Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wapo wanaowachukia wenzao, Mi sina ninayemchukia, ulinizingua nakuroga tu[emoji23]JamiiForums ni jamii moja maridhawa mno, ambamo watu watakuonyesha tabia zao halisi zaidi ukilinganisha na jamii nyingine za mtandaoni.
Kwasababu wengi wanatumia majina kificho na picha kificho hapa JamiiForums imekuwa ni rahisi kuonywa kwa kupewa makavu laivu, tabia zako na mambo yako ya hovyo yote yanawekwa peupe, u unachanwa bila ganzi. Hiari ni yako ubadilike au uendelee kuoza.
Huko kwingine unafiki mwingi sana, uwongo uwongo na kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa.
Poa hapa jukwaani licha ya kwamba hatufajamiani, pia tunapendana na wapo wanaowachukia wenzao, Mi sina ninayemchukia, ulinizingua nakuroga tu, usiku mmoja unakuja kunilimia shambani kwangu kama mjombake UMUGHAKA na Emma walivyolimishwa na Mzee MAKONO.
Hapa na kuto onana/kufahamiana pamesaidia sana watu, hasa kwenye michongo ya kazi na deals mbalimbali.
Pia hapa pametoa connections na networks za maana sana.
Almost Tanzania nzima nina ndugu, nikiwepo tu Dar, nikitaka nyama na kichuri namtafuta rafiki yangu GENTAMYCINE, nikitaka mdudu simu ni moja tu Mshana Jr popote ulipo naomba muda wako, Bill Lugano my dearest brother atanipa kila ninachohitaji, na nikitaka kuzama kwenye books shelf namtafuta GuDume.
Yaani hapo ni wachache tu, bado sijaorodhesha warembo wenye akili zao za darasani, maisha na roho nzuri.
Moisemusajiografii na Kasie I miss you. Jiandaeni kunipokea hapo Tazara Station nakuja na treni ya Wakalamba ya Express Jumanne
🤣🤣🤣wapo wanaowachukia wenzao, Mi sina ninayemchukia, ulinizingua nakuroga tu[emoji23]
Kwenye JF hii hii unaweza kuishi maisha ya zamani.JF hii au ya zamani !
Nakutaka wewe mremboUmeshampata mrembo unayemtafuta? Au tukuitie dada yake Evelyn Salt akutafutie kanisani kwao?
Tena nakuletea na muumi, kambale mamba, ng'huyu, nembe, gogogo, mbuta, furu, masangu na maliwaUje na michembe,matobholwa na vibambara. Pitia hapo Kirumba Valley unichukulie unga wa udaga.Nimemiss sana hayo mambo.Fanya hima uje.Dalisalama joto.Utapanda bajaj upigwe na kaupepo.
Pascal Mayalla ni miongoni mwa watabiri wazuri sana hapa JF, lakini sijui kwanini hakuwa nastradamus kwenye issue ya mwendazake?Ndio hii ndio JF
1.utabiri wa ajali ya ndege.
2.utabiri wa kifo Cha jiwe.
3.etc etc
Huwa nafurahishwa sana na kile Kingereza chako konki cha Half London. Yaani ukiandika, lazima nitafute Oxford English Dictionary niiweke pembeni. Leo nikipewa nafasi ya kubadili kabila, ntachagua kuwa Muhaya.Unanikoshaga kwa style ya kuandika kwa ucheshi, mizaha and the like!
Kwenye growth fluctuations ni kitu cha kawaida, hata Manchester United ya leo ilikuwaga mbabe, lakini muda utakuja makali yake yatarejea. Vivyo hivyo JFZaman JamiiForums ilikuwa ipo vizuri kushinda hata Quora.com .
mkuu nitag kwenzi utabiri wa kifoNdio hii ndio JF
1.utabiri wa ajali ya ndege.
2.utabiri wa kifo Cha jiwe.
3.etc etc
😂😂😂Hizo PhD wanapeana wanasiasa tuu eg msukuma et el😂😂😂😂😂
Mtabiri wa mchongoPascal Mayalla ni miongoni mwa watabiri wazuri sana hapa JF, lakini sijui kwanini hakuwa nastradamus kwenye issue ya mwendazake?
Serikali ya twittaniJamii ya Twitter ni ya kutafutia ajira Serikalini.
JF it's ma hommie. [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Huo ndio uhalisia wakoNAKATAAA JF ni sawa na huko kwingine tu na ndio maana Twitter imeshika hatamu sana nowadays.
Mimi binafsi nafanya mambo ya hovyo sana huku JF na Twitter na wala sio uhalisia wangu hata kwa punje moja