Maisha ya Watanzania yanachezewa na CCM, wananachi wanahangaika huku wanasiasa wa CCM wakiwaona wananchi ni wajinga

We chakubanga tutawanyoosha washamba nyie
Mlikula maisha sasa ni zamu yetu tulia tulambe asali sisi
 
Mkuu sio hivyo
 
Asante kwa kuvuka hatua ya kuijua dawa.
Dawa kadhaa zimejaribiwa na kushindwa kutibu.
Hizi ni
Katiba mpya kwa majadiliano.
Upigaji kura na uchaguzi.
Maandamano.
Mashinikizo ya mataifa ya nje.
....。sasa tujadiri dawa zilizobaki.
Binafs naamin hili genge litadhibitiwa kulingana na tabia yake......NGUVU!
Mwenye dawa tofaut na bla bla aiseme!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…