wao ni mmoja? Maana unakuta mfanyakazi kapaka ili aogopewe na boss. na boss naye kapaka ili aogopewe na mfanyakazi. Sasa wewe wa mataifa ukifikan ofisini kwake au upo naye siyo Moja kwenye CHOMBO Cha usafiri Cha moto utakiona hilo liharufu la kukera ila yeye yupo comfortable
My friend I am not here to proof if the dark world is there or not, because this is a spiritual thing and even if I explain in details still you can not believe anyway. Just wait one day when you depart from this world you will see horrible things because your spirit will not die. If you are lack the Divine Power can reveal this spritual world to you one day before you die. My prayer is that you don't depart from this world before you know your creator.Unaweza kuthibitisha huo ulimwengu wa giza wa shetani na malaika wake upo kweli na si hadithi za mapokeo zinazorudiwa vizazi na vizazi na watu wasiozihoji kwa kina tu?
Unaongelea vitu ambavyo huwezi kuthibitisha vipo, kwa sababu havipo.My friend I am not here to proof if the dark world is there or not, because this is a spiritual thing and even if I explain in details still you can not believe anyway. Just wait one day when you depart from this world you will see horrible things because your spirit will not die. If you are lack the Divine Power can reveal this spritual world to you one day before you die. My prayer is that you don't depart from this world before you know your creator.
Pwani gani inayouwa wazee wenye macho mekundu??Mtu wa pwani yoyote haingii kazini bila kujipaka sijui madude gani, ukikaa naye karibu harufu inakera lakini kwao bila hayo haingii kazini. Awe amesoma hata P.H.D awe anasali masaa yote lakini manukato hayo yapatikanayo kwa ma sangoma lazima ajipake
Nimekupa definition ya uchawi na wewe toa yako acha kumbumbulika basi, wewe unajua uchawi ni nini ? Jibu hili swali usianze kurukaruka maana nakujua kawaida yakoUnapo define neno uchawi, usitumie neno uchawi, kwa sababu neno uchawi ndilo linakuwa defined, ukilirudia neno uchawi katika definition ya uchawi una short circuit definition yako.
Mtu anakwambia anataka umwambie uchawi ni nini, halafu unamwambia uchawi ni uchawi, mpaka hapo ushafeli.
Umeshindwa ku define uchawi, unarudia neno uchawi katika definition ya uchawi!
Hao pepo wabaya unaowasema ukiambiw authibitishe huwezi.
Umeambiwa uthibitishe uchawi ni nini, unaongeza habari z apepo mbaya ambazo nazo huwezi kuthibitisha.
Wewe hujui hata kanuni za definition, unaambiwa u define uchawi, unarudia neno uchawi katika definition ya uchawi.Nimekupa definition ya uchawi na wewe toa yako acha kumbumbulika basi, wewe unajua uchawi ni nini ? Jibu hili swali usianze kurukaruka maana nakujua kawaida yako
Epicurus philosophy imekuharibu yaan imekuvurugia mwelekeo wako wa maisha, jamaa wamekukaririsha madude sio na wewe umeyakumbatia ndio maana nikakwambia mbele ya jina lako ongeza neno KOMO lisomeke Kiranga KOMOUnaongelea vitu ambavyo huwezi kuthibitisha vipo, kwa sababu havipo.
Kama unabisha, thibitisha vipo.
Ushaanza kurukaruka nimekwambia wewe sasa define uchawi ni nini ? Define wewe unajua uchawi maana yake nini ? Usianze kurukaruka hapaWewe hujui hata kanuni za definition, unaambiwa u define uchawi, unarudia neno uchawi katika definition ya uchawi.
Siyo tu umeshindwa ku define uchawi, hujui hata definition inakuwaje. Hujui kanuni za msingi kabisa za definition.
