Maisha ya kuanza kujitegemea ukiwa mtu mzima Ni stress tupu vijana anzeni kujipanga from 25

Maisha ya kuanza kujitegemea ukiwa mtu mzima Ni stress tupu vijana anzeni kujipanga from 25

Kama nikipata nafasi ya kuzungumza na kijana mwenye umri chini ya miaka 30 ningemshauli aanze maisha ya kujitegemea akiwa na miaka 25 kuliko akisubilia afike 30,35 au 40 atakuja kupata stress hatari

Kuna umri ukifika kama haukujianda kujitegemea ukiwa na umri kuanzia 25 ukishaanza kuwa mtu mzima kuanzia 30 kuja juu cha moto utakiona mbaya zaidi kama kuna watu ulikuwa unawategemea sasa hawapo Au kuna kitu ulikuwa unakitegemea kupata kama ajira Au upewe mtaji wa biashara ndipo uanze mipango ya kutoka nyumbani uanze kujitegemea itakuja kuku gharimu kwani utakuja kushanga unagonga age of 40 hujiwezi wala huna unaloliweza matokeo yake unageuka mzigo wa familia ndugu jamaa na marafiki

Part one

Mimi nimeanza kujitegemea nikiwa na 21.
 
kiukwel kuanza kujitegemea mapema kunakupa advantage sanaa.
Mfano mimi,

Nimemtia mimba binti wa watu nina miaka 20 nimemaliza form 6.Kajifungua niko mwaka wa kwanza mwishon nakaa hostel nikaamua kuhama kupanga gheto nikiwa na 22 years...nikamuoa nikiwa na miaka 25...

Unapata muda wa kujarib mambo mengi na kufanya makosa wakat una muda wa kuyarekebisha maana ikafika kipind nikaamua kuachana na viajira uchwara hiv na kuingia mtaan kujipambania bearing in mind mambo yakiniwa vigum sana navirudia vyet vyangu.But so far not bad.
 
Mie nimeanza Kujitegemea nikiwa na 21. Kuna Siku nimefuata Meza Ya Sebuleni ya Kioo na Tv ya nch 32 nimenunua Jamaa wa Boda akaniambia We kijana Mbona Mdogo sana Umeanza Kuweka Hivi Vitu. Nikajiuliza Hivi 21 ni mdogo nikamwambia Basi Tu nimependa Kutest Majukumu nione yapoje
 
Bcom.
Ajira nilishasau mda sana kutafuta.
Kuhusu nimekwama wapi sina jibu la kutosheleza ila ubongo umeshindwa kuprocess nifanye nini kupiga hatua nikiwa sina kitu mfukoni.
Nimekosa pesa nimekosa namna ya kujikwamua.Nimekubali hali yangu.
Jilipue mambele mkuu
 
Kama nikipata nafasi ya kuzungumza na kijana mwenye umri chini ya miaka 30 ningemshauli aanze maisha ya kujitegemea akiwa na miaka 25 kuliko akisubilia afike 30,35 au 40 atakuja kupata stress hatari

Kuna umri ukifika kama haukujianda kujitegemea ukiwa na umri kuanzia 25 ukishaanza kuwa mtu mzima kuanzia 30 kuja juu cha moto utakiona mbaya zaidi kama kuna watu ulikuwa unawategemea sasa hawapo Au kuna kitu ulikuwa unakitegemea kupata kama ajira Au upewe mtaji wa biashara ndipo uanze mipango ya kutoka nyumbani uanze kujitegemea itakuja kuku gharimu kwani utakuja kushanga unagonga age of 40 hujiwezi wala huna unaloliweza matokeo yake unageuka mzigo wa familia ndugu jamaa na marafiki

Part one
Hayo ndio madhara ya elimu yenu ya mzungu elimu nzur ni ile inayokis maisha na kutumika katika real life hapa nazungmzia darasa la saba ufundi kisha kaz wasomi weng wanachelewa kuoa na kua na familia kuliko darasa la saba na mafund gereji
 
Mchawi ni kutokukubali ulipo sasa hivi Ili ikuwezeshe kusonga mbele na kufanya maamuzi ya kubadili maisha Yako.

