Maisha ya sasa Mwanaume na Mwanamke ni maadui wakubwa, tusitegemee tena ndoa kudumu

Ukweli mchungu sana huu thou ni jinsi tunavyoanza mahusiano kwa kujitia innocent kumbe mwamba alikuwa mlevi wa mkoa na binti alikuwa mali ya Umma. Mahusiano yakianza na urafiki mtaelewana tu ila siyo kwa standards za kipuuzi kuficha upumbavu uliowahi kuwa nao na ulionao.
 
Mwingine anajua unamtania tu badoπŸ˜‚
 
Ndoa ipo sana kama hamueshimiani na mnapendana aisee maisha ni mazuri tatizo nyie mnaoa matako, uzuri sio heshima, upendo , unaact wewe unamuweza slay queen kumbe humuwezi unajikomba komba kifala fala halafu kwanini kama hupendwi usisalitie usiachwe . Tafuta anayekupenda ndio mtaishi vyema
 
Tunaangalia kalio na sio tabia sioπŸ˜€
 
Hii Hatua nyingine
 
Hongera mkuu
 
Hawa wanakulanaje? Midoli na midole ama?
 
Hawa wanakulanaje? Midoli ama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…