Maisha ya Osama kabla hajakamatwa yafichuliwa


Hapa unaatupeleka kwa mambo ya ubishi na matamanio ya kina Lipumba na propaganda zake msikitini eti akiwa raisi atawafanya waislam wawe daraja la kwanza sijui nini.. Uwongo uwongo tu, maneno yasiyokuwa na facts wala mwelekeo ili mradi basi tu.
 
Kuna vitabu vyake vinaelezea maisha yake kuna kitabu cha Alex Hailey.

Sasa kuna Reinveting Malcom X.

Waandishi wameandika kupitia familia ya Malcom X.
vivyo hivyo na hii habari pamoja na operation yote ya kumshoot Osama ipo kwenye vitabu pia moja wapo ya kitabu kinaitwa No easy day...

mkuu RealMan aliweka attachment ya hicho kitabu na mimi nimekipata hapo waweza pitia kwenye mabandiko yake ukakiperuzi sio mbaya kuperuzi upate source nyingi zaidi...
 
Last edited by a moderator:
ku manipulate jamii kivipi? kwani we kwa mtazamo wako na fikra zako habari hizi kwamba za Osama ameuawa ni za kweli ama ni uongo?

au bwana kahtaan we ukweli upi unao ujua au habari unazo ziamini ni zipi?

Suala si habari zipi naziamini !
Hapa wote mimi na wewe, sisi wote tumeona kwenye tv!
Tofauti yetu ni kuwa mimi na Ritz tunayachuja maelezo ya hao jamaa kutokana na utata wa habari yenyewe!

Wewe umebeba nzima bila shaka hata kidogo na pia unaitetea kwa kusema ni ushahidi!
Na una haki ya kuleta mawazo yako!

Lkn kama nikikwambia wewe kam unahakika na habari hii basi toa pesa zako zoote na mimi nitoa zangu zoote tukatafute ukweli!

Na kama itaonekana kuwa si kweli pesa zako zitapotea zote.
Hapo nina imani UTAJIULIZA UHAKIKI WA HII HABARI MARA MBILIMBILI!

ni hilo tu!
 
Last edited by a moderator:
unaposema hakuna mwenye akili timamu akayapinga unamaanisha kwamba tunaoyapinga basi ni wendawazimu?

Hiyo umesema wewe ndugu Mkuu wa chuo.
Na wala wewe ujapinga maneno ya kuwa watu hurubuniwa sana na media!
Au unakataa kama hizi media zinachangia kurubuni jamii!
Na mifano hai nimekupa hapo nyuma??
 
Last edited by a moderator:
Hapa unaatupeleka kwa mambo ya ubishi na matamanio ya kina Lipumba na propaganda zake msikitini eti akiwa raisi atawafanya waislam wawe daraja la kwanza sijui nini.. Uwongo uwongo tu, maneno yasiyokuwa na facts wala mwelekeo ili mradi basi tu.

Sasa suala la huyo lipumba sijui waislamu limetokea wapi kwenye uzi huu!?

Hebu Mkuu wa chuo muulize huyu mheshimiwa!
We umeshawahi kuona mi naleta siasa humu??
Usitake kutuchafulia uzi hapa!
Huna la maana la kuongea basi kuwa mtazamaji tu!

Si lazima utuletee udini kila sehemu.

Watanzania lini mtabadilika na kuwa na busara za kujenga hoja bila kuleta udini??
 
Last edited by a moderator:
bwana kahtaan ngojea nikuulize swali wewe habari za Malcom X ulizipata wapi?

Its strange umemchagua Malcom X.

Maisha ya huyu bwana yamehifadhiwa kwenye nyanja mbalimbali na historia yake wanasomeshwa wanafunzi across america na nchi zingine.
Maisha yake yako wazi kwa kila mwenye kujua historia across the globe. !

Maisha ya huyu muheshimiwa sio tukio la mara moja. Na hakuna cha ajabu ktk historia yake kikakusababisha ukajiuliza maswali halafu ukakosa jibu.

