Maisha ya mwana JamiiForums nje na ndani ya JamiiForums

Maisha ya mwana JamiiForums nje na ndani ya JamiiForums

Ninayo OG nilinunua HMV. Nikimaliza kuangaliia Chelsea vs Crystal Palace on DSTV nitaiangalia tena on my SONY DVD player na JVC 42'' flat screen!
[HASHTAG]#LetMePretend[/HASHTAG]

View attachment 710770

We live once Chief, quality matters bro.
Ujue hata Yesu alikua mtu wa standard...unakumbuka alipakwa mafuta ya gharama sana na yule mwanamke. Funga kazi ni ile kanzu yake, ilipigiwa kura na wajeshi wakiigombania, unaweza kujua ilikua ni kanzu ya aina gani.

Tunapozungumzia standard au viwango sio dhambi waungwana mtuelewe..

Mkuu kama una hizi movie tutafutane japo za zamani

1 Match point
2 The Sentinel
 
Haya...
FB_IMG_1519425027331.jpg
 
Asalaam wanajukwaa!!

Katika kutumia mtandao huu ( jamiiforums) mzuri na ninaoupa kipaumbele sana nimepata uzoefu na maswali mengi yakinizunguka akilini mwangu kuhusu members wa hii familia ya jamiiforum.
Kutokana na maswali hayo yalinipa hitimisho ama uzoefu mpya kabisa!!

Kiukweli namna watu wanavyojipambanua humu, ni tofauti kabisa na hali zao zilivyo, nafafanua kwa kila kundi ama jinsia kama ifuatavyo:-

1 KUNDI LA WANAUME WA JF.
Wanavyojisifu:-
I/wengi kama sio wote wana miliki magari au usafiri mzuri, yaani wengi hawapandi daladala kwenda kazini ama majumbani Kwao

ii/ wengi kama si wote wana kazi nzuri zenye mishahara mizuri, hapa utakuta watu wanabeza hasa wenzao wanaolipwa mfano laki Tatu au mbili kwa mwezi.
iii/ wengi kama sio wote ni watu wa vitengo ( usalama wa taifa na wanajeshi)[emoji23] [emoji23] [emoji23]
iv/ Hakuna asikari polisi hata mmoja humu jamiiforum, huwezi kukuta mtu akijipiga kifua humu kuwa yeye ni polisi ila tuna wajeda karibia wote humu[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]

v/ Humu walimu wanadharaulika kwa sababu wanalipwa kidogo. Hivyo hatuna member ambao ni maticha humu labda tupate Leo.
vi/ wanaume wote wa jamiiforum hawatumii TV za chogo majumbani/ maghetoni Kwao, wao wana flat screen TVs ( smart TV) za bei kubwa hivyo yeyote anayetumia TV ya chogo huhesabiwa mlalahoi wa jf.

2.KUNDI LA WANAWAKE.
I/wote ni warembo, yaani vibinti vibichi.
ii/ wote wana K mnato.
iii/ wote ni wahitimu wa kuanzia shahada ( degree). Humu jf hakuna mwanamke mwenye elimu darasa la saba au form four.
iv/ kuwahonga mademu wa humu jamiiforum labda uanzie laki mbili na si chini ya hapo.
v/ wengi kama sio wote wamepanga nyumba nzima yaani apartment.
vi/ vinywaji vyao ni saint Anna, savanna, Grants, na castle lite kwa Mara chache.
vii/ Hakuna majimama humu jamiiforum, wote ni vimwana wazuuri.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

HITIMISHO.
Kijana mwenzangu usijaribu kushindana na mazuri ya jamiiforum, kwani huu ni ulimwengu wa waliofanikiwa ( the world of granted).
Ingia shambani lima, fundisha, cheza italipa zaidi.

[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
nunua malaya nalipa
 
hahaaa ndio kwanza nataka kununua baiskeli ..nimeanza kununua kengere na breki zake kwanza ...nadhani mpka mwezi wa 6 ndoto yangu ya kumiliki baiskeli itakuwa imeshatimia mkuu...

namuomba Mungu inshaallah
Malengo na utekelezaji ndio kila kitu
 
Back
Top Bottom