Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha kweli yamejaa huzuni, nothing is permanent, nothing last foreverKwanini ulie ndugu?
Correct!Maisha kweli yamejaa huzuni, nothing is permanent, nothing last forever
Kila mtu ana namna ya kujiletea furaha, haiwezi kufanana mtu na mtu.Habari za Wikiendi familia? Ni kitu gani huweza kuleta furaha katika Maisha? Mali? Mke? Watoto? Marafiki? Ibada? Au ajira? Mwenzenu siku za karibuni nakuwa mwenye huzuni sana. Sijioni kuwa mwenye furaha japo mambo mengi niliyoyatamani kuyafikia angalau kwa kiasi namshukuru Mungu.
Wakati mwingine nafikiria pengine nioe lakini akili inagombana na moyo. Ni nini hasa huleta furaha katika Maisha?
Ibada mkuu inaachilia amani ya moyoHabari za Wikiendi familia? Ni kitu gani huweza kuleta furaha katika Maisha? Mali? Mke? Watoto? Marafiki? Ibada? Au ajira? Mwenzenu siku za karibuni nakuwa mwenye huzuni sana. Sijioni kuwa mwenye furaha japo mambo mengi niliyoyatamani kuyafikia angalau kwa kiasi namshukuru Mungu.
Wakati mwingine nafikiria pengine nioe lakini akili inagombana na moyo. Ni nini hasa huleta furaha katika Maisha?
Labda nitajaribu ibada maana tangu nimalize elimu ya msingi sikumbuki ibada kikamilifuIbada mkuu inaachilia amani ya moyo
tatizo hiloLabda nitajaribu ibada maana tangu nimalize elimu ya msingi sikumbuki ibada kikamilifu
Ni kweli lakini kwa kiasi fulani itapunguza msongo wa mawazo kuliko kukaa single alafu auna hata wa kukuliwaza unaweza ukafa kiholoNi kweli, lakini bado hatokuwa na amani kwa asilimia zote. Kuwa na mke na watoto kuna jambo la kuwafikiria wao pia, vipi kama mtoto/watoto wakapatwa jambo fulani au mke. Bado ni mlolongo aisee
😀 kufa kihoro!Ni kweli lakini kwa kiasi fulani itapunguza msongo wa mawazo kuliko kukaa single alafu auna hata wa kukuliwaza unaweza ukafa kiholo
You are right.. ukishafika malengo unagundua sio kiLe unachokitamani ni sehemu ya furaha. Unakizoea na unaona kawaida.Nilichogundua maisha huwa matamu pale unapopambana ili utimize jambo Fulani ila ukishapata Kila kitu baada ya muda huwa hamna furaha kwani Kila unachikitaka unakifanya bila jasho na akili hivyo halikupi attention uliokusudia, hii changamoto hata Mimi napitia
Hii hali hata mimi inanitesa sanaHabari za wikiendi familia? Ni kitu gani huweza kuleta furaha katika Maisha? Mali? Mke? Watoto? Marafiki? Ibada? Au ajira?
Mwenzenu siku za karibuni nakuwa mwenye huzuni sana. Sijioni kuwa mwenye furaha japo mambo mengi niliyoyatamani kuyafikia angalau kwa kiasi namshukuru Mungu.
Wakati mwingine nafikiria pengine nioe lakini akili inagombana na moyo. Ni nini hasa huleta furaha katika Maisha?
Tafuta gym ya karibu,anza kufanyq mazoezi..mawazo huja kama hujachokaHabari za wikiendi familia? Ni kitu gani huweza kuleta furaha katika Maisha? Mali? Mke? Watoto? Marafiki? Ibada? Au ajira?
Mwenzenu siku za karibuni nakuwa mwenye huzuni sana. Sijioni kuwa mwenye furaha japo mambo mengi niliyoyatamani kuyafikia angalau kwa kiasi namshukuru Mungu.
Wakati mwingine nafikiria pengine nioe lakini akili inagombana na moyo. Ni nini hasa huleta furaha katika Maisha?
Hatari sana. Unatumia njia gani ya kupambana na hii hali mkuuHii hali hata mimi inanitesa sana
😂😂Mimi nadhani ni pesa mana hata ukiboreka unakwea pipa huyooo maldives
Awe na pesa hayo mengine yatakuja automatic.Furaha ni wewe mwenyewe, furaha unaitengeneza mwenyewe, hailetwi na mke wala mme wala rafiki.
Jitengenezee furaha yako, furaha yako unaitengenezaje?? Kuwa na pesa? Basi zitafute sana....furaha yako ni kuzagamua?? Nenda kafanye. Furaha yako ni nini??
Ni ushauri mzuri. Nimeridhika kiasi hapa nilipo bosi. Kutofautiana na watu ni jambo la kawaida maana changamoto ndiyo maisha yenyewe. Ila huwa sibebi kabisa Moyoni mambo ya namna hiyo. Najitahidi kujitafuta hasa kwamba nipate furaha kwa namna gani.Hakuna kitakachokuletea furaha isipokuwa ni wewe mwenyewe.Ridhika na Hali uliyonayo,samehe wengine,jisamehe na wewe mwenyewe binafsi,Usiwabebe watu moyoni kwako Kwa sababu ya mambo waliyokutendea,jifunze kuachilia mambo. chunguza Matendo Yako kama yanaridhisha. mwisho acha kujisumbua na huu ulimwengu,wote tunapita,usiangaishwe na jambo lolote Cha msingi ni uzima.