Ndoa zinafungiwa mbinguni, hapa duniani tunakamlisha tuu.
Unaweza ukapambana sana kumpata flan lakin ukaja kuangukia kwingine, trust me that happens for a good reasons (divine purpose).
Tunayoyapenda vijana mengi ni illusion, siyo vitu halisia, lakini tunakuwa kama tumefungwa macho (mind) kwenye vitu flan ambavyo ikipita miaka kadhaa tu unakuja kuona ungepoteza pakubwa/kujisababishia shida.
Back to your questions: utachagua wewe kufurahia au kuhuzunika, wapo waliofurahi wapo waliohuzinika Tofauti yao ni jinsi walivyolikubali na kulipokea hilo. Kama unaingia hujakubali manake unakuwa huna upendo ndani, vurugu kila kukicha automatically unamfanya the other party naye anakuwa inferior mwishowe mnaharibu. Lakini ukakubali ukapokea zawadi uliyoipata kwa mikono miwili ukaipenda na kuiheshimu, ukaiongoza/focusing on building better future together, unamfanya na mwenzako akuheshimu sana, akukubali sana, AND YOU WILL LIVE HAPPILY FOREVER!