Maisha ya mwana JamiiForums nje na ndani ya JamiiForums

Maisha ya mwana JamiiForums nje na ndani ya JamiiForums

Hata Insta Facebook SnapChat mambo ni haya haya. Unakuta mdada anapost kila siku yupo Cape town Fish Market ila hata pa kuishi hana anaishi kwa mashoga. Ukiishi kwa kutegemea maisha wanayoishi wengine kwenye social media unaweza ukawa shoga au punda au malaya. Turidhike na tulipo. Tupiganie maendeleo kwa faida yetu sio kwa sababu ya fulani.
Kweli kabisa
 
Sijasema ni hater mkuu..namaanisha mambo ya huku ni ya hukuhuku na mtaani ni ya mtaani. BAK ametoa maelezo mujarab, inategemea na mtu anataka nini JF, kwangu cha kwanza ni kupata burudani, napunguza nyongo za stress zangu, pili elimu na updates za mambo mbalimbali.

Pia kuna watu wenye uzoefu wa kada mbalimbali huku, huwezi kupata hiyo fursa kwingine kwa wakati mmoja.
swadaqta
 
Back
Top Bottom