Maisha ya jamii ya JamiiForums yako poa sana kuliko jamii ya Twitter, Facebook na Insta

wapo wanaowachukia wenzao, Mi sina ninayemchukia, ulinizingua nakuroga tu[emoji23]
 
Unanikoshaga kwa style ya kuandika kwa ucheshi, mizaha and the like!
Huwa nafurahishwa sana na kile Kingereza chako konki cha Half London. Yaani ukiandika, lazima nitafute Oxford English Dictionary niiweke pembeni. Leo nikipewa nafasi ya kubadili kabila, ntachagua kuwa Muhaya.

Nilipata msichana akaniambia yeye ni mtu wa Bukoba, haraka haraka nikaenda kwao kujitambulisha, kumbe Mnyambo kahamia Bukoba.
 
Jamii forums ni nzuri sana. Tatizo vijana wengi wamejaa ushabiki maandazi, yaani uleushabiki wa bila logic.
Ushabiki wa mpira, ushabiki wa kiasiasa na ushabiki wa watu binafsi i.e, Diamond vs Alikiba, Messi vs Ronaldo
 
Jamii ya Twitter ni ya kutafutia ajira Serikalini.
 
NAKATAAA JF ni sawa na huko kwingine tu na ndio maana Twitter imeshika hatamu sana nowadays.

Mimi binafsi nafanya mambo ya hovyo sana huku JF na Twitter na wala sio uhalisia wangu hata kwa punje moja
Huo ndio uhalisia wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…