Maisha ya mateka 70 kwa kusitisha vita siku 5. Nini faida na hasara ya utekelezwaji wake?

Maisha ya mateka 70 kwa kusitisha vita siku 5. Nini faida na hasara ya utekelezwaji wake?

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Wapiganaji wa kikosi cha kijeshi cha Hamas cha Alqassam wamerudia mara nyingi katika wiki kwamba wako tayari kuachia mateka 70 inaowashikilia kwa sharti kwamba vita visitishwe kwa siku tano tu na kuruhusu misaada kuwafikia watu wa maeneo ya Gaza.

Kwa maelezo ya waandishi wa habari viongozi wa Israel wamekataa pendekezo hilo kwa vitendo kwa kuendelea kupiga hospitali ambazo tayari zimesimama kufanya kazi kwa kusihiwa na kila kitu.

Ni zipi faida itakazozipata Hamas kwa kutekelezwa masharti hayo na zipi itakuwa hasara kwa upande wa Israel.

Tumia akili yako kujadili jambo la maana katika wakati mgumuj kabla hali haijabadilika ghafla.
 
Kwa namna yoyote ile Hamas sio rahisi kuwaachia mateka ndio turufu yao pekee iliyobaki kuwafanya Israel wasimamishe mapigano.

Kwa upande mwingine Israel kwa sasa haijali sana kuhusu mateka(ni kama wamekubali kuwapoteza) wanachotaka ni kuisafisha kabisa Gaza na kuja na mpango mpya wa namna ya kuboresha jinsi watakavyo ikalia Gaza kibabe zaidi Hamas wasipate mwanya tena wa kushambulia.

Hata Hamas wakiwaachia mateka kipigo kipo palepale hadi watimize adhma yao.
 
Wapiganaji wa kikosi cha kijeshi cha Hamas cha Alqassam wamerudia mara nyingi katika wiki kwamba wako tayari kuachia mateka 70 inaowashikilia kwa sharti kwamba vita visitishwe kwa siku tano tu na kuruhusu misaada kuwafikia watu wa maeneo ya Gaza.

Kwa maelezo ya waandishi wa habari viongozi wa Israel wamekataa pendekezo hilo kwa vitendo kwa kuendelea kupiga hospitali ambazo tayari zimesimama kufanya kazi kwa kusihiwa na kila kitu.

Ni zipi faida itakazozipata Hamas kwa kutekelezwa masharti hayo na zipi itakuwa hasara kwa upande wa Israel.

Tumia akili yako kujadili jambo la maana katika wakati mgumuj kabla hali haijabadilika ghafla.
Na wasi wasi hiyo hospital ina mateka wamefichwa hapo na Israel imepazunguka tayari na wanahisi watakombolewa

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Hamas wanajua fika kwamba, hata vita visiposimamishwa kwa muda wataoupendekeza, bado mateka wataokolewa tu na hao wayahudi

Wao ndio wachague kipi ni kipi!
Israel ndio inajua haina haja nao wanachotaka ni Gaza.Na kuokolewa kama ile hadhithi ya Uganda si rahisi. kabisa.
Na inajuwa kwa kuwapoteza mateka itawaudhi sana ndugu wa mateka ho lakini pia haijali.
 
Kwahiyo baada ya shangwe zile za alakbar,mkaja na hastag,mkaja na propaganda nyingi sasa mmekuja kuomba ushauri,tulieni kichapo kipo pale pale mpaka hao hamas na magaidi wengine wajue myahudi ndio dawa pekee ya kukosmesha ugaidi duniani.
Israel kuuwa haikuanza leo na kama kutetea haki ni ugaidi mbona ugaidi haujawahi kusimama.Na haitowezekana kuusimamisha kwa kujaribu kuikalia Gaza.
 
Wapiganaji wa kikosi cha kijeshi cha Hamas cha Alqassam wamerudia mara nyingi katika wiki kwamba wako tayari kuachia mateka 70 inaowashikilia kwa sharti kwamba vita visitishwe kwa siku tano tu na kuruhusu misaada kuwafikia watu wa maeneo ya Gaza.

