Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,010
- 4,083
Ila hoja zake ni za msingiGubu, hasira, wivu vinamtesa. Alisifiwa na hayati JPM kwa namna alivyokuwa akifanya kazi lakini baadae hayati akamgeuka baada ya kumgundua ni mtu wa aina gani.
Na wew ulaaniweeee ndugu🤛🤛Ubarikiwe sana ndugu. 🙏
Ukizitazama kwa kina pia hazina msingi, mawaziri huwa hawana muda mrefu wa kujibu kwa kirefu kama anavyozitoa mle bungeni, huwa wanalazimika kutenga muda wa kujibu kila hoja inayoletwa na kila mbunge kuhusu wizara zao hivyo wanajikuta wakipungukiwa muda wa kujibu kwa kina.Ila hoja zake ni za msingi
Tuachane na Mpina tuzungumze hoja zake ni za uongo au za kweli?
Viumbe kama nyie ndio humfanya mtu mweusi kuonekana kuwa ubongo wake bado upo kwenye evolution!! Hao kina Mandela, mwalim Nyerere, wangekuwa na akili kama hizi ingekuwaje!!!? Aibu naona mimiNamwangalia huyu Mbunge. Naona amesifiwa kukimbia anapitiliza hadi kwao. Haya anayoyasema ni maneno mazito sana. Watu washaanza kumwangalia kwa jicho la utulivu. Anahatarisha maisha kwa mitanzania ambayo hata haina habari.
O
Angejilia zake maisha....aaenjoy tu life na pesa za Ubunge anapata. Ana shida gani? Anajitia kimbelembele sana. Anataka kusema yeye ana uchungu kuliko watanzania zaidi ya Milion 60? Atulie tu au sababu yeye hana pa kula ndo anataka kuharibia wenzie?
Kila bunge anasimama na kujenga hoja zenye nia ya kuchafua mawaziri wa Samia, mlengwa haswa wa hoja huwa ni Samia mwenyewe.Anaona wivu wenzie wanavyojipatia mijihela na ana hasira nao. Anateseka kwa mali ya umma kuibiwa angetulia tu kama wenzie wanavyokula.
Mpina kamatia hapo hapo bado hawajema #MpakawasemeNamwangalia huyu Mbunge. Naona amesifiwa kukimbia anapitiliza hadi kwao. Haya anayoyasema ni maneno mazito sana. Watu washaanza kumwangalia kwa jicho la utulivu. Anahatarisha maisha kwa mitanzania ambayo hata haina habari.
Angejilia zake maisha....aaenjoy tu life na pesa za Ubunge anapata. Ana shida gani? Anajitia kimbelembele sana. Anataka kusema yeye ana uchungu kuliko watanzania zaidi ya Milion 60? Atulie tu au sababu yeye hana pa kula ndo anataka kuharibia wenzie?
Kwa hiyo ww unamwona MPINA ni shujaa na yupo hatarini kwa sababu anaongea? Kuna watu hatari zaidi yake na hao ndio wanampa mwongozo na hao ndio ambao hata MPINA mwenyewe anawahofia.Namwangalia huyu Mbunge. Naona amesifiwa kukimbia anapitiliza hadi kwao. Haya anayoyasema ni maneno mazito sana. Watu washaanza kumwangalia kwa jicho la utulivu. Anahatarisha maisha kwa mitanzania ambayo hata haina habari.
Angejilia zake maisha....aaenjoy tu life na pesa za Ubunge anapata. Ana shida gani? Anajitia kimbelembele sana. Anataka kusema yeye ana uchungu kuliko watanzania zaidi ya Milion 60? Atulie tu au sababu yeye hana pa kula ndo anataka kuharibia wenzie?
Mpina ana faida gani, au ana faida kwako? Yule ni mnafki tu na jazba zote kwasababu ya kuukosa uwaziri. Mwambieni yule mshamba wenu arudishe mashamba ya wananchi MvomeroWatu wenye mtazamo kama huu wa kwako ni wa kunyongwa tu hadharani. Maana hamna faida yoyote ile kwenye jamii ya wapenda haki, usawa na pia mabadiliko ya kweli katika nchi.
Ndg kweli hakuna Ufisadi nchi hii?Ukizitazama kwa kina pia hazina msingi, mawaziri huwa hawana muda mrefu wa kujibu kwa kirefu kama anavyozitoa mle bungeni, huwa wanalazimika kutenga muda wa kujibu kila hoja inayoletwa na kila mbunge kuhusu wizara zao hivyo wanajikuta wakipungukiwa muda wa kujibu kwa kina.
Mengi aliyoyaongea kuhusu bandari katika suala la DP World hayana mashiko yoyote.
Ni jambo la furaha kwangu kuona anawanyoosha nyinyi majizi wenzake.Mpina ana faida gani, au ana faida kwako? Yule ni mnafki tu na jazba zote kwasababu ya kuukosa uwaziri. Mwambieni yule mshamba wenu arudishe mashamba ya wananchi Mvomero
Naunga mkono hoja 100%. Uhai ni bora kuliko vyote.Namwangalia huyu Mbunge. Naona amesifiwa kukimbia anapitiliza hadi kwao. Haya anayoyasema ni maneno mazito sana. Watu washaanza kumwangalia kwa jicho la utulivu. Anahatarisha maisha kwa mitanzania ambayo hata haina habari.
Angejilia zake maisha....aaenjoy tu life na pesa za Ubunge anapata. Ana shida gani? Anajitia kimbelembele sana. Anataka kusema yeye ana uchungu kuliko watanzania zaidi ya Milion 60? Atulie tu au sababu yeye hana pa kula ndo anataka kuharibia wenzie?
Ufisadi haujaacha kuwepo nchi hii katika awamu zote sita.Ndg kweli hakuna Ufisadi nchi hii?
Maana ndio hoja alizosimamia na sio yeye anasema ni Taarifa za Mashirika ya Kimataifa, Takukuru, CAG, PAC
Tukubaliane Mpina ni Muongo anasingizia mawaziri je Msukuma?, Bulaya?
Doh
Wewe jamaa JUHA kwelikweli, inaonekana unaogopa sana kufa!!! Hata uogope, usiogope utakufa tu, sasa ni kipi bora kwako, ufe kwa kusema ukweli au ufe kwa unafiki??????????Namwangalia huyu Mbunge. Naona amesifiwa kukimbia anapitiliza hadi kwao. Haya anayoyasema ni maneno mazito sana. Watu washaanza kumwangalia kwa jicho la utulivu. Anahatarisha maisha kwa mitanzania ambayo hata haina habari.
Angejilia zake maisha....aaenjoy tu life na pesa za Ubunge anapata. Ana shida gani? Anajitia kimbelembele sana. Anataka kusema yeye ana uchungu kuliko watanzania zaidi ya Milion 60? Atulie tu au sababu yeye hana pa kula ndo anataka kuharibia wenzie?
Naunga mkono hoja ila kumwambia mjinga naona umempa sifa sana huyo ni mpumbavuMjinga wewe
Anatimiza wajibuAna shida gani? Anajitia kimbelembele sana. Anataka kusema yeye ana uchungu kuliko watanzania zaidi ya Milion 60? Atulie tu au sababu yeye hana pa kula ndo anataka kuharibia wenzie?