Maisha ya sasa Mwanaume na Mwanamke ni maadui wakubwa, tusitegemee tena ndoa kudumu

Maisha ya sasa Mwanaume na Mwanamke ni maadui wakubwa, tusitegemee tena ndoa kudumu

Mimi na mke wangu tulianza kua marafiki, na mabaya yangu pamoja na upuuzi wangu wote aliujua kabla hatujafunga ndoa.
Leo tunaendeleza urafiki wetu na tunaishi kwa furaha iliojaa amani tele, pamoja na kwamba kuna wakati tunatofautiana lakini tunakaa chini na kuzungumza kisha maisha yanaendelea.
Kuna utajiri mikononi mwako kaangalia mbali ataki kuiacha iyo fursa
 
Maisha yake kabla ya kuuwawa, na baadae aina ya kifo kilicho mpata
Nini tunajifunza kutokana na hilo! Ni kuacha kuchukulia watoto wetu kila wakati kuwa bado wadogo wakati wamekua. Ukichukulia uhalisia kuwa mtoto ni mtu mzima na ana uhuru wa kufanya afanyalo bila kibali chako, huwezi kupata Sonona. Shauri yake atajijua yeye na Mungu wake., hapo hutakuwa na guilty conciseness kwa mambo yake
 
Nini tunajifunza kutokana na hilo! Ni kuacha kuchukulia watoto wetu kila wakati kuwa bado wadogo wakati wamekua. Ukichukulia uhalisia kuwa mtoto ni mtu mzima na ana uhuru wa kufanya afanyalo bila kibali chako, huwezi kupata Sonona. Shauri yake atajijua yeye na Mungu wake., hapo hutakuwa na guilty conciseness kwa mambo yake
💯
 
Back
Top Bottom