Heci
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 3,591
- 6,114
Humu ndani watu mnachapana sana stiki. Sema tu mnamalizana kukubwa
Umenena sahihi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenena sahihi
Nooope, home, nyumbani,Hommie maana yake nini? Mi nilidhani maana yake ni mshikaji
Apia...Mtabiri wa mchongo
Kawaida sanaHumu ndani watu mnachapana sana stiki. Sema tu mnamalizana kukubwa
Mkuu Bujibuji Simba Nyamaume , angalia tarehe ya bandiko hili Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake! humo nimesemaPascal Mayalla ni miongoni mwa watabiri wazuri sana hapa JF, lakini sijui kwanini hakuwa nastradamus kwenye issue ya mwendazake?
Sijui ni wangapi humu wanaelewa kuwa ile issue ni karma imekula kichwa!.Wanabodi,
Tuhuma yenyewe imetolewa hapa
Tamko la Edward Lowassa Baada ya NEC Kumtangaza Dr Magufuli Kuwa Mshindi wa Kiti cha Urais - JamiiForums
Kama tuhuma hii ni kweli, then serikali ya rais Magufuli itakuwa ni serikali dhalimu, iliyoingia madarakani kwa njia ya udhalimu na uharamu, na udanganyifu wa kwenye sanduku la kura, kitu ambacho sio kizuri kwa mustakabali mwema wa nchi yetu, taifa letu na watu wake, kwa mujibu wa sheria ya karma. Karma ina uzuri wake na ubaya wake, uzuri wa karma ni lazima italipa!, ubaya wa karma, haiitandiki serikali as serikali, kwasababu serikali sio natural being, bali karma itawatandika viongozi wa serikali, waliohusika na udhalimu huu. Tatizo kubwa la karma katika kuwatandika, ni haina Mswalie Mtume wa kujali nani ni nani, ikianza kutembeza kichapo cha bakora, ni bakora tuu kwa kwenda mbele bila kujali nani ni nani!. Ubaya wa karma, haijulikani utalipiza lini, ila ikitokea alietenda udhalimu huu, ameitwa kuondoka duniani kabla ya kulipa deni lote la karma, then deni hili linahamia kwa familia yake!, kitu ambacho its not fair kwa mtu asiye na hatia kubebeshwa kufidia makosa ya mtu mwingine!.
Neno litasimama, mambo mengine yote yatapita, lakini neno litasimama!.
Mungu ibariki Tanzania.
Paskali
Hivyo nilisema japo not expressly but impliedly.Wanabodi,
Ikitokea Magufuli akiwa the real one, yaani ni dikiteta kweli usipomjoin, umekwisha!, hivyo ikitokea Magufuli akawa dikiteta kweli, then Tanzania tunaelekea kwenye utawala wa totalitarian na authoritarian nakurudi kuwa nchi ya chama kimoja!. Ikitokea Magufuli akawa dikiteta kweli, faraja pekee kwa Watanzania itabaki kwa yule aliyemleta, ndiye atakaye mtwaa ili kulisuru taifa la Mungu.
Hoja kuwa Magufuli ni dictator haina mjadala, kwa watu wenye jicho la tatu, wanaona the fire on his eyes, and then fear is the weapon on his heart kwa kutoa hotuba za ukali kama anagomba!, ambayo ni kiashiria cha seriousness ya hasira ambayo inaweza kugeuka chuki na kupelekea visasi toka moyoni mwake, kwa kila atakayetofautiana naye!, na wenye sikio la tatu wanaisikia tone ya ukali wa ukatili kwenye sauti yake!, hii ni ishara kuwa huyu sio mtu wa masihara, watakao tofautiana nae, wanaweza kuumia au hata ...(God forbid), hili likitokea, kutakuwa hakuna jinsi bali kitu kinachoitwa karma, kitaingilia kati na kurekebisha the situation.
Kitu cha muhimu sana cha kufanya kwa sasa ni sisi Watanzania wote, katika umoja wetu, kwa imani kuwa ni Mungu ndio anaweka tawala za mataifa, Tanzania tumefanya uchaguzi mkuu huru na wa haki, Magufuli ndiye ameshinda kihaki na kihalali, then Magufuli ndio chaguo la Mungu kwa Tanzania, akitenda kinyume cha Mungu ni Bwana ndie ameleta na Bwana ndie atatwa, na Jina Lake Lihimidiwe !.
Paskali
I salute you kaka mkubwa. Mzee wa sound from withinMkuu Bujibuji Simba Nyamaume , angalia tarehe ya bandiko hili Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake! humo nimesema
Sijui ni wangapi humu wanaelewa kuwa ile issue ni karma imekula kichwa!.
Hili jambo pia hapa nililisema Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him! humu nimesema
Hivyo nilisema japo not expressly but impliedly.
P
Unididimize mpini?Nakutaka wewe mrembo
Lol... nimecheka kweli, mara yangu kwanza kwenda Mwanza nikakuta konda wa hiace ni mwanamke, anasura na sauti ngumu anaita MWARONIMWARONIMWARONIMWARONIIIIIIIII.... Nikadhani bange limemkolea kumbe anaita Mwaloni, Mwaloni MwaloniMbona amemuacha mwalonni anachagua sato huyo?
Si ungemfuata inbox, kwanini kumvunjia Moisemusajiografii heshima?Wewe acha kudandia mada za watu wakati hudindishi
Kaka Mayalla shkamooMkuu Bujibuji Simba Nyamaume , angalia tarehe ya bandiko hili Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake! humo nimesema
Sijui ni wangapi humu wanaelewa kuwa ile issue ni karma imekula kichwa!.
Hili jambo pia hapa nililisema Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him! humu nimesema
Hivyo nilisema japo not expressly but impliedly.
P
Usihangaike na mtu asiyejitambua huyo.Muombee rehema za milele.😂😂😂😂Si ungemfuata inbox, kwanini kumvunjia Moisemusajiografii heshima?
Nuru ya milele imwangazieUsihangaike na mtu asiyejitambua huyo.Muombee rehema za milele.😂😂😂😂
Jf we are all equal hivyo heshima za shikamoo sio muhimu muhimu ni respectKaka Mayalla shkamoo
Wajinga wa fb na tuitaIla JF ya sasa imeporomoka sio kama zamani, mliowahi kujiunga mlifaudu zaidi..sasa hivi yameingia makapi mengi
Apumzike kwa amani.Tuitikieeeee...Aaaaamin!Umenikumbusha mbali sana.Padre Mageda na Father Kalumanzila.Nuru ya milele imwangazie
Duh...Unididimize mpini?
Fala sana huyu jamaaSi ungemfuata inbox, kwanini kumvunjia Moisemusajiografii heshima?
scientist hawezi kuwa na kiingereza konki! Mh! Mhaya mimi? nani kasema? Wanyambo differ to some extent from Haya! ingawa wanasikilizana kihaya na Kinyambo by say 80%!Huwa nafurahishwa sana na kile Kingereza chako konki cha Half London. Yaani ukiandika, lazima nitafute Oxford English Dictionary niiweke pembeni. Leo nikipewa nafasi ya kubadili kabila, ntachagua kuwa Muhaya.
Nilipata msichana akaniambia yeye ni mtu wa Bukoba, haraka haraka nikaenda kwao kujitambulisha, kumbe Mnyambo kahamia Bukoba.
Ufala wake nini? Mbona sijauona?Fala sana huyu jamaa
Hata akiwa fala, ukibishana nae au kumdhalilisha we ndio unaonekana fala zaidi. Hekima ilikuwa kumpotezeaFala sana huyu jamaa