Utakuwa na mihela tuuKwanza hata mimi hua namshangaa sana kwamba ilikuaje akakubali kuolewa na mwanaume kama mimi mwenye watoto 5 wa mamaz tofauti...🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa na mihela tuuKwanza hata mimi hua namshangaa sana kwamba ilikuaje akakubali kuolewa na mwanaume kama mimi mwenye watoto 5 wa mamaz tofauti...🤔
Tunajikuna ukutaniKwani nyie mnaoishi wenyewe bila wenza, mgongo ukiwasha huwa mnafanyaje? [emoji848]
Umesahau hiyo rafiki yako alifarikiKuna rafiki yangu flani mdada ni msagaji, yaani yeye ni dem na anadem wake. Aiseeee wale watu wanapitia changamoto nyingi sana za magomvi, wivu uliopitiliza na hata imefikia yule rafikiyangu hawezi tena hata kufanya kazi ama biashara sababu dem wake hataki kumuona kabisa na dem mwingine hata wakiongea (kwamba anamla) na hataki kumuona na mwanaume hata wakisalimiana kwamba (analiwa).....😂 yaani hawa watu wanamaisha magumu sana kwakweli....🤣
Kwahiyo watu msiamini kwamba mapenzi ya jinsia moja ndio yanaamani, bakini njia kuu then itengenezeni furaha na amani kama tulivyo fanya mimi na mai waifu...😊
Mwaka wa 67 huu na umaskini wangu nadunda na Ndoa.
Acheni uhuni wajukuu zangu.
Style ya kipunda uwongo?Tunajikuna ukutani
Bange inasingiziwa sana hadi roho inaniuma mno...😔TAtizo la wanaume wengi hili..mbaafu
Kweli kiongozi, kuna ushindani mkubwa sana, ushindani huu utamaliza watuMe naamini matatizo ya ndoa yalikuepo na yapo , kinachochangia kwa sasa kuonekana migogoro inaendelea ni mitandao ya kijamii kitu kidogo kinateka attention balaa Pia vijana wa sasa ni nyoro nyoro , mtu akiguswa kidogo anajiliza vibaya mno !! Wanaita kutendwa 😂😂
Zamani mwanamke anajua kabisa baba akitimiza majukumu yake nyumbani kila kitu kimekaa mkao scandle nyingine za baba anajifanya hazioni ! Sijui michepuko anaishia tu kuhisi hisi !! Mzee nae ikitokea kamfuma mama wanafukuzana kiroho sasa wanaachana inakua aibu lakini haikamati attention kama sasa "kuchapiwa ilikua siri ya ndani"
Siku hizi vidada vinakaba mpaka penati hata likipita tako 64Gb ukigeuka ni kosa ! Madogo wa kiume wako bize kutaka kufit kwenye demand za msichana ! Wanaanza kutaka kumridhisha kila kitu atakachopenda ila apate attention ya mrembo !! Anayepaswa kutafuta attention kwa nguvu kwenye mahusiano ni dada , Mwanaume wewe unaitengeneza
Baada ya hapo ni maelewano sasa mwanaume na mwanamke wote wanatafuta attention. Lazima mfarakane
"Mwanaume tengeneza kukubalika , Mwanamke yeye atafute kukubalika"
Yes Tanganyika mkuu, tena juzi nimeongeanae akaniambia yupo safarini kuelekea MwanzaUyo ni Tanzania hapa hapa?
Hapana mkuu, huku ibologelo na mpigamiti pesa hatuioni shambani, labda huko daslam...🤔Utakuwa na mihela tuu
Usiishi kwa kukariri mkuu, hao watu ni wengi sana niaminiUmesahau hiyo rafiki yako alifariki
Oh nilidhani ni Milembe CC Dr. MariposaUsiishi kwa kukariri mkuu, hao watu ni wengi sana niamini
Milembe alimuachia babayake sonona ya dunia, kuna siku nilikua naongea na yule mzee kwakweli aliyo yasema yanaumiza sana kama mzazi nilijiskia vibaya sana kwakweli..😟Oh nilidhani ni Milembe CC Dr. Mariposa
Mkuu kumbe wewe nilizee [emoji22]Kwanza hata mimi hua namshangaa sana kwamba ilikuaje akakubali kuolewa na mwanaume kama mimi mwenye watoto 5 wa mamaz tofauti...[emoji848]