Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WA HAPA SI WAMEONGEZEWA KUTOKA 5,000 KWA SIKU HADI 10,000 AU WEWE HUKUSIKIA? maana yake ni kusema kuwa hata hapa wanapewaKule wasio na KAZI kabisa Serikali inawapa Pesa ya kujikimu wasife njaa.
Huku familia maskini kupata 40,000 ya TASAF wanaenda kubebeshwa matofali ktk miradi ya Serikali, Hadi wazee.
Yanayofanyika Kwa wanufaika wa TASAF Awamu hii, haikuwahi Kutokea.
Kweli Anaupiga mwigi!!!!
Hao ni wanafunzi, wanakopeshwa na watalipa.WA HAPA SI WAMEONGEZEWA KUTOKA 5,000 KWA SIKLU HADI 10,000 AU WEWE HUKUSIKIA? Hata hapa wanapewa
Hiyo heshima wana kula kwa jasho lao kama Mungu alivyoagizaHao ni wanafunzi, wanakopeshwa na watalipa.
Ongelea Wanufaika wa TASAF wanaofanyishwa KAZI ngumu Ili wapewe 40,000 Kwa mwezi.
Hapa kwetu wapo maelfu wanaolala njaa Kwa kukosa chakula, Serikali haijali.
Hata wazee wa miaka 75Hiyo heshima wana kula kwa jasho lao kama Mungu alivyoagiza
Fanya hivi njoo uishi kwangu alafu kusiwe na katiba ya kukuhusu wewe hapa kwangu ishi kama mtoto hapa kwangu
Kwa hiyo kazi mliyobaki nayo Sukuma Gang ni kumsema Lissu tu. Kweli nyie wapumbavu,Msoga Gang mumewashindwa hasira zote kwa Lissu.
Kwani umeona nyumba ya tope hapo? Mbona ni sawa na mjini kwa hapa bongo kabisa....hayo ni baadhi ya maeneo tu wameruhusiwa ila kuna sehemu
🤦♂️huwezi wakuta ombaomba na Mauchafu kama hayo.
Siwezi ndiyo maana namshangaa sana Lissu na wanzake wanavyofanya mambo kijinga halafu wanajiona wana akili. Wakiataka katiba mpya washike dola kwanza bila hiyo hizo ni porojo tuFanya hivi njoo uishi kwangu alafu kusiwe na katiba ya kukuhusu wewe hapa kwangu ishi kama mtoto hapa kwangu
Basi ni umaskini wa fikra na namna sahihi ya utekelezaji wa mipango ndio unatesa watanzania.Tanzania hakuna maskini- watanzania wanakuawaje maskini wakati kila mtu walau ana ardhi 70 kwa 70
Unamaanisha MDOMO na KICHWA chako havina mawasiliano?Sijui kama ulifanya hivi
![]()