Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunatumia usafiri wa vyombo vya moto kwa njia zote(nchi kavu, majini na Angani),huko kote tunajua kuna faida na hasara, hasara mojawapo kupoteza maisha, na hatuachi kuzitumia hizo njia abadani katika maisha yetu.Haha..
I won't put blames on you I swear..!
Hatimaye nimekuelewa vyema..!Tunatumia usafiri wa vyombo vya moto kwa njia zote(nchi kavu, majini na Angani),huko kote tunajua kuna faida na hasara, hasara mojawapo kupoteza maisha, na hatuachi kuzitumia hizo njia abadani katika maisha yetu.
Chamani ni hivyo hivyo huwezi kupakimbia, wazazi wetu hawakukimbia hadi wakawa sababu ya sisi kuziona smartphone leo hii. Na wewe usiwanyime wanao kuja kuziona hizi smart phone, tena zitakuwa zishaboreshwa zaidi.
Karibu sana Chamani!Hatimaye nimekuelewa vyema..!
Nitaufanyia kazi ushauri wako na nitakuja chukua mwingine ikibidi..!
Me nafurahia usajili mpya unaokuja kwa Club yanguHaha..!.
taaaqataqa,
Unafurahia anguko la mwenzio..?
Amen. Mimi sipo katika lile kundi la "usioe usioe", i believe in marriage. But mtazamo wangu ni tofauti na ule wa "dream girl/girl". Thats why nilisepa nilivogundua unatafuta kujua how wale wanaohisi hawajapata wenzi wa "dream" zaoHaha..!
We're going to make this work, shauri yako.!
Binafsi sijaoa ila ninaweza kujibu kutokana na experience niliyoipata kwa wanandoa ikiwemo Wazazi wangu Mama yangu hakuwahi kupenda mzee wangu kabisa yeye alikuwa ana aina yake ya Mwanaume kajijengea kwenye akili yake lakini the end of the day alikubali kuolewa na mzee ingawa still alikuwa bado ajampenda lakini hakuwa na jinsi ilibidi tu akubali kutokana na nia kubwa aliyoonesha mzee wangu kwake baada ya kupita kipindi fulani kwenye ndoa Mama alijikuta anaanza kumpenda mzee na hadi sasa Wana miaka 20 ya ndoa yenye upendo na Amani. Kupitia ndoa yao kuna mambo nimeyachukua ambayo naona yatanifaa nami nikija kuoa niyaapplyHi guys,
Hope mmekuwa na mapumziko poa,
Nilikuwa najiuliza hili swali, hasa kwa walioko kwenye Ndoa tayari,
Je, kwako imekuwa baraka ama tofauti pale ambapo mume/mke unayeishi siye yule hasa ulikuwa unamuota every now and then.?
this is serious, natamani kweli kujifunza, kuna majuto yoyote?? Kuna utofauti mkubwa sana?? Mko na furaha..?? Matarajio yako yamefikiwa..? Are you thanking God for that..?? And why..??
Please, Mr. Liverpool VPN and the Co, this ain't your cup of tea..!
Niko nimekaa pale nasubiri miujiza na shuhuda zenu mbalimbali,
Maisha haya inabidi ujifunze kupenda huu ni uwezo ambao wanawake wamepewa na Mungu, na hii ni kwa sababu mwanamke anatongozwa tofauti na mwanaumeHivyo umejifunza kupenda na you're enjoying.?
Ama umesemea wengine.?
Ahsante,Amen. Mimi sipo katika lile kundi la "usioe usioe", i believe in marriage. But mtazamo wangu ni tofauti na ule wa "dream girl/girl". Thats why nilisepa nilivogundua unatafuta kujua how wale wanaohisi hawajapata wenzi wa "dream" zao
Yule ana mbwela mbwela shauri yake atafika stage ya kutaka anaye pumua🤣🤣🤣🤣Haha..
Umeshampata wa financial services lakini.?
Hapana kifuatacho ni kumsaid na salhaHaha..!
Unapata wanaitana wewe lakini bado wanapendana.!