Hii ni topic ndeefu ambayo hatomfadisha yyt humu!
Nadhani ili kutafuta hitimisho naomba nikuulize swali moja fupi tu Mkuu wa chuo !
Je! Unakubali kuwa mataifa Waongo wanaoongoza ktk Dunia hii ku manipulate jamii na walimwengu kwa ujumla kwa faida zao binafsi ni MATAIFA YA MAGHARIBI!?
Kama utanipa jibu la KWELI hapa,! nadhani huu mjadala utafikia ukingoni
Hapa unaatupeleka kwa mambo ya ubishi na matamanio ya kina Lipumba na propaganda zake msikitini eti akiwa raisi atawafanya waislam wawe daraja la kwanza sijui nini.. Uwongo uwongo tu, maneno yasiyokuwa na facts wala mwelekeo ili mradi basi tu.