Sasa unataka watu wajadili nini kwenye mada ya kipumbavu kama hii!Namwangalia huyu Mbunge. Naona amesifiwa kukimbia anapitiliza hadi kwao. Haya anayoyasema ni maneno mazito sana. Watu washaanza kumwangalia kwa jicho la utulivu. Anahatarisha maisha kwa mitanzania ambayo hata haina habari.
Angejilia zake maisha....aaenjoy tu life na pesa za Ubunge anapata. Ana shida gani? Anajitia kimbelembele sana. Anataka kusema yeye ana uchungu kuliko watanzania zaidi ya Milion 60? Atulie tu au sababu yeye hana pa kula ndo anataka kuharibia wenzie?
Labda umefanya utafiti na kugundua kwamba Watanzania miloni 60 hawana uchungu? Na kwanini tuamini unayotueleza?Namwangalia huyu Mbunge. Naona amesifiwa kukimbia anapitiliza hadi kwao. Haya anayoyasema ni maneno mazito sana. Watu washaanza kumwangalia kwa jicho la utulivu. Anahatarisha maisha kwa mitanzania ambayo hata haina habari.
Angejilia zake maisha....aaenjoy tu life na pesa za Ubunge anapata. Ana shida gani? Anajitia kimbelembele sana. Anataka kusema yeye ana uchungu kuliko watanzania zaidi ya Milion 60? Atulie tu au sababu yeye hana pa kula ndo anataka kuharibia wenzie?
Ndio wanashangaa Isreal. Wanawaua watoto wa Palestina kumbe na wato wao hawataishi milele....hakuna mtu ataishi milele mkuu
Ni bora ufe umesimama kuliko kufa umepiga magoti....ni hivyo tuu
Nashukuru tunabadilishana tu wishes.Na wew ulaaniweeee ndugu🤛🤛
Kabisa.Mpumbavu sana wewe.
Ooooh. ... Kweli eeeeeh? Basi nitatumia chandalua.Umefungua ID mpya uje untishie Mpina!
Utajifia Malaria leo leo tukusahau.
Mpuuzi Madelu weye
Kabisa. Na wewe ni tajiri wa kila kitu.Mtoa mada wew ni Maskin wa Akili na Mali
AbsolutelyWatu wenye mtazamo kama huu wa kwako ni wa kunyongwa tu hadharani. Maana hamna faida yoyote ile kwenye jamii ya wapenda haki, usawa na pia mabadiliko ya kweli katika nchi.
Nakubaliana nawe kabisa.Naunga mkono hoja ila kumwambia mjinga naona umempa sifa sana huyo ni mpumbavu
Sawa tutaacha nanyi mkianza kupata akili za kujikwamua. Ila mkiishia kupiga tu kelele JF hatuachi. Mabwege nyieWewe ni Mwigulu Nchemba? Au ni mtoto wake? Acheni ujambazi wa pesa za umma
Mwigulu alitoa kauli fulani ya hasira dhidi ya Mpina aliposema kwamba yeye akirudi kwao Singida anapokelewa kwa shangwe tofauti na Mpina, mpaka spika akamwambia aifute ile kauli.Mbaya zaidi ya wote ni Madelu huyo mbaya sana watapanga kikosi kazi ....kumpunguzia siku za kuishi......majizi hatareeeee