mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 704
- 2,435
Sawa mod mkuu[emoji23][emoji23] ukipigwa ban nistue utaona kama hujafunguliwa
Ndo hvo, pale sio pa kumwaga hela, na unatumia matobo yote matatu. Kule wanawashangaa wenzao wa sinza wanao-quote hadi lakiDah na nasikiaga ni wazur kweli hila hawatki show off ww mnunulie chips na miguu ya kuku bas
Raha ipi sabuni ya kufulia mnaogea ninyiUswazi raha sana
Karibu
Uswazi kwetu!
Supu za mimba za ng'ombe!
Sembe la hamira mboga pandu na nyanya masalo, ukichoma ngulu unalaaniwa mtaa!
mzima
mlango wa chooni pazia la kipande cha junia au kiroba! Kona ya mti nyeusi kwa kukokona! Ukiingia utakutana na makimba mengine kama koni, makimba mengine gololi zilizo changanyika na damu na makamasi.....
Ukisha yaruka makimba ili unye salama urojo wa mavi usikurukie unafunika na gazeti....
Uswazi kwetu....!
vijana wakishua staili zao zanywele zipoje mkuu?shukrani👏kipimo cha uswazi ni kelele , pilikapilika ya watu mara huyu kapita huku mara yule kule, wanawake wanavaa madelaa, duka flani linauzwa sigara hadi panadol, nyumba hazijapangiliwa , vijana na syltle zao za nywele, unamka asubuhi unarudi jion vijana wapo tu wanakula story za mafanikio na watu waliofanikiwa wanazungumzwa sana huko na hatari kuliko zote ni videmu vya huko ukipiga mtupo huru tu kesho unamka na UTI, ila pamoja na shida zote hizo uswaz ni sehemu ya watu wenye furaha na wengi wana vipaji vya asil
kwani wewe mkuu dar unaishi sehem gani?[emoji122]
wewe mleta uziYupi?
wewe mleta uzi
Raha ipi sabuni ya kufulia mnaogea ninyi
Aiseh mazoea ya ajabu sanaHabari za mchana,
Maisha ya uswahili sio poa poa kama hujayazoea unaweza pata shida sana kuna.
Kuna kipindi nilienda kwa Azizi Ally kumsalimia mtu huko sasa kufika pale tunapiga story gafla kaingia mtu hila hodi anatoa taarifa nachukua mboga kule nini ugali kidogo nilishangaa ase akaona pembeni kuna matunda akabeba.
Ikabidi nimuulize mwenyeji wangu hivi huku ndio maisha gani haya mnaishi mtu anaingia kama kwake anachukua vitu kiholela holela why akawa anacheka.
Siulizi kwa ubaya hila nataka kujua hizo tabia za kienyeji zinatokaga wapi?
bro uswazi [emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii new kwa kweli
Aiseh mazoea ya ajabu sana
bro uswazi [emoji38][emoji38]
Kisima cha maji kipo karibu na choo hakikauki maji!
mpira wa soksi watoto wakicheza ukiingia sebuleni kwa shoot utasikia gooo...
Nawashangaa mtu akishinda anaacha raha za uswazi anahamia masaki, mikocheni...[emoji56][emoji38][emoji38]
Konyagi pori ukisikia mama muuza lete kamba ujue amesha jinyea!