Maisha ya jamii ya JamiiForums yako poa sana kuliko jamii ya Twitter, Facebook na Insta

Pascal Mayalla ni miongoni mwa watabiri wazuri sana hapa JF, lakini sijui kwanini hakuwa nastradamus kwenye issue ya mwendazake?
Mkuu Bujibuji Simba Nyamaume , angalia tarehe ya bandiko hili Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake! humo nimesema
Sijui ni wangapi humu wanaelewa kuwa ile issue ni karma imekula kichwa!.
Hili jambo pia hapa nililisema Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him! humu nimesema
Hivyo nilisema japo not expressly but impliedly.
P
 
I salute you kaka mkubwa. Mzee wa sound from within
 
Kaka Mayalla shkamoo
 
scientist hawezi kuwa na kiingereza konki! Mh! Mhaya mimi? nani kasema? Wanyambo differ to some extent from Haya! ingawa wanasikilizana kihaya na Kinyambo by say 80%!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…