Maisha ya mwana JamiiForums nje na ndani ya JamiiForums

[emoji122][emoji122][emoji122] well said chief, na mfano malidhawa kabisa....asante sana.
 
Nilikuwa na pita kimya kimya mara paaaap..'! Post ya Prondo ikaniibua.
Mkuu kula like mingi mingi..[emoji106] [emoji106]
 
Jamaa yangu... Home boy, wa kitaa kabisa na wewe unaanza kuleta data cooked ili kufurahisha watu? Wa kitaa unajua kwetu huku hakuna daladala na usafiri mkuu boda boda kama sio anita basi kuna hivi baiskeli za mtumba. Tena hata wengine hatuna baiskel sembuse flat screen? Tunaitolewa wapi aise wa kitaa, magari ndo hayo tunayaona kitaa tu japo washua wa huku kwetu wabahili. Huku vumbi tu mshikaji hivyo umekosea sana kujumuisha wote kwa watu wachache
 
Sina la kuongezea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…