Maisha ya Luhaga Mpina mashakani sana. Anakoelekea siyo kuzuri

Maisha ya Luhaga Mpina mashakani sana. Anakoelekea siyo kuzuri

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
Namuangalia huyu Mbunge. Naona amesifiwa kukimbia anapitiliza hadi kwao. Haya anayoyasema ni maneno mazito sana. Watu washaanza kumwangalia kwa jicho la utulivu. Anahatarisha maisha kwa mitanzania ambayo hata haina habari.

Angejilia zake maisha....aaenjoy tu life na pesa za Ubunge anapata. Ana shida gani? Anajitia kimbelembele sana. Anataka kusema yeye ana uchungu kuliko watanzania zaidi ya Milion 60? Atulie tu au sababu yeye hana pa kula ndo anataka kuharibia wenzie?
 
Namwangalia huyu Mbunge. Naona amesifiwa kukimbia anapitiliza hadi kwao. Haya anayoyasema ni maneno mazito sana. Watu washaanza kumwangalia kwa jicho la utulivu. Anahatarisha maisha kwa mitanzania ambayo hata haina habari.

Angejilia zake maisha....aaenjoy tu life na pesa za Ubunge anapata. Ana shida gani? Anajitia kimbelembele sana. Anataka kusema yeye ana uchungu kuliko watanzania zaidi ya Milion 60? Atulie tu au sababu yeye hana pa kula ndo anataka kuharibia wenzie?
Tatizo la nchi yetu ndio hilo mtu akiwa anasema ukweli tunamkatisha tamaa kwa kumtisha eti atulie hawezi kutetea watanzania milioni 60, tunasahau kuwa tulimpa kura ya kutuwakilisha akasemee yale ambayo hayasdemwi siyo kuogopa na kuhofia usalama wake
 
Kama Luhaga anasema kweli kwa ayasemayo basi ni mmoja katika elfu na anatakiwa aungwe mkono. Ila kama hajui anachokisema kwa maana ya anatunga tunga ku draw attention basi ni mtu hatari sana katika jamii.

Ila hivi hawa kina Mpina mbona enzi za jiwe walikuwa kimya tu nao, au ni hakukuwa na ufisadi kabisa na mambo yalikuwa yamenyooka tu ?
 
Namwangalia huyu Mbunge. Naona amesifiwa kukimbia anapitiliza hadi kwao. Haya anayoyasema ni maneno mazito sana. Watu washaanza kumwangalia kwa jicho la utulivu. Anahatarisha maisha kwa mitanzania ambayo hata haina habari.

Angejilia zake maisha....aaenjoy tu life na pesa za Ubunge anapata. Ana shida gani? Anajitia kimbelembele sana. Anataka kusema yeye ana uchungu kuliko watanzania zaidi ya Milion 60? Atulie tu au sababu yeye hana pa kula ndo anataka kuharibia wenzie?
Gubu, hasira, wivu vinamtesa. Alisifiwa na hayati JPM kwa namna alivyokuwa akifanya kazi lakini baadae hayati akamgeuka baada ya kumgundua ni mtu wa aina gani.
 
Gubu, hasira, wivu vinamtesa. Alisifiwa na hayati JPM kwa namna alivyokuwa akifanya kazi lakini baadae hayati akamgeuka baada ya kumgundua ni mtu wa aina gani.
Anaona wivu wenzie wanavyojipatia mijihela na ana hasira nao. Anateseka kwa mali ya umma kuibiwa angetulia tu kama wenzie wanavyokula.
 
Back
Top Bottom