Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Usiniletee upumbavuHata akiwa fala, ukibishana nae au kumdhalilisha we ndio unaonekana fala zaidi. Hekima ilikuwa kumpotezea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiniletee upumbavuHata akiwa fala, ukibishana nae au kumdhalilisha we ndio unaonekana fala zaidi. Hekima ilikuwa kumpotezea
We mburula utaona vipi?Ufala wake nini? Mbona sijauona?
We mburula utaona vipi?
Una karipia au unaigiza michezo ya kina Jangala, Mshamu nkUsiniletee upumbavu
Ndio umeambiwa kubadilika ni wewe na ukitaka kuendelea kuoza ni weweNAKATAAA JF ni sawa na huko kwingine tu na ndio maana Twitter imeshika hatamu sana nowadays.
Mimi binafsi nafanya mambo ya hovyo sana huku JF na Twitter na wala sio uhalisia wangu hata kwa punje moja
We ndukghu yangku uliyehamia Mbheya una mathathizho sanha!JamiiForums ni jamii moja maridhawa mno, ambamo watu watakuonyesha tabia zao halisi zaidi ukilinganisha na jamii nyingine za mtandaoni.
Kwasababu wengi wanatumia majina kificho na picha kificho hapa JamiiForums imekuwa ni rahisi kuonywa kwa kupewa makavu laivu, tabia zako na mambo yako ya hovyo yote yanawekwa peupe, u unachanwa bila ganzi. Hiari ni yako ubadilike au uendelee kuoza.
Huko kwingine unafiki mwingi sana, uwongo uwongo na kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa.
Poa hapa jukwaani licha ya kwamba hatufajamiani, pia tunapendana na wapo wanaowachukia wenzao, Mi sina ninayemchukia, ulinizingua nakuroga tu, usiku mmoja unakuja kunilimia shambani kwangu kama mjombake UMUGHAKA na Emma walivyolimishwa na Mzee MAKONO.
Hapa na kuto onana/kufahamiana pamesaidia sana watu, hasa kwenye michongo ya kazi na deals mbalimbali.
Pia hapa pametoa connections na networks za maana sana.
Almost Tanzania nzima nina ndugu, nikiwepo tu Dar, nikitaka nyama na kichuri namtafuta rafiki yangu GENTAMYCINE, nikitaka mdudu simu ni moja tu Mshana Jr popote ulipo naomba muda wako, Bill Lugano my dearest brother atanipa kila ninachohitaji, na nikitaka kuzama kwenye books shelf namtafuta GuDume.
Yaani hapo ni wachache tu, bado sijaorodhesha warembo wenye akili zao za darasani, maisha na roho nzuri.
Moisemusajiografii na Kasie I miss you. Jiandaeni kunipokea hapo Tazara Station nakuja na treni ya Wakalamba ya Express Jumanne
nifolo twita nitakufolo baki, hendo yangu ni hii hiiNAKATAAA JF ni sawa na huko kwingine tu na ndio maana Twitter imeshika hatamu sana nowadays.
Mimi binafsi nafanya mambo ya hovyo sana huku JF na Twitter na wala sio uhalisia wangu hata kwa punje moja
Wanazo PhD mioyoni mwetuNingekuwa na mamlaka ningetoa PhD kwa mmiliki wa jf melo na masudi kipanya, nadhani mnawaelewa kazi zao ni very creative.
Rungu loadingUnanikoshaga kwa style ya kuandika kwa ucheshi, mizaha and the like!
Maana mtu kama mmiliki wa Facebook kapewa ya heshima kutokana na mitandaoni yake.Wanazo PhD mioyoni mwetu
Huwa nakukubali sana engineer msomi. Mchango wako ni mkubwa sana hapa jukwaani. Huwa napenda namna ambavyo umekuwa ukiishauri serikali. Laiti wakiufanyia kazi ushauri wako, mabadiliko makubwa tungeyaona kwa macho yetu ya nyama, tofauti na sasa tunahutubiwa maendeleo ambayo yako kwenye ulimwengu usiononekana. Utadhani mambo ya Gamboshi, uzuri wake na fahari yake inachagua nani aioneWe ndukghu yangku uliyehamia Mbheya una mathathizho sanha!
Lakhini ukho phowa sanha.
Thats savage maeeen 🤣Rungu loading
Bado mimi tu kulifumania jenzangu, ngoja niliamshe dudeKawaida sana
Hommie ni mtu anayeshiriki mapenzi ya jinsia mojaNooope, home, nyumbani,
😂😂😂Bado mimi tu kulifumania jenzangu, ngoja niliamshe dude
Nitulize basi