Maisha ya sasa Mwanaume na Mwanamke ni maadui wakubwa, tusitegemee tena ndoa kudumu

Mzeiya Ushimen fursa hiyo ya kupiga nao 3some
 
Iyo ni Tanzania hapa hapa?
 
hao wana wivu mno, kuna dem mmoja kisa wivu alimletea fujo sana dem wake alichoma moto nguo, redio, tv na vitu vingine alivyowahi mnunulia, mpaka nguo aliyokuwa kavaa siku hiyo aliamriwa aivue na ikapigwa moto 😂 hata huko mambo n yale yale jambo lolote linalogusa moyo ni hatari mno.
 
Astaghifilullah!Peponi tutaenda kwa kupita njia za panya.🙏🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…