Mungu ailaze roho ya ALHAJ MALIK SHABAZ also know as MALCOM X.
Mahali pepa kabisa! Peponi.
Amin.

Nadhani nimekujibu Mkuu wa chuo .
 
Last edited by a moderator:

Si kila sehemu ukitajwa uislam ama upagani basi ni suala la udini. Suala kubwa ni similarities za groundless za arguments za huyu anayekataa hoja yenye source kwa kubisha bila substitute namna zinavyofanana na stories za kina lipumba na wenzake ambazo coincidentally zilifanyika msikitini. Wala hapa hakuna udini wowote. Usikariri.
 
bwana kahtaan umesema mambo unachuja tupatie basi hata hivyo vilivyofanikiwa kupita kwenye chujio lako tuweze kuchambua na kujadili...

wakati tukisubiri kupata vilivyo pita kwenye chujio lako hebu chukua hicho...
 
Last edited by a moderator:
Ni sawa ni vyema ungesema utata wenyewe uko wapi? ungekuja na maswali yenye logic ya ku reasoning moja kwa moja tungeanzia hapo kuyachambua na kujibu tuweze kuona...
 
Last edited by a moderator:

Bwana Tabby usinifanye mimi nina upeo mchache wa kuona reality nyuma ya hoja!

We unasema huu sio udini!

Ktk WANASIASA WOOTE wanao ahidi uongo tz!

Wewe coincidence yako imuangukie Lipumba na Waislamu tu!

Huu mfano wako ni kama wale askari wa airport. Wanasimamisha waislamu kuwa search halafu ukiuliza wanakwambia hii ni "Random search" bahati mbaya imekuangukia wewe.!!

Kwa kukuhakikishia hili kwako ntakwambia kitu halafu usidhani mi mchawi!

Wewe bwana Tabby SIO MUISLAMU!

Sasa niambie kama nimepatia au fikra zangu zina ULAKIN.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo umesema wewe ndugu Mkuu wa chuo.
Na wala wewe ujapinga maneno ya kuwa watu hurubuniwa sana na media!
Au unakataa kama hizi media zinachangia kurubuni jamii!
Na mifano hai nimekupa hapo nyuma??
hadi serikali ya Pakistan ilithibitisha hilo, kuna vyombo kama Al Jazeera kama hutaki source za magharibi...

sasa kama unaposema ambao hawakubaliani na bwana Ritz hawana akili timamu moja kwa moja unamaanisha akili zao sio timamu...

we argue with reasons, not just ubishi tu...
 
Last edited by a moderator:
bwana kahtaan umesema mambo unachuja tupatie basi hata hivyo vilivyofanikiwa kupita kwenye chujio lako tuweze kuchambua na kujadili...

wakati tukisubiri kupata vilivyo pita kwenye chujio lako hebu chukua hicho...

Bwana Mkuu wa chuo
Naona muda unanitupa mkono huku niliko na ningependa tuendelee kulumbana manake ndo raha zenyewe za sisi wa Tz tulishiba uzalendo bila kuleta udini na ushabiki usio na maana.

Ntaongezea machache tu hapa:-

Hio habari ulioniwekea hapo juu imejaa kasoro chungu mzima! Ntaorodhesha machache tu hapa.

1. Je! Inaingilika akilini serikali isitishe msako wa mtu anaetafutwa na taifa kubwa kama America na wanajeshi wake wakiwa wana operate ndani ya pakistan?
Kama sio mbinu za kuudanganya ulimwengu!
Kwa kuona kwamba kama utasem iliendelea kumtafuta! Ukimwengu ungejiuliza vipi miaka yote hiyo hajapatikana!?!

2.Unaweza kumwambia msomi yyt kuwa ilo kuepuka kunaswa na satelite za wamarekani basi we kavae kofia za cowboy mchezo umekwisha!

Teh teh teh teh!
Hapo nimeshindwa kuvumilia, imebidi nicheke!

