Kuna utajiri mikononi mwako kaangalia mbali ataki kuiacha iyo fursaMimi na mke wangu tulianza kua marafiki, na mabaya yangu pamoja na upuuzi wangu wote aliujua kabla hatujafunga ndoa.
Leo tunaendeleza urafiki wetu na tunaishi kwa furaha iliojaa amani tele, pamoja na kwamba kuna wakati tunatofautiana lakini tunakaa chini na kuzungumza kisha maisha yanaendelea.
Kwanza uwe na adabu madame ticha, mimi ni mzee na sio lizee....π€¨Mkuu kumbe wewe nilizee [emoji22]
Hapana mkuu, wanawake wengi wanao jitambua wanapenda wanaume ambao ni smart kichwani na wenye vision kwenye fute..πKuna utajiri mikononi mwako kaangalia mbali ataki kuiacha iyo fursa
Sonona juu ya kifo chake au maisha ya Milembe kabla ya kuuliwa?Milembe alimuachia babayake sonona ya dunia, kuna siku nilikua naongea na yule mzee kwakweli aliyo yasema yanaumiza sana kama mzazi nilijiskia vibaya sana kwakweli..π
Maisha yake kabla ya kuuwawa, na baadae aina ya kifo kilicho mpataSonona juu ya kifo chake au maisha ya Milembe kabla ya kuuliwa?
Nini tunajifunza kutokana na hilo! Ni kuacha kuchukulia watoto wetu kila wakati kuwa bado wadogo wakati wamekua. Ukichukulia uhalisia kuwa mtoto ni mtu mzima na ana uhuru wa kufanya afanyalo bila kibali chako, huwezi kupata Sonona. Shauri yake atajijua yeye na Mungu wake., hapo hutakuwa na guilty conciseness kwa mambo yakeMaisha yake kabla ya kuuwawa, na baadae aina ya kifo kilicho mpata
π―Nini tunajifunza kutokana na hilo! Ni kuacha kuchukulia watoto wetu kila wakati kuwa bado wadogo wakati wamekua. Ukichukulia uhalisia kuwa mtoto ni mtu mzima na ana uhuru wa kufanya afanyalo bila kibali chako, huwezi kupata Sonona. Shauri yake atajijua yeye na Mungu wake., hapo hutakuwa na guilty conciseness kwa mambo yake
Hivyo wala havina shida endelea kuvuta msuba πkuvuta bange na kupombeka tu...π
Ukutani kama beberu πWatakuwa wanajisogeza kwenye chaga na kujisugua(kujikunisha)kama mifugo.π
Roho inaniumaga sana hili jani linapo singiziwa...πHivyo wala havina shida endelea kuvuta msuba π
Nipe namba yake ni mcheki, nikutane Cask PubYes Tanganyika mkuu, tena juzi nimeongeanae akaniambia yupo safarini kuelekea Mwanza
Ngoja nimeambie akucheck PM akupeleke The Cask ukachambe koo...πNipe namba yake ni mcheki, nikutane Cask Pub
Eti jamani π€ kwanini mmkuu?Kama siyo nyege nisingeoa
ππEti jamani π€ kwanini mmkuu?