Mwingine anajua unamtania tu badoπUkweli mchungu sana huu thou ni jinsi tunavyoanza mahusiano kwa kujitia innocent kumbe mwamba alikuwa mlevi wa mkoa na binti alikuwa mali ya Umma. Mahusiano yakianza na urafiki mtaelewana tu ila siyo kwa standards za kipuuzi kuficha upumbavu uliowahi kuwa nao na ulionao.
Huyo sasa bado hajafikia hatua ya maamuzi ya kuishi na mwenza. Bro mahusiano yakianza kwa kuwa na urafiki na wote mkawa waelewa mkaelewana hapo mchawi kifo tu.Mwingine anajua unamtania tu badoπ
Hivi kwer ngoja nione mwisho wa hii moveHuyo sasa bado hajafikia hatua ya maamuzi ya kuishi na mwenza. Bro mahusiano yakianza kwa kuwa na urafiki na wote mkawa waelewa mkaelewana hapo mchawi kifo tu.
Nani akuzalie na hauoni vizuri hao watoto wa nje nenda dnaKwanza hata mimi hua namshangaa sana kwamba ilikuaje akakubali kuolewa na mwanaume kama mimi mwenye watoto 5 wa mamaz tofauti...π€
Ndoa ipo sana kama hamueshimiani na mnapendana aisee maisha ni mazuri tatizo nyie mnaoa matako, uzuri sio heshima, upendo , unaact wewe unamuweza slay queen kumbe humuwezi unajikomba komba kifala fala halafu kwanini kama hupendwi usisalitie usiachwe . Tafuta anayekupenda ndio mtaishi vyemaMaisha ya sasa mwanaume na mwanamke ni maadui wakubwa sana tusitegemee tena mahusiano ya kimapenzi au ndoa kudumu.
Uhalisia ni kuwa maisha ya sasa yamejaa uadui mkubwa sana kati ya mwanamke na mwanaume ndio maana mahusiano hayastawi tena. Wapenzi wataanza mahusiano lakini baada ya muda mchache watatengana kwasababu tofauti lakini sababu zote zitakazotelewa na hao wapenzi kiini chake ni uadui ulioko katika ulimwengu wa sasa kati ya mwanaume na mwanamke.
Mwanamke hana tena upendo kwa mpenzi wake anamuona mpenzi wake kama gonjwa hali kadhalika kwa wanaume.
Hakuna tena uaminifu kati ya mwanamme na mwanamke matokeo yake ni ubaya kwa ubaya tangu mwanzo wa mahusiano mpaka kuvunjika.
Wanawake wa sasa katika maongezi yao yote yamelenga kumzungumzia mwanaume kama kiumbe mbaya duniani hali kadhalika kwa wanaume ndivyo hivyo.
Sababu ya ongezeko la mapenzi ya jinsia moja kama tunavyowaona watu mfano mama wa Jay Z, ni watu kujaribu kujua je mapenzi ya jinsia moja pengine yana unafuu kuliko haya ya jinsia tofauti?
Hii ndiyo sababu kubwa ya ongezeko la mapenzi ya jinsia moja ingawa athari zake ni kubwa zaidi kwasababu hakuna uzao kati yao.
Mahusiano kati ya mwanamke na mwanaume yatakuwa mazuri endapo jinsia zote mbili zitajirekebisha na tabia mbaya ikiwemo usaliti ambazo zinasababisha utengano wa wapenzi kila kuchwao.
Upendo umepotea kabisa kati ya Mwanaume na Mwanamke madhara yake ni kuwa mahusiano ama ndoa hazitadumu tena.
Tunaangalia kalio na sio tabia sioπNdoa ipo sana kama hamueshimiani na mnapendana aisee maisha ni mazuri tatizo nyie mnaoa matako, uzuri sio heshima, upendo , unaact wewe unamuweza slay queen kumbe humuwezi unajikomba komba kifala fala halafu kwanini kama hupendwi usisalitie usiachwe . Tafuta anayekupenda ndio mtaishi vyema
ππππNani akuzalie na hauoni vizuri hao watoto wa nje nenda dna
Waifu amesha niacha, ebu njoo PM nikupandishe cheo kisim changu kidogo dogo....πNani akuzalie na hauoni vizuri hao watoto wa nje nenda dna
Hii Hatua nyingineNdoa ipo sana kama hamueshimiani na mnapendana aisee maisha ni mazuri tatizo nyie mnaoa matako, uzuri sio heshima, upendo , unaact wewe unamuweza slay queen kumbe humuwezi unajikomba komba kifala fala halafu kwanini kama hupendwi usisalitie usiachwe . Tafuta anayekupenda ndio mtaishi vyema
Uyo tn π€£Waifu amesha niacha, ebu njoo PM nikupandishe cheo kisim changu kidogo dogo....π
Hongera mkuuMimi na mke wangu tulianza kua marafiki, na mabaya yangu pamoja na upuuzi wangu wote aliujua kabla hatujafunga ndoa.
Leo tunaendeleza urafiki wetu na tunaishi kwa furaha iliojaa amani tele, pamoja na kwamba kuna wakati tunatofautiana lakini tunakaa chini na kuzungumza kisha maisha yanaendelea.
Umesema kitu Cha maana kweli mkuu,Malezi sio jambo rahisi mkuu.....[emoji4]
Yaani ukimpata mwanamke anae kusaidia kulea wanao with one heart, hakika unapaswa kumshukuru Mungu
@dronedrakeKATAA NDOA
Unachekesha wewe nani hajui yule m ni mjamzitoWaifu amesha niacha, ebu njoo PM nikupandishe cheo kisim changu kidogo dogo....π
Hawa wanakulanaje? Midoli na midole ama?Kuna rafiki yangu flani mdada ni msagaji, yaani yeye ni dem na anadem wake. Aiseeee wale watu wanapitia changamoto nyingi sana za magomvi, wivu uliopitiliza na hata imefikia yule rafikiyangu hawezi tena hata kufanya kazi ama biashara sababu dem wake hataki kumuona kabisa na dem mwingine hata wakiongea (kwamba anamla) na hataki kumuona na mwanaume hata wakisalimiana kwamba (analiwa).....π yaani hawa watu wanamaisha magumu sana kwakweli....π€£
Kwahiyo watu msiamini kwamba mapenzi ya jinsia moja ndio yanaamani, bakini njia kuu then itengenezeni furaha na amani kama tulivyo fanya mimi na mai waifu...π
Hawa wanakulanaje? Midoli amaKuna rafiki yangu flani mdada ni msagaji, yaani yeye ni dem na anadem wake. Aiseeee wale watu wanapitia changamoto nyingi sana za magomvi, wivu uliopitiliza na hata imefikia yule rafikiyangu hawezi tena hata kufanya kazi ama biashara sababu dem wake hataki kumuona kabisa na dem mwingine hata wakiongea (kwamba anamla) na hataki kumuona na mwanaume hata wakisalimiana kwamba (analiwa).....π yaani hawa watu wanamaisha magumu sana kwakweli....π€£
Kwahiyo watu msiamini kwamba mapenzi ya jinsia moja ndio yanaamani, bakini njia kuu then itengenezeni furaha na amani kama tulivyo fanya mimi na mai waifu...π