Maisha ya ndoa yana changamoto nyingi sana.

kuna muda mkewe aliondoka home kwa hasira yeye na dada wa kazi akahamia hotelini, mshikaji akabaki na watoto ( 6, 3) akawa anawalisha chipsi mchana na usiku - tukamwambia kaka utawaua hawa watoto, wapeleke kwa mama yao hotelini.
Hiyo ndoa hiyo ni balaa.The comical marriage!Pwagu na Pwaguzi.
 
kuna muda mkewe aliondoka home kwa hasira yeye na dada wa kazi akahamia hotelini, mshikaji akabaki na watoto ( 6, 3) akawa anawalisha chipsi mchana na usiku - tukamwambia kaka utawaua hawa watoto, wapeleke kwa mama yao hotelini.
tutafika paradiso tukiwa hoi aisee hizi ndoa
 
Wanapendana kinafki mgawo wa Mali unawazuia kuachana
 
Wale jamaa wa Centro wanaogopa V8 sio mchezo..
Hiyo chai kabisa Dingi V8 maza BMW hawawezi kufanya michezo ya kijinga namna hiyo
Mke ana hela mume ana hela sasa wale wanakomoana na askari washawajua si mara moja kufikishana pale kwa kesi za sampuli hiyo.

Afu usiwe na mawazo kwamba mtu mwenye V8 hawezi kulala ndani..futa mawazo hayo kabisa.
 
Wanapendana kinafki mgawo wa Mali unawazuia kuachana
Wanapendana kweli ila mshikaji wetu
chai...unajua ukiwahi kupata pesa kwa umri chini ya 40 ni balaa..ni wachache sana wanaweza kuhimili hali.

Wewe ushawahi ku date mtoto Dar afu mkapanga mkutane walau Mza kula maisha?

Sasa mwenzio mzigo unamfuata Dubai au hata UK, popote anapotaka kwenda kula bata..

Hapa ndipo tatizo linapoanzia
 
Wanapozana 😂🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…