Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Furaha ni kuridhika, accomplishment of what you have set out to do..., Hivyo mtu asiye na kitu huenda akawa na furaha kuliko wewe mwenye all material things (tofauti ni yeye anachotaka amekipata na wewe huenda una chase an illusion)
www.jamiiforums.com
Kwanini Unaishi !
Swali sio kwamba Kwanini watu wanaishi nauliza kwanini wewe Unaishi ? Dhumuni la swali ni kujaribu kueleweshana huenda watu tumesahau kwamba Binadamu tupo tofauti chema kwako ni kibaya kwa mwingine...; Ila mwisho wa siku kila mtu anahitaji Kusudi (Purpose); kitu kinachomsukuma kuamka asubuhi na...