Sawa utatoboa, but una mikakati ipi ya kukuwezesha kuondoka point hiyo uliyopo right now na kusonga mbele?

Miezi sita iliyopita ulikuwa same spot? Nusu mwaka same routine different days?
Mzee una 40, unawatoto, huna kiwanja, unaishi nyumbn ya k.upanga, income haaina garentee, watoto wanataka kula,kuvaa nk hapo mkeo lazima aliwe..

Hapo changanya na stress za kuchapiwa ni Siri ya ndani. Mzee umri wa kuishi utashuka tuu
 
We Jamaa ni moja kati ya watu ambao huwa wanani-impress sana hapa Jukwaani.

Asilimia kubwa ya watu wanafikiria mambo mazito ktk kona nyepesi sana.

Ni rahisi sana kumkuta mtu ambaye mambo yake yanaenda anaona wengine kama akili zimeganda au wavivu.
Mafala hawa halafu kingine wana backup kutoka nyumbani


Wanatuona sisi wazembe
 
Nilianza vibarua na Kazi za kujilipua nikiwa Nina umri wa miaka 20, mwaka mmja baad ya kumaliza form Iv, baada ya kuona kufanya Kazi na mzazi Tena unakaa kwake hutoboi, mnapiga Kazi ya maana full ushirikiano unaambuliwa kupewa pesa ya malapa..
Nilishakaa Central siku 4 (traffic case), stakishari 3 (traffic case), Tabata police post siku moja kwa kesi ya kubambikiziwa ya mauaji ya Askari.. baada ya misoto ya kwenda Moro, mvua-duthumi- bwakila- Dakawa- Kisaki miezi mitatu baadae nikaamia Mang'ula, ifakara, Mbingu, na baadae Mlimba vijiji vya ndani ndani karibu kabisa na Mbeya.
Napo huko sikufanikiwa, nikaamia kwenye Kazi za Takataka hapahapa Dar kwa wakandarasi baadae nikapata mtaji nikawa naenda Iringa ruaha mbuyuni mbugani huko, Kama mchuuzi wa mbogamboga na kuleta kuuza solo la sambusa kigogo kwa kina dalali Mwasiliwa ...
Napo huko nikaambuliwa kutapeliwa na mwanamke mmj mfanyabiashara mwenzangu ambaye nilikuwa na uhusiano naye wa kimapenzi. Sikukata tamaa japo nilikuwa mweupe nikaanza kuuza mishikaki barabarani ya Mia mbili Mia mbili, napo sikufanikiwa kwa kuwa teyari nilikuwa na leseni yangu fresh, nikapata mchongo wa school bus shule moja ya Joshua mbezi beach na wadhamini walikuwepo wa kunibeba walinipigania kweli, maana Uongozi wa shule ulikataa kwa kuwa sikuwa na CV ya kufanya Kazi mahali Kama kuajiliwa hasa magari ya shule, na leseni ilikuwa Ni changa kwenye madaraja ya C, umri mdogo.MUNGU alisimama upande wangu wakanikubali, nikapiga Kazi Kama miezi kadhaa, nikaacha baada ya kupata dili la u supervisor wa taka kwenye Kampuni ya Greenwest Co LTD tawi la ukonga, kwa mitaa ya ukonga naifahamu vema haikuwa kazi ngumu kwangu...
Wakati nafanya Kazi greenwest nikapata mchongo wa PESPI, Na ukizingatia jamaa walikuwa wameshaanza kusumbua kuhusu malipo wakidai mapato ya makusanyo Ni madogo na gharama za uendeshaji Ni kubwa, na uchawi ulishaanza kuwa mwingi kazini, nikaamua kujizatiti kukomaa na mchongo mpya wa PEPSI, MUNGU akanisimamia kwa wakati mwingine Tena, nikapiga interview mbili, nikafanya vizuri wakanikubali nikala shavu.
Mpaka Sasa nimeamua kutumia hapa kwanza kugain experience na CV nzuri huku nikiendelea kula matunda ya harakati zangu..
Anyway Sasa hivi Nina 25, Nina mke na Mtoto mmj...