Kwa maelezo ya waandishi wa habari viongozi wa Israel wamekataa pendekezo hilo kwa vitendo kwa kuendelea kupiga hospitali ambazo tayari zimesimama kufanya kazi kwa kusihiwa na kila kitu.

Ni zipi faida itakazozipata Hamas kwa kutekelezwa masharti hayo na zipi itakuwa hasara kwa upande wa Israel.

Tumia akili yako kujadili jambo la maana katika wakati mgumuj kabla hali haijabadilika ghafla.
Israel huwa hawapangiwi la kufanya, kwenye kuandaa mipango ya vita wanakuwa na long term plan
 
sasa mbona Netanyahu amesema hakuna kusitisha vita? hamas wameona wameshasambaratika wanataka kureorganize, silaha zimepungua, chakula kimepungua, kule kwenye mahandaki oxygen inapungua, hospitali walizokuwa wanatumia kama kinga zimeshasambaratishwa, raia waliokuwa kinga wamekimbilia kusini, pale wamebaki wao peke yao, makamanda wao wengi sana wamekuwa eliminaated na myahudi yupo everywhere Gaza. mbona huruma sana kwa hamas, jeuri yote ile wanaomba po mapema hivi? tuliwaambia, hamas silaha yake kuu ni raia na mateka. GAZA imezingirwa pande zote mbili hakuna pa kutokea baada ya israel kuikata Gaza katikati, kusini kuna raia, kaskazini hamas. wakasema hawa hamas walioko kaskazini hakuna kutoka wote lazima wafe, na kweli wameishiwa pumzi wanaomba poo mapeeema.
 
Wapiganaji wa kikosi cha kijeshi cha Hamas cha Alqassam wamerudia mara nyingi katika wiki kwamba wako tayari kuachia mateka 70 inaowashikilia kwa sharti kwamba vita visitishwe kwa siku tano tu na kuruhusu misaada kuwafikia watu wa maeneo ya Gaza.

Kwa maelezo ya waandishi wa habari viongozi wa Israel wamekataa pendekezo hilo kwa vitendo kwa kuendelea kupiga hospitali ambazo tayari zimesimama kufanya kazi kwa kusihiwa na kila kitu.

Ni zipi faida itakazozipata Hamas kwa kutekelezwa masharti hayo na zipi itakuwa hasara kwa upande wa Israel.

Tumia akili yako kujadili jambo la maana katika wakati mgumuj kabla hali haijabadilika ghafla.
Hayo tunayasikia upande mmoja tu, ambao mara nyingi huwa unasema uongo au robo ukweli. Upande wa pili unasema ni pamoja na kuwachiliwa Wapalestina 1,700.
 
Hatimae Mvua Imenyesha Gaza watu wanakunywa Maji Safi

GAZA NOW IN ENGLISH

View: https://t.me/gazaalanpa/1796?single

View: https://t.me/gazaalanpa/1797?single
The joy of the displaced people in Gaza as the rain falls after 39 days of water scarcity.

1699979847011.png
1699979971771.png
 
Hatimae Mvua Imenyesha Gaza watu wanakunywa Maji Safi
Tusubiri kwa uwezo wa Allah vifaru vishindwe kutembea kwenye matope halafu Hamas watoke mashimoni kufukuzana na IDF kwa miguu.
 
Israel hao mateka haina shida nao sana kwa sababu inajua walipo. Kama viongozi hamas wapo basi hao mateka nao wapo.
Na Hamas haiwezi ua mateka wote sababu ndio kinga yao. Yani mpaka sasa hivi Hamas wanaongea sababu wana mateka, wangekuwa wameua mateka wote kwa sasa wangekuwa wanaongea ila sio katika ulimwengu wetu bali ulimwengu wa kuzungukwa na mito ya pombe.
 
Back
Top Bottom