Maisha yamejaa huzuni kuu, nini kinaleta furaha maishani?

Maisha yamejaa huzuni kuu, nini kinaleta furaha maishani?

Habari za wikiendi familia? Ni kitu gani huweza kuleta furaha katika Maisha? Mali? Mke? Watoto? Marafiki? Ibada? Au ajira?

Mwenzenu siku za karibuni nakuwa mwenye huzuni sana. Sijioni kuwa mwenye furaha japo mambo mengi niliyoyatamani kuyafikia angalau kwa kiasi namshukuru Mungu.

Wakati mwingine nafikiria pengine nioe lakini akili inagombana na moyo. Ni nini hasa huleta furaha katika Maisha?
Okoka mpokee Kristo maana yeye ndiye mfalme wa amani....hakika utapata amani unayoitafuta.
 
Habari za wikiendi familia? Ni kitu gani huweza kuleta furaha katika Maisha? Mali? Mke? Watoto? Marafiki? Ibada? Au ajira?

Mwenzenu siku za karibuni nakuwa mwenye huzuni sana. Sijioni kuwa mwenye furaha japo mambo mengi niliyoyatamani kuyafikia angalau kwa kiasi namshukuru Mungu.

Wakati mwingine nafikiria pengine nioe lakini akili inagombana na moyo. Ni nini hasa huleta furaha katika Maisha?
Ibada,mke then watoto,pesa na mali hazijawahi kuleta furaha ya kudumu,ila ukikaa vizuri kwenye ibada na kuenenda sawa sawa na neno la Mungu utakuwa na vyote furaha,amani,pesa na mali (Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa).
Mathayo 6:33....
 
Mtafute awe mama was nyumbani!unaweza mfungulie kabiashara hapo hapo nyumbani awe bize kidogo!!

Utapata furaha kidogo japo baadae ikitokea utajipanga tena!!

Angalau uitwe baba na upate watoto unawakuza kwako mwenyewe mkuu hata wakuite "Baba"!!

Pesa pekee haitoshi Wala ajira Wala elimu!!

Hats make akizingua tayari una ndugu zako watoto!usiache hilo!
Ndoa nazo ni mtihani sana. Ni muhimu kuwa na furaha kwanza kabla ya kutafuta namna ya kumfurahisha mwingine
 
Juzi mwenzio ametuliza sana pale airport, wenzake wanapokelewa na watoto yeye anapokelewa na Bobby! Oa ndugu upate familia labda utapata furaha!
 
Utaambiwa kila kitu ila hakikisha kila wiki unapata sex kabla hujapata msongo wa mawazo
Sexy sio Tiba mkuu. Jaribio lolote la kufanya sexy linahitaji maandalizi angalau ya miezi mitatu. Yaani mpime afya zaidi ya mara moja. Tofauti na hapo, ni ngumu.
 
Nakubaliana na wewe,hela nyingi sometime inaondosha hata Amani kidogo uliyokuwa nayo,hela ya wastani itakukamilishia mahitaji yako ya msingi vikiwemo vitu vinavyokuongezea raha kwenye maisha yako!!
UKikosa hela kabisa hiyo amani na furaha unaipata wapi?
Yah, actually hutakiwi kukosa kabisa pesa. Pesa ni nyenzo tu so si vyema kuifanya a primary source of happyness.
Tuishi tutafute pesa tufurahi kwakua tuna kila sababu ya kufurah maadam tumejaaliwa afya na uzima. Vingine ziada tu.
 
Furaha ni maamuzi, Being happy is choice 😀 Biblia inakwambia usiogope, wala usifadhaike (kuna mambo mengi ya kuogofya na kufadhaisha) Lakini wewe chagua kufurahi, Jaribu kujiuliza nini unapendelea
1.Vitabu?nature?Muziki?Filamu?
2.Tembelea maeneo tofauti nje ya unapokaa! Badilisha hata sehemu unayokula
3.Kutana na marafiki wapya (angalizo hakikisha una amani moyoni kabla hujaenda)
4.Kama kuna mtu umemkosea ni vyema kumuomba msamaha, Kama ulikosewa samehe pia ni kwaajili ya afya yako 😀
nakuacha na andiko
FURAHINI KATIKA BWANA SIKU ZOTE TENA NAWAAMBIA FURAHINI 😀😀😀😀Are you happy now?
 
Furaha ipo ndani yako, usifikiri inatoka nje au inaletwa na familia au mke, la hasha! Unaweza ukatafuta mtaalamu wa saikolojia akakusaidia zaidi pia.
Asante sana. Furaha hutoka ndani. Mechanism hii ndio naitafuta mkuu. Nini nifanye nijione nikiwa na furaha.
 
Furaha ni maamuzi, Being happy is choice 😀 Biblia inakwambia usiogope, wala usifadhaike (kuna mambo mengi ya kuogofya na kufadhaisha) Lakini wewe chagua kufurahi, Jaribu kujiuliza nini unapendelea
1.Vitabu?nature?Muziki?Filamu?
2.Tembelea maeneo tofauti nje ya unapokaa! Badilisha hata sehemu unayokula
3.Kutana na marafiki wapya (angalizo hakikisha una amani moyoni kabla hujaenda)
4.Kama kuna mtu umemkosea ni vyema kumuomba msamaha, Kama ulikosewa samehe pia ni kwaajili ya afya yako 😀
nakuacha na andiko
FURAHINI KATIKA BWANA SIKU ZOTE TENA NAWAAMBIA FURAHINI 😀😀😀😀Are you happy now?
😂😂😂
 
😂😂😂
Furaha ni maamuzi, Being happy is choice 😀 Biblia inakwambia usiogope, wala usifadhaike (kuna mambo mengi ya kuogofya na kufadhaisha) Lakini wewe chagua kufurahi, Jaribu kujiuliza nini unapendelea
1.Vitabu?nature?Muziki?Filamu?
2.Tembelea maeneo tofauti nje ya unapokaa! Badilisha hata sehemu unayokula
3.Kutana na marafiki wapya (angalizo hakikisha una amani moyoni kabla hujaenda)
4.Kama kuna mtu umemkosea ni vyema kumuomba msamaha, Kama ulikosewa samehe pia ni kwaajili ya afya yako 😀
nakuacha na andiko
FURAHINI KATIKA BWANA SIKU ZOTE TENA NAWAAMBIA FURAHINI 😀😀😀😀Are you happy now?
Ni ujumbe mzuri. Nina imani nitakuwa na furaha kama nikijifunza kukubali kwamba mimi ndiye mwenye chanzo cha hiyo furaha.
 
Asante sana. Furaha hutoka ndani. Mechanism hii ndio naitafuta mkuu. Nini nifanye nijione nikiwa na furaha.
Hatua ya kwanza ni kutambua utambulisho wako, je, wewe ni nani?

Watu wengi wamenasa katika mtego sababu ya identity au vitambulisho vyao. Mfano ukijitambulisha kwa kutumia cheo, elimu, kabila, kazi, jinsia,umri n.k. Unajikuta unachojitambulisha sivyo ulivyo na unakuwa katika false identify au kutokujitambua.
 
Back
Top Bottom