Hongera sana am 29 naish kwa wazazi nina mke

Nafanya kazi katika ofisi yake napata vijihela ila changamoto uwekezaji wa mzee unahitaji mamilioni

Akikosa za kujizania kwenye harakati zake maza anakuja analialia vijilaki vyangu vyoooote nampatia harafu siku nikiomba hela Angu napigiwa hesabu zooote zimekwisha eti nimetumia mimi (maza yuko kama maguful/ mkali kinomanoma)


Nawaza sana nakosea wapi


Wao wananiinsuare wantaka wahame mkoa waniachie mradi niusimamie so nitulie nyumbani niache kutanga tanga

Mara naambiwa nijipange kulingana na pesa ninayoipata ofisini

Najipanga vipi akati vijisenti nnavopata wanazunguka wanaomba kutatulia changamoto zao
 
Hongera sana am 29 naish kwa wazazi nina mke

Nafanya kazi katika ofisi yake napata vijihela ila changamoto uwekezaji wa mzee unahitaji mamilioni

Akikosa za kujizania kwenye harakati zake maza anakuja analialia vijilaki vyangu vyoooote nampatia harafu siku nikiomba hela Angu napigiwa hesabu zooote zimekwisha eti nimetumia mimi (maza yuko kama maguful/ mkali kinomanoma)


Nawaza sana nakosea wapi


Wao wananiinsuare wantaka wahame mkoa waniachie mradi niusimamie so nitulie nyumbani niache kutanga tanga

Mara naambiwa nijipange kulingana na pesa ninayoipata ofisini

Najipanga vipi akati vijisenti nnavopata wanazunguka wanaomba kutatulia changamoto zao
Hama hapo home kwanza.
Wanakuona huna majukumu ndio maana wanachukua hela.

Hulipi kodi
Hulipi bili ya chakula
Unalelewa wewe na mke wako.

Hela za nini sasa?

Hama home.
 
below 30 umri wa kujilipua tu yanibhutakiwi kuwaza... ukivuka hiyo ndo maisha yanaanza sasa ...

Nna mwaka mmoja wa kufanyaaamuzi magumu mno yatayoakisi maisha gani naishi huko mbele...

Vyeti vipo lakini naona vinanilostisha tu nataka niingie mtaani full gear mbeke kwa mbele huko kitaeleweka...

Maana nimeajiriwa private ila moyo uko mtaani kabisa naona napoteza gape tu la mtaani...

Kama john cena My time is now
 
Kama nikipata nafasi ya kuzungumza na kijana mwenye umri chini ya miaka 30 ningemshauli aanze maisha ya kujitegemea akiwa na miaka 25 kuliko akisubilia afike 30,35 au 40 atakuja kupata stress hatari

Kuna umri ukifika kama haukujianda kujitegemea ukiwa na umri kuanzia 25 ukishaanza kuwa mtu mzima kuanzia 30 kuja juu cha moto utakiona mbaya zaidi kama kuna watu ulikuwa unawategemea sasa hawapo Au kuna kitu ulikuwa unakitegemea kupata kama ajira Au upewe mtaji wa biashara ndipo uanze mipango ya kutoka nyumbani uanze kujitegemea itakuja kuku gharimu kwani utakuja kushanga unagonga age of 40 hujiwezi wala huna unaloliweza matokeo yake unageuka mzigo wa familia ndugu jamaa na marafiki

Part one
Is true but,too much theoretically!
 
Back
Top Bottom