Maisha ya ndoa

Maisha ya ndoa

Ili ndoa iwe nuepes mwanamke hatakiwi kuwa jeur na mdomo mdomo mwng, hapo watu wanahesabu miaka labda mwanaume awe punguani sana
Ujakosea ila kumbuka kuna wanaume pia wan midom siku izo
 
Mtoto MDA mwingi Yuko na mama
Mtoto Anapobadilika lawama lazma Kwanza ziende kwa mama ake kabla ya baba
 
Wife ananishaur Sana tu
ila hawez kua mwamuzi wa mwisho, Maamuz yote ya familia Mimi ndo final say
Hili watoto na wanafamilia wote wanalijua[emoji4]
 
Ndo mapunguani hao, mwanamke sio jeur, hana kelele.....kelele uje uzianzishe mwanaume, ni kukosaa busara kukubwa sana
Unakuta mwanaume analalamika hela alioacha imetumika vibaya na aataki kula maharagwe kesi nying nilizo shuhudia coaches sana mwanaume ndio hawi mgovi
 
Wife ananishaur Sana tu
ila hawez kua mwamuzi wa mwisho, Maamuz yote ya familia Mimi ndo final say
Hili watoto na wanafamilia wote wanalijua[emoji4]
Ilo ni wajibu wake
 
Back
Top Bottom