Maisha ya sasa Mwanaume na Mwanamke ni maadui wakubwa, tusitegemee tena ndoa kudumu

Maisha ya sasa Mwanaume na Mwanamke ni maadui wakubwa, tusitegemee tena ndoa kudumu

Kuna rafiki yangu flani mdada ni msagaji, yaani yeye ni dem na anadem wake. Aiseeee wale watu wanapitia changamoto nyingi sana za magomvi, wivu uliopitiliza na hata imefikia yule rafikiyangu hawezi tena hata kufanya kazi ama biashara sababu dem wake hataki kumuona kabisa na dem mwingine hata wakiongea (kwamba anamla) na hataki kumuona na mwanaume hata wakisalimiana kwamba (analiwa).....😂 yaani hawa watu wanamaisha magumu sana kwakweli....🤣
Kwahiyo watu msiamini kwamba mapenzi ya jinsia moja ndio yanaamani, bakini njia kuu then itengenezeni furaha na amani kama tulivyo fanya mimi na mai waifu...😊
Mzeiya Ushimen fursa hiyo ya kupiga nao 3some
 
Kuna rafiki yangu flani mdada ni msagaji, yaani yeye ni dem na anadem wake. Aiseeee wale watu wanapitia changamoto nyingi sana za magomvi, wivu uliopitiliza na hata imefikia yule rafikiyangu hawezi tena hata kufanya kazi ama biashara sababu dem wake hataki kumuona kabisa na dem mwingine hata wakiongea (kwamba anamla) na hataki kumuona na mwanaume hata wakisalimiana kwamba (analiwa).....😂 yaani hawa watu wanamaisha magumu sana kwakweli....🤣
Kwahiyo watu msiamini kwamba mapenzi ya jinsia moja ndio yanaamani, bakini njia kuu then itengenezeni furaha na amani kama tulivyo fanya mimi na mai waifu...😊
Iyo ni Tanzania hapa hapa?
 
Kuna rafiki yangu flani mdada ni msagaji, yaani yeye ni dem na anadem wake. Aiseeee wale watu wanapitia changamoto nyingi sana za magomvi, wivu uliopitiliza na hata imefikia yule rafikiyangu hawezi tena hata kufanya kazi ama biashara sababu dem wake hataki kumuona kabisa na dem mwingine hata wakiongea (kwamba anamla) na hataki kumuona na mwanaume hata wakisalimiana kwamba (analiwa).....😂 yaani hawa watu wanamaisha magumu sana kwakweli....🤣
Kwahiyo watu msiamini kwamba mapenzi ya jinsia moja ndio yanaamani, bakini njia kuu then itengenezeni furaha na amani kama tulivyo fanya mimi na mai waifu...😊
hao wana wivu mno, kuna dem mmoja kisa wivu alimletea fujo sana dem wake alichoma moto nguo, redio, tv na vitu vingine alivyowahi mnunulia, mpaka nguo aliyokuwa kavaa siku hiyo aliamriwa aivue na ikapigwa moto 😂 hata huko mambo n yale yale jambo lolote linalogusa moyo ni hatari mno.
 
hao wana wivu mno, kuna dem mmoja kisa wivu alimletea fujo sana dem wake alichoma moto nguo, redio, tv na vitu vingine alivyowahi mnunulia, mpaka nguo aliyokuwa kavaa soku hiyo aliamriwa aivue na ikapigwa moto 😂 hata huko mambo n yale yale jambo lolote linalogusa moyo ni hatari mno.
Astaghifilullah!Peponi tutaenda kwa kupita njia za panya.🙏🤔
 
Back
Top Bottom