Uchawi ni chaka la watu wajinga na wasiotaka kuchunguza mambo kwa kina kusukumia mambo wasiyoyaelewa.Ushaanza kurukaruka nimekwambia wewe sasa define uchawi ni nini ? Define wewe unajua uchawi maana yake nini ? Usianze kurukaruka hapa
Ni define mara ngapi?Ushaanza kurukaruka nimekwambia wewe sasa define uchawi ni nini ? Define wewe unajua uchawi maana yake nini ? Usianze kurukaruka hapa
Una uhakika na hiki unachokisema au unaropokwa tu ?Jamii za watu masikini na wajinga watu wenye matatizo ya elimu wasiotaka kuumiza vichwa kujua sababu za mambo, wakiona kitu wasichokielewa wanaita uchawi.
Wewe define uchawi kwanza (bila kutumia neno uchawi katika definition ya uchawi, yani ukianza uchawi ni.. usitaje tena uchawi, free lesson) kabla ya kujishaua zaidi.Una uhakika na hiki unachokisema au unaropokwa tu ?
Nimeshajibu nmeona majibu yako Ila mbona unajikanyagakanyaga Nani aliekukasirisha kua matajiri sio wachawi ? Emu fafanua kwa utulivuNi define mara ngapi?
Unachukua hata dakika kadhaa kupumua usome thread vizuri kabla ya kujishaua?
Kati yangu na wewe nani anarukaruka sasa?
Wewe huwezi hata kusoma kwa ufahamu, hilo ndilo tatizo lako.Nimeshajibu nmeona majibu yako Ila mbona unajikanyagakanyaga Nani aliekukasirisha kua matajiri sio wachawi ? Emu fafanua kwa utulivu
Aaaha nilidefine unanicrash Sasa unatoa definition kwa malimbuko yako yaan unadefine kwa mtazamo wako ulionao kwa kuangalia upande kua huyu hivi na hivi ndio definition ya uchawi hio ?Wewe define uchawi kwanza kabla ya kujishaua zaidi.
Wewe ngumbaru hujui hata definition ni nini na inapangika vipi.Aaaha nilidefine unanicrash Sasa unatoa definition kwa malimbuko yako yaan unadefine kwa mtazamo wako ulionao kwa kuangalia upande kua huyu hivi na hivi ndio definition ya uchawi hio ?
Wewe nimekuuliza swali jibu swali Nani aliekukaririsha kua matajiri sio wachawi ? Jibu swali langu tafadhari umesema mwenyeweWewe huwezi hata kusoma kwa ufahamu, hilo ndilo tatizo lako.
Hapa unanipa kazi ya kukufundisha kusoma kwa ufahamu sasa, na mimi siko tayari kufanya kazi hiyo.
Wewe huwezi hata ku define uchawi, sioni sababu ya kuendelea kujadiliana nawe.
Yaan hii sio definition bali ni mtazamo wa mtu binafsi in a negative way, unaweza ukanipa rejea ya hio definition umeitoa wapi au umetunga wewe km wewe ?Uchawi ni chaka la watu wajinga na wasiotaka kuchunguza mambo kwa kina kusukumia mambo wasiyoyaelewa.
Jamii za watu masikini na wajinga watu wenye matatizo ya elimu wasiotaka kuumiza vichwa kujua sababu za mambo, wakiona kitu wasichokielewa wanaita uchawi.
Najua na naelewa definition ni nini ndio maana nmekwambia nipe rejea umetoa wapi hio definition kwenye kichwa chako si ndio ?Wewe ngumbaru hujui hata definition ni nini na inapangika vipi.
Let alone definition ya uchawi.
Wewe ngumbaru hujui kusoma na mimi sitaki shombo zako, hujui tofauti ya jamii za kimasikini na masikini.Wewe nimekuuliza swali jibu swali Nani aliekukaririsha kua matajiri sio wachawi ? Jibu swali langu tafadhari umesema mwenyewe
Yaan hii sio definition bali ni mtazamo wa mtu binafsi in a negative way, unaweza ukanipa rejea ya hio definition umeitoa wapi au umetunga wewe km wewe ?