Kama ni hivyo basi wale taleban tungewaona na makofia sio vilemba!

Na mengine mengi tu lkn muda haunifanyii hisani.

Until next time my friend Mkuu wa chuo
Nakutakia siku njema ndani ya bongoland.
 
Last edited by a moderator:

No easy day cha Mark Owen, nimekipitia, angalia lakini story za kina Rambo zipo nyingi.
 
Last edited by a moderator:
hiyo namba 1 yamkini ndio maana walofanikisha hilo zoezi ni Wamarekani wenyewe bila ya hata intelligence ya Pakistan kujua kutokana na kikosi cha Seal team six wewe hapo huweki logic au hata ku reasoning?

hapo namba 2 mbona ni simple yamkini yeye ndio alikuwa anajidanganya akivaa cowboy basi satelite za wamarekani hazitamuona kumbe CIA wakawa wanafanya kazi zao...

All in all, hizo habari unaweza kuta labda ni maoni ya mwandishi au ya mtu lakini ukweli unabaki pale pale iliendeshwa operation ya kummaliza Osama na ikafanikiwa...

Uje ujaribu kupitia na mabandiko ya mkuu FUHRER unaweza ukajenga picha hapo zaidi...

okay my friend bwana kahtaan next time... uje na chujio uweze kuchuja na vilivyo chujwa tuvione...
 
Last edited by a moderator:
No easy day cha Mark Owen, nimekipitia, angalia lakini story za kina Rambo zipo nyingi.
Haijalishi stori za kina Rambo zipo nyingi, issue ni kwamba mission ilipigwa na ikafanikiwa...

wewe unadhani mission inge fail kungekuwa na story hizo unazosema kama za kina Rambo...

mission imefanikiwa ndio maana wanabidi waongeze na chumvi kama unavyosema...

kwa mfano sawa sawa na wewe umtandike mtu aliyekuwa anakusumbua unaweza ukaja kunisimulia ulifanikiwa kumpiga kwa pigo la Tai Chi kumbe hata hamna...

lakini bwana Ritz tukubali tu jamaa wako njema sana hakuna ubabaishaji...
 
Last edited by a moderator:
Bila kuwasahau kina willy gamba!
Na alibaba na wizi 40.
yeah ni kweli pamoja na yule jamaa aliyetoka Geita hadi Dar es salaam Magogoni kwa baiskeli mwaka 2010 kuja kumpa hongera mheshimiwa rais kwa kushinda urais...
 
yeah ni kweli pamoja na yule jamaa aliyetoka Geita hadi Dar es salaam Magogoni kwa baiskeli mwaka 2010 kuja kumpa hongera mheshimiwa rais kwa kushinda urais...
Mkuu wa chuo hapa umemaliza....jamaa zangu wanashindwa kukubali kwamba hakuna story telling iliyo 100% precise. Kuna distortions katika kila stage lakini bado haiondoi ukweli wa story yenyewe....
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wa chuo hapa umemaliza....jamaa zangu wanashindwa kukubali kwamba hakuna story telling iliyo 100% precise. Kuna distortions katika kila stage lakini bado haiondoi ukweli wa story yenyewe....
mkuu RealMan hawa jamaa bwana ni kwenda nao hivyo hivyo mdogo mdogo mwishowe anakimbia mmoja baada ya mwingine, sasa wenyewe wanabisha ukiwauliza ukweli mnaoujua ni upi wanabaki kuzunguka tu mara wanaanza kuhoji eti unaziamini kweli hizo source, ukiwaambia hebu leteni source zenu ambazo ni credible wanabaki kuzunguka tu

Lakini yote kwa yote story hiyo itabaki kuwa kweli kama unavyosema hata kama kuna distortions katika hypothesis Testing upande wa research haswa kwenye hesabu lazima kuwe na level of significance, vivyo hivyo na mambo kama haya...
 
Last edited by a moderator:

wadau mnaweza kupitia haka kakipande hapa chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…