Maisha ya jamii ya JamiiForums yako poa sana kuliko jamii ya Twitter, Facebook na Insta

NAKATAAA JF ni sawa na huko kwingine tu na ndio maana Twitter imeshika hatamu sana nowadays.

Mimi binafsi nafanya mambo ya hovyo sana huku JF na Twitter na wala sio uhalisia wangu hata kwa punje moja
Ndio umeambiwa kubadilika ni wewe na ukitaka kuendelea kuoza ni wewe
 
We ndukghu yangku uliyehamia Mbheya una mathathizho sanha!
Lakhini ukho phowa sanha.
 
NAKATAAA JF ni sawa na huko kwingine tu na ndio maana Twitter imeshika hatamu sana nowadays.

Mimi binafsi nafanya mambo ya hovyo sana huku JF na Twitter na wala sio uhalisia wangu hata kwa punje moja
nifolo twita nitakufolo baki, hendo yangu ni hii hii
 
We ndukghu yangku uliyehamia Mbheya una mathathizho sanha!
Lakhini ukho phowa sanha.
Huwa nakukubali sana engineer msomi. Mchango wako ni mkubwa sana hapa jukwaani. Huwa napenda namna ambavyo umekuwa ukiishauri serikali. Laiti wakiufanyia kazi ushauri wako, mabadiliko makubwa tungeyaona kwa macho yetu ya nyama, tofauti na sasa tunahutubiwa maendeleo ambayo yako kwenye ulimwengu usiononekana. Utadhani mambo ya Gamboshi, uzuri wake na fahari yake inachagua nani aione
 
Naweza sema. Mods wanatukimbiza humu kwa double standards zao.

Mwanzo sijawahi itilia mkazo twitter ila siku hizi hasa huu mwaka nimeanza kuifurahia hio app

Mods wa JF rudini kwenye drawing board yenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…