Mtazamo wangu unaendana na law of attraction. Naamini kuwa kila mtu hua kuna aina ya mtu anayotaka kuspend lifetime nae. Lakini pia wengi wanakosea hapa kwa kuweka mtu specific kbsa, lets say mtu anasema kbsa mimi namtaka
Carleen ndo awe mwenzi wangu. Nothing is free hii dunia. So, kwangu mimi naamini kua you have to put up the qualities zooote unazotaka kwa mwenzi wako, then hapo ndo kazi inapoanzia. Kazi yenyewe ni moja, kuhakikisha kua mtu mwenye quality hizo zote akubali kuwa na mtu kama wewe. So hapo u have to work kuhakikisha wewe pia una qualities hizo zote, na hapo ndo unaeza kukutana na mtu mnaeendana. Na pia hata changamoto mkikutana nazo ni rahisi kuzitatua