Maisha yako ya Ndoa yamekuwaje baada ya kutofanikiwa kuoa/kuolewa na 'your dream man/woman?

Ahsante kwa observation nzuri Watu8 naendelea kujifunza..!!
 
Barikiwa na Bwana..!
Umenena vyema.!
 
Wanawake ambao nawaona ndo dream women wangu, wote nikiwatongoza wananikataa..

Nikitongoza nakubaliwa tu na wadada ambao siwapendi na nawachukulia poa.. Carleen
Na inaku disappoint sivyo.??
Umewaza hali ikiendelea hivyo ni nini utafanya.?
 
Nimependa huu mrejesho..!
And be honest moyo hauna majuto kwa lolote lile..?
 
Hiyo MBINGU ipo mkuu au ulikaririshwa tu?

Be serious
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…