Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hiyo ndoa hiyo ni balaa.The comical marriage!Pwagu na Pwaguzi.kuna muda mkewe aliondoka home kwa hasira yeye na dada wa kazi akahamia hotelini, mshikaji akabaki na watoto ( 6, 3) akawa anawalisha chipsi mchana na usiku - tukamwambia kaka utawaua hawa watoto, wapeleke kwa mama yao hotelini.
tutafika paradiso tukiwa hoi aisee hizi ndoakuna muda mkewe aliondoka home kwa hasira yeye na dada wa kazi akahamia hotelini, mshikaji akabaki na watoto ( 6, 3) akawa anawalisha chipsi mchana na usiku - tukamwambia kaka utawaua hawa watoto, wapeleke kwa mama yao hotelini.
weka TUWEKEHiyo ndoa hiyo ni balaa.The comical marriage!Pwagu na Pwaguzi.
Wapelekwe kwenye ile serie inaitwa ..."How I met your mom"...!Watapendeza.weka TUWEKE
Dunia ya leo sio ya kuoa.. kuolewa sawa. Ila sasa kama wa kuoa ndio wanagoma, utaolewa na nani?Vp huko ndoani kunasemaje tuingie au😂😂😂😂
Wapelekwe kwenye ile serie inaitwa ..."How I met your mom"...!Watapendeza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji38]na nyie mliwasha nini baada ya wao kuondoka mkuu
Nadhani walirudi kwa miguu kama walivyoenda😂😂na nyie mliwasha nini baada ya wao kuondoka mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23]Nadhani walirudi kwa miguu kama walivyoenda[emoji23][emoji23]
Mke ana hela mume ana hela sasa wale wanakomoana na askari washawajua si mara moja kufikishana pale kwa kesi za sampuli hiyo.Wale jamaa wa Centro wanaogopa V8 sio mchezo..
Hiyo chai kabisa Dingi V8 maza BMW hawawezi kufanya michezo ya kijinga namna hiyo
Wanapendana kweli ila mshikaji wetuWanapendana kinafki mgawo wa Mali unawazuia kuachana
Jf bwana napata burudani sana,kunitoa hapa jf labda uje na broodozer unifunge na chen kisha uvite nimecheka sana kwa swali hili.na nyie mliwasha nini baada ya wao kuondoka mkuu
Wanapozana 😂🤣🤣Kuna mshikaji wetu mmoja alimlaza mkewe ndani kwa makosa ya kijinga kijinga tu ya maisha ya ndoa... kesho yake tukaenda kumsalimia shemeji yetu tukamkuta pale nje kituoni so tukatoka naye tukaenda kupata supu jirani na kituo cha police.
Kwenye supu akatuambia sasa nawapa salaam, mpigieni simu mshikaji wenu mwambieni ya yeye leo ni zamu yake, tukacheka tukasema shemeji si yaishe tu haya mambo kifamilia, akagoma akasema na yeye lazima aje kunyea debe leo afu ndiyo tuangalie namna ya kuyamaliza.
Aisee kweli bana kabla hata hatujaondoka jamaa kafika na V8 lake, fasta bin vuu vua mkanda, kaa chini .. unapiga mkeo wewe bila makosa... mzee mzima akasonda ndani - sisi tukaendelea kupata ngano na shemeji yetu huku tukimsihi amtoe akagoma, tukakaa pale hadi saa 4 usiku ikashindikana kumtoa ikabidi tuondoke
Asubuhi yake tukafika pale ili tuone kama kesi itakwenda mahakamani, basi kuongea huku na huku yule afande akawaita wote akawaambia naona sasa kila mmoja karidhika - sasa nendenei mkayamalize nyumbani.
Jamaa akawasha V8 lake akasepa, huku shem na yeye akawasha BMW na yeye akasepa - sisi tukaona tuwaache kwanza then tuwatafute jioni tuone wamefikia wapi.
Basi ilipofika saa 11 jioni tukamcheki mshikaji akatuambia yupo sehemu tuende, tukafika pale tukawakuta yeye na mkewe wanapata Kmoto na moja moto moja baridi... asiee dunia hii.
mambo ya ndoa ni magumu sana.